Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe na mleta mada wote namwachia MunguHata kama dini inakuruhusu, kwa mujibu wa mleta uzi huu wewe ni kicheche maana una watoto wa kike watatu
Wenzako mwisho wa mwezi ni leo. Chelewa chelewa ukute wameshaiwahi wenye shida zaoNitakuja weekend ijayo ambayo itakuwa ya mwisho wa mwezi
Iyo dhambi ya uzinaa atakuja kuilipa tu,kama sio yeye basi katika kizazi chake nao watakuja kuziniwa tu,Zinaa ni kama kitenesi vile kama uliwaheshimu mabinti wa watu basi nawe watakuja kuheshimika kama wewe ulivyowaheshimuKafanye tena Research yako.... Hakuna uhusiano wowote hapo....
Brother wangu alikua kicheche balaa,kabla ya ndoa na hadi leo bado kicheche ila watoto wake 5,hana mtoto wa kike hata mmoja...
Jiran yangu hapa,ni Mzee mmoja mtaratibu sana na mpole sana,mkewe wake pia ni mpole sana na mstarabu sana,ila wana watoto wakike 4....
Endapo mzazi mmoja wapo alikuwa kicheche kabla ya kuoa au kuolewa au kupata mtoto ifahamike kwamba uwezekano wa kupata mtoto wa kike ni 95%. kama huamini chunguza alafu npe mrejesho!
Endapo mzazi mmoja wapo alikuwa kicheche kabla ya kuoa au kuolewa au kupata mtoto ifahamike kwamba uwezekano wa kupata mtoto wa kike ni 95%. kama huamini chunguza alafu npe mrejesho!
tupe ushahid mkuu!Hii siyo kweli me nna ushaidi
Nimewahi kuwa na single mama mmoja baadae nikagundua katombesha washkaji zangu kadhaa na baadhi masela wengine mtaanitupe ushahid mkuu!
kumbe vicheche wanageuka kuwa watu??
Wewe na mleta mada wote namwachia Mungu
Wenzako mwisho wa mwezi ni leo. Chelewa chelewa ukute wameshaiwahi wenye shida zao
Hahahaha, aseeHii hata mm nimewahi isikia..lakini inaplay upande wa kiume . sio kikeni...si unaona mfano wa aspirin hapo!
Hahahaha, Mkuu Mange wa kwanza sio wa kike ,Bhoke ?Uongo mtupu ---
Sasa mbona zari /Irene uwoya. Mange kimambi etc ".. Watoto zao wa kwanza ni wanaume ''.... hauna logic
Hahahaha, Mkuu Mange wa kwanza sio wa kike ,Bhoke ?
Ila km ni mume au mke alikua kicheche, hapo kwa Zari unamuangalia Dai au Zari mwenyewe ? mtoto wao kwanza ni nani sio Tiffah kweli ?
HahahaWewe na mleta mada wote namwachia Mungu
HahahahaHapo na muangalia zari tangu alivyo Anza kukigawa Enzi hizo -akiwa na Ivan ---
Halafu usimsahau Jnl-mengi. ...
Hahahaha
Hahahaha, sawa Mkuu we zilete tuHahaha Taratibu tu mkuu -tuendelee nitakupatia shuhuda mbali mbali