Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,497
- 51,090
Vikwazo vya kiuchumi ambavyo Zimbabwe imepigwa ni vikali sana
Hapo Mnagagwa ajiandae kupewa Degree za heshima na mabeberu na hata Nobel prize.
Kama watawaondolea vikwazo ni sawa tuu,walipwe fidia ya miundombinu na sio ardhi.Wamedai fidia kwenye mahakama gani by the way first thing first kwani settlers walikuwepo kihalali zimbawe at very first time?(colonialism) tuache siasa kwenye mambo yanayotuangamiza
Wajinga hao, ardhi yao wenyewe wanawafidia wavamizi waliotoka ulayaHarare
Zimbabwe on Wednesday agreed to pay $3.5 billion in compensation to white farmers whose land was seized by Robert Mugabe's regime as part of his agrarian reforms in the early 2000s.
President Emmerson Mnangagwa described the agreement as historic, saying it would bring closure to an emotive issue.
"Today we signed a historic compensation agreement with the Commercial Farmers Union, bringing closure and bringing a new beginning to land discourse in Zimbabwe," President Mnangagwa said.
"The agreement reaffirms the irreversibility of the land reform and is a symbol of our commitment to the rule of law and property rights. It is a testimony to the fact that as fellow Zimbabweans we can peacefully resolve our differences. We cannot change the past, we can only learn from it.
"Let us build on the trust demonstrated today, let us choose dialogue over confrontation and let us move forward together."
Siku tukija kuubali ukweli huu mchungu tutaanza kusonga mbele , kwa Sasa basi tunajidanganya typo level moja nao katika kufikiri
Wao wameamua kufanya hivyo baada ya kubanwa vilivyo na vikwazo halafu wewe wa Tandale kwa Mtogole unawaponda wakati madhila wanayopitia wewe huwezi kuwasadia chochote. Very hopeless.Wajinga hao, ardhi yao wenyewe wanawafidia wavamizi waliotoka ulaya
Isitoshe wao wazimbabwe ndo walitakiwa walipwe kwa kutawaliwa 'ukoloni'
Wajinga hao, ardhi yao wenyewe wanawafidia wavamizi waliotoka ulaya
Isitoshe wao wazimbabwe ndo walitakiwa walipwe kwa kutawaliwa 'ukoloni'
Nadhani haya hata Iran na Libya yaliwakuta na walilipa kwa visima vyao vya mafutaKweli mtu mweusi hana lake Duniani, Unamlipaje fidia MWIZI?. Haya mambo yanatokea katika ardhi ya mtu mweusi tu.....
Bora hata hao Iran na Libya walikuwa wanajiweza, sasa Zimbabwe anajikongoja alafu tena anabananishwa kulipa hela zote hizo. Si hatari!.Nadhani haya hata Iran na Libya yaliwakuta na walilipa kwa visima vyao vya mafuta
Wazungu sio watu
Your very right!!Siku tukija kuubali ukweli huu mchungu tutaanza kusonga mbele , kwa Sasa basi tunajidanganya typo level moja nao katika kufikiri
shida iko wapi kwani. Jesus ni Mkombozi na Mwokozi wa uimwengu. Ni Myahudi wa Nazareti ya Galilaya aliyezaliwa katika mji wa Bethlehemu.Jesus naye ni mzungu kama hujui.
Kama wakiweza waludishe mashamba pia na fidia kwa wazungu wasione haya.Zimbabwe inakubali kulipa fidia ya dola bilioni 3.5 kwa wakulima weupe
Zimbabwe ilikubali Jumatano kulipa $ bilioni 3.5 kwa fidia kwa wazungu weupe ambao ardhi yao ilifutwa na serikali kuweka tena familia nyeusi, kusonga hatua karibu na kusuluhisha moja ya sera zilizogawanya zaidi za enzi ya Robert Mugabe.
Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa akizungumza wakati wa mkutano wake na Rais wa Belarusi Alexander Lukashenko huko Minsk, Belarusi Januari 17, 2019.
Lakini taifa hilo la kusini mwa Afrika halina pesa hizo na litatoa vifungo vya muda mrefu na kwa pamoja watafikie wafadhili wa kimataifa na wakulima kuongeza fedha, kulingana na makubaliano ya fidia.
Miongo ishirini iliyopita serikali ya Mugabe ilifanya wakati wa kufukuzwa kwa vurugu kwa wakulima weupe 4,500 na kusambazwa tena kwa familia takriban 300,000 nyeusi, ikisema ilikuwa inarekebisha usawa wa ardhi wa kikoloni.
Makubaliano yaliyotiwa saini katika ofisi za Rais wa Jimbo la Rais Emmerson Mnangagwa jijini Harare yalionyesha kuwa wazungu watalipwa fidia kwa miundombinu kwenye mashamba na sio ardhi yenyewe, kulingana na katiba ya kitaifa.
Wale sio watuBora hata hao Iran na Libya walikuwa wanajiweza, sasa Zimbabwe anajikongoja alafu tena anabananishwa kulipa hela zote hizo. Si hatari!.
Africans are cursed! Manguvu mengi akili robo kijiko. Hivi wakati Mugabe akiwapora ardhi hiyo alikuwa hajui kitakachofuata?
Wazungu wamemzidi akili mtu mweusi. Whether you like or not!
JESUS IS LORD!
Kweli mtu mweusi hana lake Duniani, Unamlipaje fidia MWIZI?. Haya mambo yanatokea katika ardhi ya mtu mweusi tu.....