Zimbabwe: Kamati Kuu ya Chama cha ZANU-PF imemvua Uenyekiti wa Chama Rais Mugabe, Grace Mugabe avuliwa Uanachama

Mkuu ninashaka na uelewa wako
Leo ameondolewa ukuu Wa chama chake ZANU PF Jumanne bunge linamaliza Kazi kwa impeachment
Chama kimemvua uenyekiti tu, uanachama bado atabaki nao. Hata hiyo jumanne uliyoitaja yakitukia hayo, uoni kama inadhihirisha juu ya hoja ya yote yalipangwa kimkakati?

Au hujui kwamba, Chama leo kingeweza kumvua uanachama na kikatiba hiyo jumanne isihitajike tena Kama walivyo mfanyia Grace?
 
93 years bado linataka kuwa raisi.

Alaf lilivyo na roho ngumu , linataka lifanye urais kama KASWENDE vile limuhamishia mkewe via sexual intercourse..

Hongera Jeshi ku-act kama kondomu kuzuia hili.

Mugabe akae ale pension tu kwa sasa


Haha!, jamani huku kufananisha kwingine...lol
 
Aiseeee
Na wazungu wa mabara yale hawalali juu ya Mugabe.. hadi waone hayumo tena kabisaaaa.
Yaani wazungu wasilale sababu ya Huyo Mzee, uwe unaficha ujinga wako wakati mwingine comments Zako Zina reflect akili yako
 
Unamtoa Mugabe unamuweka rafiki yake aliyekuwa nae kwa kipindi chote cha uongozi. Hivi sisi wa afrika tumerogwa?

Tunabadili mtu ama uongozi?
 
Sasa huo ni upiga ramli! Nami siyo mpenzi wa upigaji ramli! Ila, naamini kuondoka kwa Bob ni the best thing for Zimbabwe na Zimbabweans.
Hahaha! Mbona unawaza kitu ambayo sijakiongelea mkuu .

Nenda kasome statement yangu tena.

Sijasema kuwa kutoka kwa RM ni vibaya kwa wazimbabwe.., ninachomaanisha ni motives ya yeye kutoka..!

It doesn't matter whether he was bad or Good..!
 
Mkubwa alipewa nafasi ya kujiuzulu kistaarabu akavunga.

Sasa makomredi wenziwe wanamsusa na kumuondoa kwa aibu kuu, hata ile heshima yake ndani ya chama itapungua. Uzee mchungu
 
Acha uongo!
Robert Mugabe kavuliwa Uenyekiti sio Uanachama!
Haya mambo kuna watu sijui wanajichetua au hawajui kabisa ni nini maana yake. Rais wa nchi si lazima ndio awe mwenyekiti wa chama tawala. Kwa siasa za kijamaa ni hatua ya kumweka kando ktk Uongozi wa nchi lakini si lazima. Zimbabwe inaweza ikamuacha hivyohivyo hadi term yake iishe na chama kikamteua mwingine kugombea urais, yote yanawezekana.
 
Unamtoa Mugabe unamuweka rafiki yake aliyekuwa nae kwa kipindi chote cha uongozi. Hivi sisi wa afrika tumerogwa?

Tunabadili mtu ama uongozi?
One step at a time! Kwa sababu bado kiongozi wa nchi angetoka ZANU-PF. Then, next election, Zimbabweans wataamua nini cha kufanya. Ila hatua ya kumtoa Bob tena bila kumwaga damu (knock on wood) ni kubwa sana.
 
Hahaha! Mbona unawaza kitu ambayo sijakiongelea mkuu .

Nenda kasome statement yangu tena.

Sijasema kuwa kutoka kwa RM ni vibaya kwa wazimbabwe.., ninachomaanisha ni motives ya yeye kutoka..!

It doesn't matter whether he was bad or Good..!
Nimekuelewa chifu. Tuombe uzima ili tuje tuone hali itakavyokuwa. Ila I’m very optimistic! Haya mavyama ya ukombozi yanapaswa kuondolewa yote Afrika.
 
Hali mbaya zaidi gani hiyo? Maana Zimbabwe hali ni mbaya sana over the last 10 years! No matter who is behind it, naona ni jambo jema kwa Zimbabwe na wazimbabwe.

Haya mavyama ya ukombozi Afrika ni mizigo tu! Hayatimiza hata ahadi moja walizozitoa wakati wa kupigania uhuru. Huku maviongozi ya vyama hivyo yakishibisha matumbo yao na wapambe zao tu!

Africa Nzima vyema vya Ukombozi viliyobaki havizid Vitano, hivyo vyema vipya vimechukua dola vimefanya nini cha maana?
 
Africa Nzima vyema vya Ukombozi viliyobaki havizid Vitano, hivyo vyema vipya vimechukua dola vimefanya nini cha maana?
Kuboresha mjadala taja: hivyo vyama na nchi zilizo na vyama vipya, kisha tujadili.
 
Kuboresha mjadala taja: hivyo vyama na nchi zilizo na vyama vipya, kisha tujadili.

Kanu imeondoka Kenya
Unip imeondoka Zambia
Chama cha Kamuzu Banda kimeondoka Malawi
Chama cha Obote hakipo Uganda
Chama cha Nandi Azikiwe hakipo Tena Nigeria

Anza na Nchi hizo

Vyama kongwe ni CCM, ANC, ZANU PF na Frelimo
 
Hilo jeshi linanidhamu kupindukia, ilitakiwa limwambie mzee tumekupindua kiti anakalia mnagangwa kwa kipindi cha mpito hadi atakapotangaza tr ya uchaguzi.
 
Haya mambo kuna watu sijui wanajichetua au hawajui kabisa ni nini maana yake. Rais wa nchi si lazima ndio awe mwenyekiti wa chama tawala. Kwa siasa za kijamaa ni hatua ya kumweka kando ktk Uongozi wa nchi lakini si lazima. Zimbabwe inaweza ikamuacha hivyohivyo hadi term yake iishe na chama kikamteua mwingine kugombea urais, yote yanawezekana.

Sahihi kabisa
Bizimungu alikuwa Rais wa Rwanda baada ya Mauaji ya Kimbari lakin Uenyekiti wa RPF akabaki nao Kagame , palipotulia akamto akachkua Yeye Madaraka I think it was 1997
 
Rais anapokuwa hayupo Madarakani kwa sababu yoyote ile Makamu wake wa Rais ndio huchukua madaraka mpaka ufike wakati Mwingine wa a uchaguzi

Hata hapa kwetu iko hivi , ikitokea sababu yoyote Rais akakoma kuwa Rais hauitishwi Uchaguzi Kama wa Mbunge Bali Makamu ana take over na kushika usukani
Nadhani kwetu haurudiwa km muda uliobaki ni pungufu ya miaka 2.
 
One step at a time! Kwa sababu bado kiongozi wa nchi angetoka ZANU-PF. Then, next election, Zimbabweans wataamua nini cha kufanya. Ila hatua ya kumtoa Bob tena bila kumwaga damu (knock on wood) ni kubwa sana.


I second you mkuu. Kumtoa mtu aliyekaa madarakani for 37yrs bila tone la damu so far, kwa Africa, is one of the smartest move.
Tuombe Amani iendelee.
 
Back
Top Bottom