Zile maiti zilizosemwa zitaanza kutapakaa lini huku kwetu?

Sumbi Sanchez

Member
Apr 16, 2017
45
172
Miezi miwili iliyopita Melinda Gates, mke wa Bilionea Bill Gates, alisema kuwa muda si mrefu Afrika ingetawaliwa na miili ya wafu mitaani kutokana na vifo vya Covid19.

Dada yetu Mange Kimambi nae muda mrefu sana amekuwa akitabiri baada ya wiki mbili au wiki kadhaa Corona itakuwa si siri tena hapa Tanzania kwa kuwa tumekataa lockdown.

Wajuaji wengine nao huku maofisini, mitandaoni na mitaani walitabiri kuwa kwa kuwa hatukuchukua hatua kama za huko Ulaya na nchi nyingine za Afrika zilizoamua kukopi upuuzi wa 'lockdown' hivyo tungekosa hata sehemu za kuzikana.

Eti jamani? Hiyo hali itatokea lini? Binafsi Uswahilini ninapoishi hakuna mtu anajali kuhusu barakoa, social distancing, sanitizer, kunawa mikono wala kitu chochote kinachohusiana na hivyo. Safari za kwenda Ilala sokoni, Kariakoo na sehemu nyingine za mikusanyiko zinafanywa bila tone la woga. Lakini sijawahi kusikia kifo wala kesi ya Corona inayomuhusu mtu ninayemfahamu hapa mtaani.

Sasa jamani hebu tuambieni hivyo vifo visivyo na idadi vitaanza lini? Maana mnatuambia serikali inaficha takwimu. Ni lini sasa tutarajie maiti mitaani?

Nina mashaka makubwa kuwa Marekani wanachapisha takwimu za uongo za vifo na kesi za Covid19 kwa malengo fulani. Nchi kama Belarus hazijawahi kufunga mpaka wala kuwa na lockdown lakini hawafikii hata 1/10 ya maambukizi ya Marekani. Hapa kwetu pia tumeshaambiwa hakuna lockdown wala baba yake lockdown. Lakini hali ni shwari mno ukilinganisha na takwimu za kuogofya za Bwana Trump.

Corona ipo lakini haitishi kama mataifa fulani na jumuiya za kimataifa wanavyojaribu kutuaminisha kwa malengo wanayoyajua wenyewe. Lockdown ni upuuzi wa ajabu sana. Unafanya mpaka lini hiyo lockdown? Mpaka watu watakapoanza kufa na njaa?

Tumeshaanza kuona nchi za Ulaya zikiondoa vizuizi walivyoweka kuhusiana na Covid19. Wamegundua ni upumbavu usio na maana yoyote. Asante serikali ya Tanzania kwa kukataa kuiga upuuzi. Covid19 itaendelea kuwepo kama magonjwa mengine yanayoua watu kila siku. Maisha lazima yaendelee.
 
Miezi miwili iliyopita Melinda Gates, mke wa Bilionea Bill Gates, alisema kuwa muda si mrefu Afrika ingetawaliwa na miili ya wafu mitaani kutokana na vifo vya Covid19.

Dada yetu Mange Kimambi nae muda mrefu sana amekuwa akitabiri baada ya wiki mbili au wiki kadhaa Corona itakuwa si siri tena hapa Tanzania kwa kuwa tumekataa lockdown
Wewe ni layman wa epidemiology. Epidemiological prediction ilibidi iwe hivyo. Maisha yetu na uwezo wa hospital zetu usingeliweza kuhimili pandemic as predicted.

Haikutokea hivyo siyo sababu ya magufuli kutowela lockdown, ni unknown natural cause of this observation! Ni jambo la kufanyia utafiti mkubwa.

And to me,(nasema to me) most likely ni immunity to common cold viruses infectons which we have been living with for a long time that are related to coronavirus
 
Wewe ni layman wa epidemiology. Epidemiological prediction ilibidi iwe hivyo. Maisha yetu na uwezo wa hospital zetu usingeliweza kuhimili pandemic as predicted. Haikutokea hivyo siyo sababu ya magufuli kutowela lockdown, ni unknown natural cause of this observation! Ni jambo la kufanyia utafiti mkubwa. And to me,(nasema to me) most likely ni immunity to common cold viruses infectons which we have been living with for a long time that are related to coronavirus
Thank you Mr. Well Qualified Epidemiologist. Kwa failure hii sasa, nchi nyingi zitajifunza kuwa principles nyingi za kitabibu, including HIV/AIDS must be re-assessed. Kuna uongo mwingi mno mnafundishwa kwenye medicine na kuukariri bila kufanya utafiti wala kujiuliza maswali.

WHO wakithibisha dawa au kanuni fulani ya kitabibu kwenu nyinyi ni sahihi hata kama inaleta absurdity ya wazi. Taaluma ya kitabibu kutoka Magharibi imeendelea sana, lakini kuna upuuzi mwingi uliopotoka humo ndani.
 
Walisikika wakisema njoja tusubiri week mbili tuone,Mara ngoja tena week nyingine moja mara mwezi ukafika hamna walikuwa wanakitazamia sijui sasa ivi watasemaje?

