Zikiwa zimebaki siku tano, Home Shopping Centre yasitishwa uwepo wake

Ukifuatilia kuhusu huyu jamaa wa hsc alivyofanya na kulindwa na familia ya j.k
UKimuona unaweza kumti@ mti bs bs ya shingoo
 
Jamani mpeni kura lowasa ndo ataweza kuwakamata hawa majambazi. ...watu tunamaliza chuo tunakaa miaka 5 bila kupata kazi...hzo kodi zote zingeazisha viwanda Vingap watu wapate kazi???..sasa naanza kuamini elimu bure tanzania inawezekana kama kuna matrilioni ya kodi yanakwepwa.....kumbukeni ni lowasa pekee ambaye hatoweza kulinda familia ya mtu fulani..
 
Wamefunguwa kampuni zingine kwa hiyo hawana haja ya kubaki na Home Shopping, ni business strategy tu.

Ni uongo kuwa wamekimbia uchaguzi, wapo tena wapo sana tu.

hatimaye mmeuza na mmeongezea kwenye kibubu chenu kwa ajili ya kulipa magari yanayosomba watu maana nasikia sahivi kila fungu watu wanamega coz mameshanusa harufu ya kuanguka hapo jumapili ijayo kwa style ya chukua chako mapema. poleni watani zetu kwani tatizo sio demokrasia bali tatizo ni CCM kushindwa kutekeleza ahadi zake kwa watanzania.
 
Si ajabu Mtoto na mke wa kigogo kuhusika. Hata kina lowasa et AL. Kama wengine wanavyosema

Ndio maana wengine humu tunasema mafisad wote washugulikiwe - awe kutoka ccm au ukawa.

Magufuli ndio anaweza fanya kazi hii

Kama issue ni ufisadi basi magufuli itabidi aanze kwa kujishugulikia yeye mwenyewe kwanza kwani naye ni fisadi wa kutosha hasa si kidogo. Anapaswa kutoa boriti jichoni mwake kwanza kabla ya kutoa kijiti kwa wengine.
 
hatimaye mmeuza na mmeongezea kwenye kibubu chenu kwa ajili ya kulipa magari yanayosomba watu maana nasikia sahivi kila fungu watu wanamega coz mameshanusa harufu ya kuanguka hapo jumapili ijayo kwa style ya chukua chako mapema. poleni watani zetu kwani tatizo sio demokrasia bali tatizo ni CCM kushindwa kutekeleza ahadi zake kwa watanzania.

CCM imeshashinda uchaguzi, hivi bado unamatumaini tu?

Wenzako wanaongelea mengine saa hizi.
 
Magufuli hajaingia, mafisadi yameanza kufunga madukaaaa, na bado!!!!

Magufuli mwenyewe fisadi mzuri tu,sema wamefirisika kwa kununua karatasi za kupigia kura feki, kuwahonga dr mihogo na profeseri,pia kusombasomba watu kwenye mikutano ya fisiemu.
 
Mkuu wangu lukindo kwanza shukrani kwa kutambua huyu jamaa anaweza akawa na maslai huko either directly au indirectly.. Jana nilipita pia kule kwenye uzi wa sakata la wafanyabiashara wa K/koo na HSC kwenye Jukwaa la Biashara nikaona anatoa mapovu kutetea hawa watu.. That was 2013 na wewe kule nilikuona ukiwapa vidonge vyao...

Back to the point, hii habari ya kufungwa honestly sasahivi haitubariki hata kidogo.. This time tunataka kuona watu wakifilisiwa mali na biashara zote walizowekeza hapa ndani na ikibidi hata jela pia iwahusu.. Hizi habari za kesi kupelekwa miaka zaidi ya 7 alafu unafungwa mwaka mmoja wakati umeiba matrillion itakuwa mazingaombwe tu..
Bongo tambalale.
Hapa ni kuchezesha 'kekundu', 'keusi' alafu malofa tunakaa kimya na kujidanganya kuwa kafilisika na kufunga biashara. Ukweli unaweza kuwa kwamba shughuli zinaendelea kama kawaida ila ni majina tu yanabadilishwa, uzuri ni kwamba hawa jamaa wa fisiemu wanafahamiana na kwa sababu wameshaonyesha dalili mgawanyiko naamini hautaishia hapa bali watachimbana mpaka watafumua hata yaliyojificha.

 

20th October 2015
HSC-20Octboer.png

Home Shopping Center Limited (HSC).


