Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,913
- 30,255
- Thread starter
- #61
Babukijana,Sal Davis nilibahatika kumsikia miaka ya 90s hap0 Euro Pub,nafkiri akiwa karejea toka Ulaya,kwakweli alikua na kipaji cha pekee,alifanya ninze kufatilia jazz kwa karibu.kwa akili yangu nikijua ni mmarekani Mweusi anayeishi TZ.
Sal Davis ni rafiki yangu na nimeandika maisha yake lakini bado ni mswada
kitabu hakijachapwa.
Mwandishi na Sal Davis Chef Pride Restaurant Lumumba Avenue Dar es Salaam
2006
Unaweza kupata habari zake hapo chini:
Mohamed Said: FROM THE PAGES OF THE EAST AFRICAN MAGAZINE: SAL DAVIS
Mohamed Said: SAL DAVIS AND CASSIUS CLAY (MUHAMMAD ALI) LONDON 1963