babyfancy
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 2,176
- 6,182
Ukimkuta unaweza dhania ni wa maana kumbe maisha yake Mungu ndio anajuaNa suruali zao ni za vitambaa tu, halafu mashati yanakuaga over size flani ....aiseeeee!!!!
Ukimkuta unaweza dhania ni wa maana kumbe maisha yake Mungu ndio anajuaNa suruali zao ni za vitambaa tu, halafu mashati yanakuaga over size flani ....aiseeeee!!!!
Hyo ya Kwanza ni kweli kuhusu wanaume vipara
Kuanzia laki aiseeKuhonga kuanzia sh ngapi
Ahaaaa basi wanawasingizia sio woteKuanzia laki aisee