Ataondolewaje kwenye urais kwa namma hiyo wakati alichaguliwa na watu wote wenye chama na wasio na. chama?Hatua ya kwanza anashughurikiwa ndani ya duru za chama yaani ZANU-PF, Popural vote ni baadae ktk General elections after all akiishakatwa ndani ya chama hatakuwa tena na mandate ya kusimama ktk kinyang'anyiro cha uraisi ktk uchaguzi mkuu.
Don't joke with 'the power of punani'.Mke wake ndio kamwaribia Mugabe, kama Eva alivyomtoa Adam kwenye bustani ya Eden
CCM kumejaa mazombie kama yale ya kwenye ‘Walking dead’Yapaswa kutendeka na hapa kwetu. Wabunge wa ccm oneni wenzenu Zimbabwe wamesema enough is enough nchi haiwezi kuendeshwa kimahaba kushinda kimaadili na kufuata katiba. Grace aliona nchi yake kutolewa uanachama ni kuindolewa kinga atasimama mahakamani atatumikia kifungo etc I salute Zimbabwe army. Nilisema wanamlia timing YAMETIMIA Kwishney! Huwezi kushindana na nguvu ya umma.
Ahahahah "punani"...noma sana.Don't joke with 'the power of punani'.
ZANU PF ni chama tawala.Ataondolewaje kwenye urais kwa namma hiyo wakati alichaguliwa na watu wote wenye chama na wasio na. chama?
Anakosa sifa ya kuwa Rais kwani ZANU-PF ndiyo waliomfadhili Bob na kumpa tiketi ya kugombea urais. Unless kama Zimbabwe kuna Independent Candidacy, basi ngoma inogile.Ataondolewaje kwenye urais kwa namma hiyo wakati alichaguliwa na watu wote wenye chama na wasio na. chama?
Don't joke with 'the power of punani'.
Watapata laana mkuu, maana huyo Mzee pamoja na finishing mbaya lakini enzi zake aliitwa Jongwe yaani jogoo, ni mtu muhimu sana miongoni mwa veterans waasisi wa taifa la Zimbabwe.Mbona bado wanambembeleza huyu mzee futa kabisa uwanachama aishi bila chama kama mzee wangu Mzee Kingunge .
Nani alikufundisha hadithi yako na....!! ..MWISHO..
Mzee na degree zake saba ana obey commands za typistAhahahah "punani"...noma sana.
Hahahahahaa mkuu umenchekesha sanaWa kwetu kazi yao kubwa ni kupiga vichwa matofali , huku wananchi wakionewa !
Hali mbaya zaidi gani hiyo? Maana Zimbabwe hali ni mbaya sana over the last 10 years! No matter who is behind it, naona ni jambo jema kwa Zimbabwe na wazimbabwe.Kama hizi ni akili na Nia za wazimbabwe basi Taifa lao litastawi na kuishi.
Ila kama hizi ni nguvu za watu wa nje waliokuwa na chuki na R . M then Tusubirie Hali mbaya zaidi."
Transcend ( 2017) .
Shule inasaidia ;sio jeshi la kutisha raia wanaweledi wa kutosha kabisaHili jeshi la Zimbabwe ni la mfano wa kuigwa kabisa hawataki kuonekana wamefanya mapinduzi ya kijeshi they want peaceful transmission of power
Yaani wanamwabia aachie mwenyewe
Hiyo hiyo Hali mbaya itakuwa mbaya mara 2 yake kama ni watu wenye Nia mbaya na Zimbabwe.Hali mbaya zaidi gani hiyo? Maana Zimbabwe hali ni mbaya sana over the last 10 years! No matter who is behind it, naona ni jambo jema kwa Zimbabwe na wazimbabwe.
Haya mavyama ya ukombozi Afrika ni mizigo tu! Hayatimiza hata ahadi moja walizozitoa wakati wa kupigania uhuru. Huku maviongozi ya vyama hivyo yakishibisha matumbo yao na wapambe zao tu!
Ulikuwa na hoja, lakini Kwanini unailazimisha kwa kuweka Uongo kimahesabu ili ikubarike? Ccm imeanzishwa mwaka 77 kivipi leo kiwe na miaka hiyo 50?Basi utakuwa na umri mdogo sana.
Chadema ni ya mwaka 1992 ina wenyeviti watatu mpaka sasa.
Ccm tangu Tanu ina miaka 50 sasa na imeongozwa na wenyeviti watano tu.
Piga hesabu utapata jibu sahihi.