Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 8,321
- 13,627
Hujuma ganihujuma alofanyiwa angezalisha nini ?!.
Hujuma ganihujuma alofanyiwa angezalisha nini ?!.
Unahisi hwawez pigwa vikaz wasiuze popote.....Hujuma gani
Ni uzembe wa Zimbabwe kushindwa kuwa na plan B. Maana walijua lazima wawekewe vikwazo.Unahisi hwawez pigwa vikaz wasiuze popote.....
Tuache visingizio, katika ubora wake Zimbabwe ilikuwa inalisha nchi nyingi za jirani, Botswana , Zambia Malawi , hata Tanzaniq, tulikuwa tunapata Nestle products kutoka Zimbambwe , Kama unakumbuka pia pombe ya chibuku Ina chimbuko la Zimbabwe, Unayakumbuka maziwa ya B&B? Yaliwahi kutengenezwa Zimbabwe piaMkuu mataifa ya magharibi na USA ndio hayo yanaamua hatima ya dunia. Ukikorofishana na mmoja,umekorofishana na wote.
Afrika pekee ndio tungeweza kuwa walaji wa bidhaa ya Zimbabwe lakini inachokizalisha Zimbabwe,kinazalishwa kila kona ya afrika.
Regardless, hawatakiwi kulipa fidia, Rais wa sasa anajipendekeza tu kwa wazungu ili kupata support yao, anapiga wapinzani na kuwafunga ili kujisafisha anafanya move ya hovyo kama hiiNaona tuna discus kitu amabacho labda hukielewi vizuri , ardhi nzuri Zimbabwe ilikuwa ni mkakati wa mzungu haikuja by default , ndio maana Mugabe alipotwaa ardhi kibabavu mwaka uliofata Zimbabwe ikakumbwa na njaa kutokana na ukame , unataka kuniambia wazungu waliondoka na mvua ?
Zimbambwe hakuna jangwa Ila ni moja ya sehemu tricky sana kufanya kilimo na ufugaji maana irrigation ni muhimu sana , kwa taatifa tu ninasilimia chache sana ya land ilitumika kwa kilimo na ufugaji , Kama Mugabe angekuwa makini labda angeleta sera za kugawa ardhi kwa weusinl ili Aina Kama wange compete na white settlers.
Sisi tumezoea tu visingizio ardhi ya Zimbabwe Hadi hii leo bado ni underutilized,