Hao pia ni wazungu bhana...shida iko wapi kwani. Jesus ni Mkombozi na Mwokozi wa uimwengu. Ni Myahudi wa Nazareti ya Galilaya aliyezaliwa katika mji wa Bethlehemu.
JESUS IS LORD!
Yaani unaogozwa na mtu anaeamini kua kuchagua mpinzani hutakiwi kuletewa maendeleo alafu wewe hapo unajisemea kua tunajidharau na kujikomba?Maradhi makubwa ya mtu mweusi ni kujidharau na kujikomba......mtu mweusi akipona maradhi hayo anakuwa mtu mwengine kabisa!!!
Mashamba wamepewa Waafrika, ila wameshindwa kulima. Waafrika walidhani wakiachiwa mazao shambani yatajizalisha yenyewe.
Yaani unaogozwa na mtu anaeamini kua kuchagua mpinzani hutakiwi kuletewa maendeleo alafu wewe hapo unajisemea kua tunajidharau na kujikomba?
Sifa kubwa ya mtu mweusi pamoja na wewe ni kukubaliana jambo alafu wakaa kwenye meza na kuyaandika kua tutayafuata bali ikifika wakati wa utekelezaji hayafuatwi wala hayafutwi wala hayaandikwi yale anayoyatekeleza.
Watu weusi bado tumetawaliwa na ujinga na ushamba ndani yake...tumebakia historia tu.
Unaweza kua ni miongoni mwa watu wanaozidi kutusababishia ujinga hapa Tanzania.Usichokijua ni kwamba hata huko uzunguni wanafiki, washamba na wajinga wapo.....iondoe hiyo roho ya kujiona mjinga na kujiamini!!!
NB;
Najua ni ngumu kunielewa kulingana mfumo uliokulia!!!..
Watu weupe we wasikie tu, wakiamua kudeal na wewe hutoboi kiongozi. Wanakubana katika kila njia yako ya kiuchumi utanyoosha tu mikono. Bahati mbaya mtetezi wa mwafrika( nchi nyingine za kiafrika) naye ananjaa yake inamsumbua hana uwezo wa kumwezesha huyo Zimbabwe angalao ainuke kiuchumi zaidi atajaribu kubweka km kalamagamba alivyoibwekea marekani kulegeza vikwazo vya kiuchumi kwa Zimbabwe, ulishawahi hata kumsikia akirudia kubweka tena. Mugabe alifanya Yale maamuzi kuwafurahisha wananchi ili aonekane herro lakini alijua nyuma ya pazia itatokea nn. Hukuona mwewe wetu akibanwa kule Canada nn kilitokea... Tufanye maamuzi kwa uangalifu hasahasa Mambo ya kimkataba.Wonder shall never end in afrika,kipi kimemfanya mnangagwa akubali deal la kipuuzi namna hii? Au ana ten percent yake ?
walimilikishwa ardhi nanani MKUU hem nifute ujinga hapa.....Wale wazungu hawakuwa wezi. Walikuwa pale kwa mujibu wa sheria na taratibu, ndio maana sasa wamedai fidia na imeonekana wana haki ya kufidiwa.
YESU NI BWANA
Ulietegemea kupitia vile vikwazi wangeweza kujimudu kweli ?!Sawa tufanye walikuwa wezi, Wazimbabwe wameshindwa nini kuyaendeleza mashamba. hayo maana wezi hapo tena?
miaka 20 inakaribia toka wawafukuze wazungu , leo hii Zimbabwe inapelekewa karanga kutokea kahama
kabsa MKUU kama atkujibu usisahau kunitag.....Wamedai fidia kwenye mahakama gani by the way first thing first kwani settlers walikuwepo kihalali zimbawe at very first time?(colonialism) tuache siasa kwenye mambo yanayotuangamiza
kwahio ndio wanakua sio wajinga ?!Wao wameamua kufanya hivyo baada ya kubanwa vilivyo na vikwazo halafu wewe wa Tandale kwa Mtogole unawaponda wakati madhila wanayopitia wewe huwezi kuwasadia chochote. Very hopeless.
IRAN walipokuja kujitambua wakawakimbiza wale wapuuzi wakizungu mpaka sasa IRAN maendeleo kama yote.....Nadhani haya hata Iran na Libya yaliwakuta na walilipa kwa visima vyao vya mafuta
Wazungu sio watu
Msiwadanganye wenzenu wakati nyie hayo hamuyawezi. Zimbabwe wako ICU kiuchumi, wao wameamua kurusha taulo wanajua maana yake.kwahio ndio wanakua sio wajinga ?!
Ukiamua kuipigania haki yako ipiganie tu hatakama utapata madhila namagumu kiasi gani.....
Kurusha kwao taulo sijakataa ila hakuwapi uhalali hao wapuuzi wakizungu kama wanalofanya wapo sahihiMsiwadanganye wenzenu wakati nyie hayo hamuyawezi. Zimbabwe wako ICU kiuchumi, wao wameamua kurusha taulo wanajua maana yake.
Kwan marehemu mugabe alikuta mkataba gani unaoihusisha ardhi ya zimbabwe na wale wazungu ambao aliuvunja ?!Watu weupe we wasikie tu, wakiamua kudeal na wewe hutoboi kiongozi. Wanakubana katika kila njia yako ya kiuchumi utanyoosha tu mikono. Bahati mbaya mtetezi wa mwafrika( nchi nyingine za kiafrika) naye ananjaa yake inamsumbua hana uwezo wa kumwezesha huyo Zimbabwe angalao ainuke kiuchumi zaidi atajaribu kubweka km kalamagamba alivyoibwekea marekani kulegeza vikwazo vya kiuchumi kwa Zimbabwe, ulishawahi hata kumsikia akirudia kubweka tena. Mugabe alifanya Yale maamuzi kuwafurahisha wananchi ili aonekane herro lakini alijua nyuma ya pazia itatokea nn. Hukuona mwewe wetu akibanwa kule Canada nn kilitokea... Tufanye maamuzi kwa uangalifu hasahasa Mambo ya kimkataba.
Inaweza kuwa imepita..hii nadhani ilitokea kabla ya 2000Aaaaghaaa mtoa mada buana!! Eti miongo ishirini!! Unajua kama muongo mmoja ni miaka 10???? Be serious
Miongo ishirini ni 10×20. Yaan miaka 200Inaweza kuwa imepita..hii nadhani ilitokea kabla ya 2000
Atakuwa alitaka kumaanisha miongo miwili huyo jamaa.Miongo ishirini ni 10×20. Yaan miaka 200
Ukishakuwa kiongozi wa nchi utakubali hata ujinga wowote ule utakaoambiwa.Wamedai fidia kwenye mahakama gani by the way first thing first kwani settlers walikuwepo kihalali zimbawe at very first time?(colonialism) tuache siasa kwenye mambo yanayotuangamiza
siwezi jua mkataba uliokuwepo lakini km Rais wa Sasa kaamua kulipa fidia lazma kuna kipengele au hatua ilikosewa katika harakati za kudai ardhi yao.Kwan marehemu mugabe alikuta mkataba gani unaoihusisha ardhi ya zimbabwe na wale wazungu ambao aliuvunja ?!
Nitoe ujinga MKUU.....