Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,091
Tuliunda kamati za uchunguzi zilizosheheni wataalamu waliobobea wa mambo ya madini (profesa Mruma) na mtaalamu wa mambo ya fedha Profesa Osoro.
Kamati hizi mbele ya rais, na mbele ya wananchi wa Tanzania zilitangaza namna tulivyokuwa tukiibiwa madini kwa miaka yote kampuni ya ACACIA ilipokuwa ikioperate nchini.
Ripoti zikasema kuhusu madini tuliyoibiwa ndani ya makinikia ni mengi mno na yakathaminishwa kwa thamani ya dola bilion 190 ambayo ni taktiban shilingi Trillion 425 hivi.
Hizi pesa ni nyingi mno, ni Bajeti ya nchi yetu kwa zaidi ya miaka 10.
Leo hii tumesaini mkataba, hizi pesa hatutarudishiwa hata senti. Yaani siyo Barrick wala ACACIA (Iliyouzwa kwa Barrick) tuliyoweza kuishika mashati itulipe fedha hizi.
Tulichokifanya, ndani ya mkataba tumejifunga kuwa tutaondoa madai ya aina hii katika ushirika mpya tulioingia na hawa Barrick.
Cha kujiuliza ni kwamba, kama hawa watu wametuibia, na ushahidi wa kutuibia upo kabisa na ni wa kisomi, Kwa nini tusingewang'ang'ania hata mahakamani watulipe pesa zetu?.
Haitoshi kutwambia kuwa tutapata economic benefi, hizo economic benefit haziwezi kulingana na Shilingi TRILION 425 pesa za wananchi.
Serikali itoe majibu, hivi kwa umakini wa aina gani leo hii unaweza kwenda kusamehe TRILION 425?
Kamati hizi mbele ya rais, na mbele ya wananchi wa Tanzania zilitangaza namna tulivyokuwa tukiibiwa madini kwa miaka yote kampuni ya ACACIA ilipokuwa ikioperate nchini.
Ripoti zikasema kuhusu madini tuliyoibiwa ndani ya makinikia ni mengi mno na yakathaminishwa kwa thamani ya dola bilion 190 ambayo ni taktiban shilingi Trillion 425 hivi.
Hizi pesa ni nyingi mno, ni Bajeti ya nchi yetu kwa zaidi ya miaka 10.
Leo hii tumesaini mkataba, hizi pesa hatutarudishiwa hata senti. Yaani siyo Barrick wala ACACIA (Iliyouzwa kwa Barrick) tuliyoweza kuishika mashati itulipe fedha hizi.
Tulichokifanya, ndani ya mkataba tumejifunga kuwa tutaondoa madai ya aina hii katika ushirika mpya tulioingia na hawa Barrick.
Cha kujiuliza ni kwamba, kama hawa watu wametuibia, na ushahidi wa kutuibia upo kabisa na ni wa kisomi, Kwa nini tusingewang'ang'ania hata mahakamani watulipe pesa zetu?.
Haitoshi kutwambia kuwa tutapata economic benefi, hizo economic benefit haziwezi kulingana na Shilingi TRILION 425 pesa za wananchi.
Serikali itoe majibu, hivi kwa umakini wa aina gani leo hii unaweza kwenda kusamehe TRILION 425?