Sasa hapo tatizo ni la CCM au wapinzani ? kwanini wapinzani wategemee watu waliokatwa CCM badala ya kuchagua watu wao wenyewe.Wanasubiri dakika ya mwisho ili wasiamie UPINZANi .CCM ya sasa no waoga kuliko ilivyowahi kutokea.This is delay tactics hizi tunaita kwa kichagga