Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 2,650
- 4,849
Akili zimewarudi baada ya mwendazake kuitwa kwenye hukumu hukooooo juu, na kwa maneno mengine ni kwamba alikua anawatuma mwenyewe wala sio wao ndiomaana sasahivi kimyaaaaa shenzy taipu kabisa
Aliyewatuma hayupo
Bado muda wataanza soonBaada ya uchaguzi mkuu ambao ni moja ya chaguzi mbaya kupata kutokea Tanzania, bunge la Tanzania kupitia wabunge wake wa chama kimoja waliopatikana baada ya uchaguzi kuchafuliwa na tume ya uchaguzi kulizuka mjadala bungeni wa kuwa rais Magufuli aongezewe muhula wa uongozi...
Wamuongezee muda wa kukaa kaburiniUmeona eh? Walikuwa wanatumwa ku-test maji. Aliyekuwa anawatuma amezikwa Chattle.