kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
Nipo kwenye daladala, naitazama saa ni saa 6 mchana, siku ya jumamozi wiki iliyopita yaani juzi tu. Nimekosa kiti nawajibika kusimama. Tupo abiria kadhaa mbao tumesimama kiasi ambacho tumebanana kiasi ingawa siyo kama kupumuliana visogoni.
Kati ya waliosimama jirani yangu ni kijana fulani kavaa suluwali aina ya jeans na shati jeusi, kisha miguu kavaa sandozi rangi ya njano. Pembani yake yuko binti makamu ya miaka 19 au 20, sote tupo kimya kila mmoja anawaza lake.
Lakini kadiri tunavyokwenda namuona kijana anamsogelea sana yule binti, anambana kupita kiasi hadi najiuliza kulikoni huyu njemba? Najifanya sioni sana ila nazidisha kujihoji inakuwaje hapao, nini kinachoendelea. Kumbe yule kijana anambana yule binti huku uume umesisisimka jamani, anaHAMU huyooooo, kambana binti wa watu kana kwamba hakuna nafais nyingine. Kinachonifanya nigundue ni kwamba mara nyingi alikuwa akiingiza mkono kwenye suluwali yakee yaani pale penye uzima wake wa kunogeshea mambo. Naona anatengeneza kuelekea kwa yule binti, najiuliza kulikoni hapa?
Naona kuna mzee fulani kagundua ule mchezo, pia hata binti akagundua kuwa **** lake linaguswa na kitu kigumu ingawaje ni KITAMU. Sasa yule kijana anaongeza midadai bila kufahamu tuliopo pembeni tunaona harara zake, anajikita zaidi katika **** la yule binti, anatetemeka kiasi, mara anazidisha hali hiyo huku akisahau yuko kwenye gari la umma. Kimsingi nashindwa kuvumilia naamua kucheka, naona jirani yangu fulani kagundua kitu kwanini nacheka kishkaji...maana hata mhusika alibaini hilo. laiti angelijua kuwa nilikuwa nacheka kumnusuru kabla hajakutwa na zahma...nikaona bora niendelee kunyamaza tu huku nikicheka kibingwa.
Jamaa hana soni, ndani ya basi abiria wamepungua, kuna nafasi ambayo angeliweza kutengana na yule binti...lakini haachi jamani duh! Naona kuna siti iko tupu naamua kuisogelea, ndipo jamaa mmoja ananiuliza inakuwaje mwana mbona kicheko muda mrefu sana, namshitua cheki kazi hapo mbele.....alaaha kuja kuangalia hali imekuwa hivyo hadi binti kagundua jamaa akaelekeza kichungulia uvunguni katika **** lake. Na kilichomwokoa binti ni kwamba kuna jamaa alishuka kituo fulani kwahiyo akapata upenyo akajichopoa haraka toka kiunoni mwa mshikaji.
Ikabidi nijiulize hivi wanawake waliopo na wamejazana kama magazeti duniani hawaoni? Nikajiuliza inakuwaje aisake aibu yote hii? Je kama wewe msomaji unapokuwa na NYEGE unafanyaje? Au unaparamia kama huyu jamaa? Ni rahisi tu mbona kuna midada ipo inauza uvungu kwa sh. 300/=? Usibishe msomaji nimechunguza haya mambo?
Najiuliza ni kweli hana buku akijipatie uvungu japo kupunguza TUI LA NAZI? nadhani nilichanganyikiwa mimi labda na mwenzangu akawa anajipa starehe...... najiuliza sipati jibu!
Kati ya waliosimama jirani yangu ni kijana fulani kavaa suluwali aina ya jeans na shati jeusi, kisha miguu kavaa sandozi rangi ya njano. Pembani yake yuko binti makamu ya miaka 19 au 20, sote tupo kimya kila mmoja anawaza lake.
Lakini kadiri tunavyokwenda namuona kijana anamsogelea sana yule binti, anambana kupita kiasi hadi najiuliza kulikoni huyu njemba? Najifanya sioni sana ila nazidisha kujihoji inakuwaje hapao, nini kinachoendelea. Kumbe yule kijana anambana yule binti huku uume umesisisimka jamani, anaHAMU huyooooo, kambana binti wa watu kana kwamba hakuna nafais nyingine. Kinachonifanya nigundue ni kwamba mara nyingi alikuwa akiingiza mkono kwenye suluwali yakee yaani pale penye uzima wake wa kunogeshea mambo. Naona anatengeneza kuelekea kwa yule binti, najiuliza kulikoni hapa?
Naona kuna mzee fulani kagundua ule mchezo, pia hata binti akagundua kuwa **** lake linaguswa na kitu kigumu ingawaje ni KITAMU. Sasa yule kijana anaongeza midadai bila kufahamu tuliopo pembeni tunaona harara zake, anajikita zaidi katika **** la yule binti, anatetemeka kiasi, mara anazidisha hali hiyo huku akisahau yuko kwenye gari la umma. Kimsingi nashindwa kuvumilia naamua kucheka, naona jirani yangu fulani kagundua kitu kwanini nacheka kishkaji...maana hata mhusika alibaini hilo. laiti angelijua kuwa nilikuwa nacheka kumnusuru kabla hajakutwa na zahma...nikaona bora niendelee kunyamaza tu huku nikicheka kibingwa.
Jamaa hana soni, ndani ya basi abiria wamepungua, kuna nafasi ambayo angeliweza kutengana na yule binti...lakini haachi jamani duh! Naona kuna siti iko tupu naamua kuisogelea, ndipo jamaa mmoja ananiuliza inakuwaje mwana mbona kicheko muda mrefu sana, namshitua cheki kazi hapo mbele.....alaaha kuja kuangalia hali imekuwa hivyo hadi binti kagundua jamaa akaelekeza kichungulia uvunguni katika **** lake. Na kilichomwokoa binti ni kwamba kuna jamaa alishuka kituo fulani kwahiyo akapata upenyo akajichopoa haraka toka kiunoni mwa mshikaji.
Ikabidi nijiulize hivi wanawake waliopo na wamejazana kama magazeti duniani hawaoni? Nikajiuliza inakuwaje aisake aibu yote hii? Je kama wewe msomaji unapokuwa na NYEGE unafanyaje? Au unaparamia kama huyu jamaa? Ni rahisi tu mbona kuna midada ipo inauza uvungu kwa sh. 300/=? Usibishe msomaji nimechunguza haya mambo?
Najiuliza ni kweli hana buku akijipatie uvungu japo kupunguza TUI LA NAZI? nadhani nilichanganyikiwa mimi labda na mwenzangu akawa anajipa starehe...... najiuliza sipati jibu!