Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
mrembo mbona kama umepanic hahahaaaaaaaCDM fanatics ni wajinga sana, Maalim na team yake ya ACT Zanzibar walitaka kujaribu kuleta vurugu kwa maksudi halafu mnataka vyombo vya usalama viwachekee, wamepata wanachostahili na walifikiria wataogopwa, sasa mvimbisheni kichwa tena Maalim ajaribu kuingiza watu barabarani.