Kampuni ya Home Shopping Center Limited (HSC) inayomiliki maduka maarufu ya vifaa vya nyumbani kama mazulia, shuka na mapazia imefunga shughuli zake na kuwa katika mchakato wa ufilisi chini ya Yusufu Mohamed wa kampuni ya Law Domain Advocates ya jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa na Mohamed kupitia gazeti la serikali la Daily News jana, kampuni hiyo imeingia mchakato wa ufilisi wa hiari kwa kuzingatia Sheria ya Kampuni, Sura 212 ya mwaka 2002 kufuatia kile kinachoelezwa kuwa ni kutokana na uamuzi uliofikiwa Oktoba 5 mwaka huu.

Kadhalika, umma umefahamishwa zaidi kupitia taarifa hiyo fupi kuwa, yeyote mwenye kuidai Home Shopping Centre anapaswa kuwasilisha madai yake kupitia anuani ya mfilisi ndani ya siku 14 kuanzia siku ya kutolewa kwa notisi Oktoba 15, 2015.

Kwa mujibu wa tovuti inayoihusisha kampuni hiyo, inaelezwa kuwa ilianzishwa mwaka 1996 na ilianza shughuli zake kwa kuuza mazulia na shuka kabla ya kupanuka na mwishowe kusambaza bidhaa zake hadi katika nchi nyingine za Afrika zikiwamo za Malawi, Zambia, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Uganda, Burundi, Rwanda na Kenya.

Chanzo kimoja kimeiambia Nipashe kuwa, kufilisika ghafla kwa kampuni ya Home Shopping Centre katika kipindi hiki cha siku chache kabla ya uchaguzi mkuu na kuingia madarakani kwa serikali mpya kunaweza kuibua maswali mengi kutoka kwa baadhi ya watu, hasa kutokana na tuhuma mbalimbali ambazo zimekuwa zikiibuliwa dhidi ya kampuni hiyo kwa kuihusisha na baadhi ya vigogo.

Hata hivyo, Nipashe haikuweza kuthibitisha ukweli wa madai mbalimbali yanayoelekezwa kwa kampuni hiyo yenye maduka yake katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam, yakiwamo ya Msimbazi, Mtaa wa Uhuru, Masaki na Mlimani City.


KAMPUNI KUSITISHWA
Akizungumza na Nipashe jana, wakili mmoja wa kujitegemea alisema hakuna madhara makubwa pindi mmiliki anapoamua kuiweka mufilisi kampuni yake kwani ni uamuzi wa kawaida uliowekewa utaratibu kisheria.

KUMWAGIWA TINDIKALI
Mwaka 2013, mmoja wa wamiliki wa HSC, Said Mohamed Saad, alimwagiwa tindikali eneo la Msasani, jijini Dar es Salaam na watu wasiojulikana. Baada ya tukio hilo, Saad alipelekwa Afrika Kusini kutibiwa.




CHANZO: NIPASHE


 
Duh R1 na Ms mmetukomoa sana lakini iko siku mtatapika yote. Ndo maana ulisema rais hatatoka kasikazini. Ok tengeneza infantry iliyo iva wakulinde lakini utatapika tu.
 
Watatafutwa kokote watakapo kuwepo na kuwajibika kisheria

Mbona wapo, tena wana makampuni mengi tu, kama una ushahidi wa uhalifu wao unaweza kwenda kushitaki tu unangoja nini? Au wewe hauipendi jamii?

Ofisi zao zipo Lumumba na Udoe, utaona bango kubwa limeandikwa Alosco, ndio hapo hapo utawakuta wote.
 
Mkiona tajiri basi ni muovu?

Hizo ndiyo akili za kichagga, kuwa hutajiriki mpaka uwe jambazi.

Wachagga mnataka muone tajiri wa kichagga tu, mna roho mbaya sana, na hatuwapi nchi.

we utajir wa magaidi ya ki arabu kwako ndio deal
 
ally ngomanzito

Umekosea, si kampuni 10 tu, ana ubia wa kampuni zaidi ya 300 (mia tatu).

Kwanza kabisa nnaomaba uelewe, wewe na wale wasioelewa maana ya "kampuni". Ukishasema "kampuni" inamilikiwa na mtu mmoja, unakosea sana tena sana na unakuwa ni muongo.

Kampuni ni "ubia", sasa nnaomba tutajie "kampuni" moja tu ambayo Ghalib ni mbia na nani mwingine ni mbia / wabia wake?

Nnakukumbusha tu, Ghalib ana ubia zaidi ya "kampuni" kumi, tukizihesabu zinaweza kufika mia tatu, za ndani na nje ya Tanzania.

Ukimaliza, tunaomba utuoneshe "ufisadi" wake.

Au ndiyo kama ule wa Lowassa mliowa mnatuamnisha?

Funguka kijana, usibane.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom