Zikikupanda unafanyaje?

kilimasera

JF-Expert Member
Dec 2, 2009
3,068
268
Nipo kwenye daladala, naitazama saa ni saa 6 mchana, siku ya jumamozi wiki iliyopita yaani juzi tu. Nimekosa kiti nawajibika kusimama. Tupo abiria kadhaa mbao tumesimama kiasi ambacho tumebanana kiasi ingawa siyo kama kupumuliana visogoni.
Kati ya waliosimama jirani yangu ni kijana fulani kavaa suluwali aina ya jeans na shati jeusi, kisha miguu kavaa sandozi rangi ya njano. Pembani yake yuko binti makamu ya miaka 19 au 20, sote tupo kimya kila mmoja anawaza lake.
Lakini kadiri tunavyokwenda namuona kijana anamsogelea sana yule binti, anambana kupita kiasi hadi najiuliza kulikoni huyu njemba? Najifanya sioni sana ila nazidisha kujihoji inakuwaje hapao, nini kinachoendelea. Kumbe yule kijana anambana yule binti huku uume umesisisimka jamani, anaHAMU huyooooo, kambana binti wa watu kana kwamba hakuna nafais nyingine. Kinachonifanya nigundue ni kwamba mara nyingi alikuwa akiingiza mkono kwenye suluwali yakee yaani pale penye uzima wake wa kunogeshea mambo. Naona anatengeneza kuelekea kwa yule binti, najiuliza kulikoni hapa?
Naona kuna mzee fulani kagundua ule mchezo, pia hata binti akagundua kuwa **** lake linaguswa na kitu kigumu ingawaje ni KITAMU. Sasa yule kijana anaongeza midadai bila kufahamu tuliopo pembeni tunaona harara zake, anajikita zaidi katika **** la yule binti, anatetemeka kiasi, mara anazidisha hali hiyo huku akisahau yuko kwenye gari la umma. Kimsingi nashindwa kuvumilia naamua kucheka, naona jirani yangu fulani kagundua kitu kwanini nacheka kishkaji...maana hata mhusika alibaini hilo. laiti angelijua kuwa nilikuwa nacheka kumnusuru kabla hajakutwa na zahma...nikaona bora niendelee kunyamaza tu huku nikicheka kibingwa.
Jamaa hana soni, ndani ya basi abiria wamepungua, kuna nafasi ambayo angeliweza kutengana na yule binti...lakini haachi jamani duh! Naona kuna siti iko tupu naamua kuisogelea, ndipo jamaa mmoja ananiuliza inakuwaje mwana mbona kicheko muda mrefu sana, namshitua cheki kazi hapo mbele.....alaaha kuja kuangalia hali imekuwa hivyo hadi binti kagundua jamaa akaelekeza kichungulia uvunguni katika **** lake. Na kilichomwokoa binti ni kwamba kuna jamaa alishuka kituo fulani kwahiyo akapata upenyo akajichopoa haraka toka kiunoni mwa mshikaji.
Ikabidi nijiulize hivi wanawake waliopo na wamejazana kama magazeti duniani hawaoni? Nikajiuliza inakuwaje aisake aibu yote hii? Je kama wewe msomaji unapokuwa na NYEGE unafanyaje? Au unaparamia kama huyu jamaa? Ni rahisi tu mbona kuna midada ipo inauza uvungu kwa sh. 300/=? Usibishe msomaji nimechunguza haya mambo?
Najiuliza ni kweli hana buku akijipatie uvungu japo kupunguza TUI LA NAZI? nadhani nilichanganyikiwa mimi labda na mwenzangu akawa anajipa starehe...... najiuliza sipati jibu!
 
Dah,
huyo ngosha ni noma.
Yaani inapatwa na mfadhaiko kwenye kadamnasi?
Mi nikibanwa pabaya, naanza , kuvua,
navua shati, kisha navua suruali,
baada ya hapo naanza kuvaa.
Navaa singleti na suruali ya mazoezi,
naingia uwanjani.
Nikipiga raundi zangu ishirini za kukimbia,
mbona mahanjamu yote yanakuwa yameisha!!!
 
Ni kujiendekeza tu; hali ikikuta na ukairuhusu akili yako kuwaza mwili huwa unaamrishwa kutenda tu! Huko ni kujiendekeza na kunasabibisha uonekane taahira!
 
Sipati picha ilikuwaje huyo binti alivyopata nafasi ya kukaa na yeye bado kasimama kote kote, dunia ina mambo.
 
Miaka ya tisini ile hizi issue za mfadhaiko tulizisikia daily kwenye magazeti, sasa huyo jamaa bado anaishi na mifadhaiko yake, so sad!
 
du si muchezo mutoto ya mujini inataka kujiabisha du. Mbona pale Macheni Pub wapo kibao saizi unayotaka. kwanini alitakakujiabisha??? au jogoo la shamba halikosi kamba............
 
Duh! Kuna mmama alimkamata kijana mmoja dudu yake kwenye daladala kimya kimya akaanza kuiminya mbya. Kijana ikabidi apige kelele, wattu wakaona, wakamtwanga kijana.
 
huyo dada nae alikuwa anaona 'raha' kwanini asimkemee mapema?
 
agiza chupa ya maji ya 500/= kunywa kwa kasi hamu itaisha,kama huwezi usipande daldala za kubanana wadada wengine wana visa,bora huyo alivaa jeans angekutana na yule wa juzi alivaa kaskirt laini kimini vurugu za basi la mbagala kikavutwa chini kidogo bila kujijua,ikawa shoo nzuri ya kufuli aina ya G sting na chachandu kama kumi hivi,nahisi alikuwa anatuachia ili wakware wapate burudani alikuwa hajali kabisa ila mimi nilikuwa naona kichefuchefu ukizingatia mzigo alionao na alivyovaa havilingani angekuwa huyo si angebaka? nilishukuru niliposhuka salama mtoni azizi ally kabla sijatapika,du wadada mtuhurumie watoto wa wanawake wenzenu MWEE!
 
Hii ndio dunia na ukisikia watu wanasema DUNIA TAMBARA BOVU sio uongo ni ukweli! Hivi jamani kwenye usafiri wa umma? Maana yake ni nini? Ni kuchanganyikiwa ama? Hata kama zimekubana ndio uanze humo humo? si uteremke ukatafute kisha ushindilie ipasavyo? watu wengine bwana noma kweli kweli! Mimi ningekuwa huyo dada palepale nilipogundua ningepiga kelele hizo heee, hadi basi zima wangejua alikuwa anataka kujichojolesha kwangu!
 
Aliruhusu mfadhaiko wa akili. Unaanza kwa kuangalia, halafu ubongo unafikiri na fikra zinaanza kutenda hapo ndipo wendawazimu unampata bila kujua. Haziwezi kukupanda bila kuwaza. Kama furaha ya macho inavuka mpaka hadi kwenye ubongo basi usiangalie wala kuwafikiria unapokua kwenye kadamnasi.
 
ikiwa hivyo ni kukimbilia kwa mungu. Sali rozari utavishinda vishawishi. Ikiwa ngumu sali sala yoyote fupi ili umwombe Mungu naye atakuepusha na kishawishi.
 
mazee noma bt nw days chks wapo wakutosha kwanin upate tabu legeza domo watoto kibao jamani
 
Back
Top Bottom