Angalizo:
Ngoja ngoja huumiza Matumbo Watu wabaya waliopo ndani na nnje ya nnchi walitazamia matokeo mabaya ya Nnchi yetu Pendwa, Pole yao.

pujo
 
Watu wasio mwamini Mungu utawajua tu.

Mimi nasema huu ni muujiza wa pekee Mungu ametufanyia tunahitaji kumshukuru
Wewe ni layman wa epidemiology. Epidemiological prediction ilibidi iwe hivyo. Maisha yetu na uwezo wa hospital zetu usingeliweza kuhimili pandemic as predicted. Haikutokea hivyo siyo sababu ya magufuli kutowela lockdown, ni unknown natural cause of this observation! Ni jambo la kufanyia utafiti mkubwa. And to me,(nasema to me) most likely ni immunity to common cold viruses infectons which we have been living with for a long time that are related to coronavirus

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thank you Mr. Well Qualified Epidemiologist.
Mimi nina only basics of epidemiology, not that much as you have put it! All in all I can make sense out of "rubbish". And for your information, there is no room for absurdity in hard Science! Science can not and will not be unreasonable or irrational unless you ascribe absurdity to the philosophical sense!
Nimependa argument yako! Looks ou went through good training!
 
Wewe ni layman wa epidemiology. Epidemiological prediction ilibidi iwe hivyo. Maisha yetu na uwezo wa hospital zetu usingeliweza kuhimili pandemic as predicted.

Haikutokea hivyo siyo sababu ya magufuli kutowela lockdown, ni unknown natural cause of this observation! Ni jambo la kufanyia utafiti mkubwa.

And to me,(nasema to me) most likely ni immunity to common cold viruses infectons which we have been living with for a long time that are related to coronavirus
Mimi nasema ni Huruma ya Mungu kwetu,Afrika tulimlilia Mungu,maana hatukuona msaada mwingine mbele yetu,hatukumtegemea yeyote zaidi kumtegemea Mungu aishiye milele.Wenzetu wazungu mimi siwezi kuwazungumzia wala sijui kwa hakika juu ya imani yao,kwamba walimtegemea nani hasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Mimi nasema huu ni muujiza wa pekee Mungu ametufanyia tunahitaji kumshukuru
Hakuna muujiza, this has a good explanation in science! Hakuna muujiza!

Wataalamu wana propose theories hizi among others anyway, siyo exhaustive!

C&P: Why do some people with coronavirus get symptoms while others don’t?


Our immune system offers us two lines of defence against viruses.

The first is the innate system and includes physical barriers such as skin and mucous membranes (the lining of the throat and nose), various proteins and molecules found in tissues, as well as some of the white blood cells that attack invading organisms. This immune response is general, non-specific and kicks in quickly.

Children have immature immune systems, but one hypothesis to explain why they don’t seem to get as sick with COVID-19 is that their innate immune response to coronavirus is greater than in adults.

This may lead to a reduced viral load – the quantity of virus particles that survive in the body – because they’re able to clear the virus more quickly.

The second line of defense is the adaptive immune response. This takes longer to initiate but once established, is much more efficient at eradicating a specific infection when encountering it again.

It’s thought that very specific genetic variations in some people might play a part in how sick they get. By generating an early adaptive immune response, the body seems to recognise the virus during the incubation period and fight it off.

A person also needs to be generally healthy to be able to mount an appropriate immune response to the infection.
 
Wewe ni layman wa epidemiology. Epidemiological prediction ilibidi iwe hivyo. Maisha yetu na uwezo wa hospital zetu usingeliweza kuhimili pandemic as predicted.

Haikutokea hivyo siyo sababu ya magufuli kutowela lockdown, ni unknown natural cause of this observation! Ni jambo la kufanyia utafiti mkubwa.

And to me,(nasema to me) most likely ni immunity to common cold viruses infectons which we have been living with for a long time that are related to coronavirus
Kuongezea hapo.. huu sio wakati wa kushangilia, huu ugonjwa ni mpya, bado sana kuweza kujua hatma ya huu uzembe tulioufanyia.
 
Mimi nasema ni Huruma ya Mungu kwetu,Afrika tulimlilia Mungu,maana hatukuona msaada mwingine mbele yetu,hatukumtegemea yeyote zaidi kumtegemea Mungu aishiye milele.Wenzetu wazungu mimi siwezi kuwazungumzia wala sijui kwa hakika juu ya imani yao,kwamba walimtegemea nani hasa.
Tunasali kuliko Pope na Mtume Mohamed (Mecca ambao wamefunga msikit mtukufu). Mungu ni mbaguzi? ana upendeleo? ni katili kuua Ulaya.marekani na kutuacha sisi? Think big!
 
Kuongezea hapo.. huu sio wakati wa kushangilia, huu ugonjwa ni mpya bado sana kuweza kujua hatma ya huu uzembe tulioufanyia.
Exactly! Umegonga penyewe! You never know incubation period kwa sis tulio resistant ni muda gani?
 
Back
Top Bottom