Nimeshindwa kukuwekea,najitahidiMombasa, Kenya
Pepeta Bango - Mzee Ngala, James Gogo and The Gogosimo Band
Source: Gogosimo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshindwa kukuwekea,najitahidiMombasa, Kenya
Pepeta Bango - Mzee Ngala, James Gogo and The Gogosimo Band
Source: Gogosimo
Huwo wimbo Marvin Gaye, unaitwa Sexual Healing.
Samahani mkuu kuna wimbo diamond sound, siufahamu jina ila kuna koras wanaimba
Morogoro morogo tulale wapi eeh kama unao naomba nisaidie, ninacho kipande nilirekodi redio nimejaribu kuattach imeshindikana
UnaznguaTAZAMA KIJANA ALIVYOONESHA UWEZO WA KUIMBA WIMBO MPYA WA RAYVANNY FT DIAMOND __TETEMA--OFFICIAL VIDEO COVER
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupo pamoja.Wakuu kwema humu? Huu uzi ndo nimeuona na ndo kwanza niko ukurasa wa tatu nataka kuoitia kurasa zote! Nimeona vema niwasalimu tu. Mimi mpenzi mkubwa wa muziki wetu wa zamani. Shukrani kwa wote mnaochangia na natoa rai tuuendeleze huu uzi. Kwa mwanzilishi wa uzi, my hat off for you! Unaujua muziki wetu vilivyo.
Hukumbuki uliimbwa na band gani.habar wakuu kuna nyimbo ya zamani zilipendwa inaimbwa '
"nakutafuta DAr es salam nzima nikuone mpenzii wanguuu sheri wangu mama nakuomba unisikiliizee, kosa gani nililolifanya kwako mpaka unikimbie mpenzi wangu"...
anayeikumbuka pls naomba anisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wimbo uitwao Huba hakika naupenda sanaPia kuna Orch. Marquiz Original,kundi hili liliundwa miaka ya 70 na wanamuziki waliotoka katika jimbo la Shaba nchini Zaire(DRC) waliingia nchini wakiitwa Orchestre Super Gabby,baada ya kuingia nchini walibadilisha jina na kuanza kuitwa Orchestra Maquis du Zaire/Marquis Original.....Mitindo waliyoitumia ni pamoja na Ogelea Piga Mbizi,Zembwela na Sendema.....Ukumbi waliokuwa wakipiga(uwanja wao wa nyumbani) ni Lang'ata Social Hall pale Kinondoni(FM Club ambapo kwa sasa ni kanisa).....Hawa pia walikuwa wanaujua muziki hasa kutokana na aina ya muziki mchanganyiko wa kizaire(kavasha) na vionjo vya kitanzania walivyopiga....
Bendi hii ilitamba na nyimbo nyingi sana,nyimbo kama Mayanga,Ngalula,Makumbele,Mpenzi Luta,Mpenzi Scola,Karubandika,Seya,Tipwatipwa,Kisabengo,Wakati nilikuwa mdogo,Bi Sofia,Hali ngumu,Ni wewe pekee,Kibulwa,Huba wangu,Mapenzi sio masihara,Wanaume wa leo,Clara,Mayasa,Wema wangu,Double double,Mabruki,Anjelu,Balimwacha,Kazi yangu Baharia,Mapenzi ya pesa na nyingnie nyingi....Hawa jamaa wanaweza kuwa wanaongoza Tanzania kwa kuwa na nyimbo nyingi sana....
Bendi hii imewahi kuwa na wanamuziki kama Tshimanga Kalala Assosa,Issa Nundu,Mukumbule Lulembo 'Parash',Mbuya Makonga 'Adios',Ilunga Banza Mchafu.Dekula Kahanga 'Vumbi',Bobo Sukari,Fredito Butamu,Mbwana Kocks,Kabea Badu,Mutombo Lufungula Audax,Matei Joseph,Kaumba Kalemba,Mukuna Roy,Berry Kankonde,William Maselenge,Seif Said,Nguza Vicking,Kyanga Songa,Kasaloo Kyanga,Kiniki Kieto na wengine kibao..............
Hakika ya kale ni dhahabu...