antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,527
- 119,631
Siyo Tanganyika mkuu, ni ccmTanganyika ndio haitaki kuiacha Zanzibar iwe huru na ijitegemee.
Siyo Tanganyika mkuu, ni ccmTanganyika ndio haitaki kuiacha Zanzibar iwe huru na ijitegemee.
Huu si uzi hii ni kamba ,ndugu mwenye macho haambiwi tazama,nipe majina ya zile ndege ? Aibu wameenda kuandika hapa kazi tu,Una uelewa kuwa ndege aina ya helikopta ilizuiwa kutua Zanzibar-Unguja wakati wa kampeni,ndege ilikuwa na Mwenyekiti wa CDM GUIDE Mbowe kama sikosei, sababu ilikuwa haina kibali ya kutumia anga la Zanzibar.
Bado hujapigwa na mshangao au hata kujiuliza viereje hizi ndege kutua Zanzibar na kupokelewa kiTaifa ,najua kuna watu mahusda hawakupenda,roho zimebonyea,
Unajua sasa hivi Zanzibar ina nguvu kimataifa kuliko Tanzania,tuseme imeanza kuja juu na hili vibaka linawaumiza vibaya sana.