BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
Mr&Mrs waligombana Mr kalala kitandani Mrs akalala chini. Mr akawa anaupiga piga uume wake anauambia we hebu tulia hujui tumegombana na tumenuniwa? Mrs akackia akajibu tuliogombana ni sisi siyo wao we muache aje acheze na mwenzake ila ugomvi wetu upo palepale!!
hii ni kati ya msg nilizowahi kufowadiwa...nikacheka sana...nataka na ww ukopi na kupest hapa moja au mbili kati ya zile zilizokukuna.
hii ni kati ya msg nilizowahi kufowadiwa...nikacheka sana...nataka na ww ukopi na kupest hapa moja au mbili kati ya zile zilizokukuna.