Vijue vyeo, Majina na Alama za Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ)

Unataka uingie jeshini halafu upewe cheo kisa una degree? Basi wenye phD wangeingia huko na wangekuwa mameja generali. Kikubwa ni utumishi bro( utendaji kazi na nidhamu). Elimu yako itakusaidia kupanda juu kwa haraka ila bila kuchapa kazi kwa bidii na kuwa na nidhamu hata ukiwa na degree 12 kama Mugabe utaishia kuwa private.
Sasa wamjibu au wamkashifu
 
Unataka uingie jeshini halafu upewe cheo kisa una degree? Basi wenye phD wangeingia huko na wangekuwa mameja generali. Kikubwa ni utumishi bro( utendaji kazi na nidhamu). Elimu yako itakusaidia kupanda juu kwa haraka ila bila kuchapa kazi kwa bidii na kuwa na nidhamu hata ukiwa na degree 12 kama Mugabe utaishia kuwa private.
Kama ukipata bahati ya kuingia na kwenda TMA kozi na degree yako unapata nyota 1 luteni usu (kama alivyoainisha mchambuzi)
 
Unataka uingie jeshini halafu upewe cheo kisa una degree? Basi wenye phD wangeingia huko na wangekuwa mameja generali. Kikubwa ni utumishi bro( utendaji kazi na nidhamu). Elimu yako itakusaidia kupanda juu kwa haraka ila bila kuchapa kazi kwa bidii na kuwa na nidhamu hata ukiwa na degree 12 kama Mugabe utaishia kuwa private.
Ni kweli bidii na nidhamu ni muhimu jeshini lakini elimu ina umuhimu wake mkubwa katika kupanda cheo. kwa mfano ukiwa la 7 au form IV usitarajie kupata nyota hata ukichapa kazi kwa bidii na kuwa na nidhamu utaishia usajinitaji, ila aliye fika form VI anaweza kupata nyota akitimiza wajibu wake na kozi husika vivyo hivyo kwa wenye degree, masters na PhD wana advantage kubwa ya kupata uofisa ndani ya muda mchache na sio rahisi wenye elimu level hizi kuishia u private
 
Unataka uingie jeshini halafu upewe cheo kisa una degree? Basi wenye phD wangeingia huko na wangekuwa mameja generali. Kikubwa ni utumishi bro( utendaji kazi na nidhamu). Elimu yako itakusaidia kupanda juu kwa haraka ila bila kuchapa kazi kwa bidii na kuwa na nidhamu hata ukiwa na degree 12 kama Mugabe utaishia kuwa private.
ni kweli mkuu kuwa jeshini na mahali popote kwa kazi inahitaji utumishi bora. ila tambua elimu ni muhimu na ni kigezo hasa unapoajiriwa kwa mara ya kwanza. unadhani drs la 7, kidato cha 4, kidato cha 6, mwenye shahada ya kwanza, wote wanaanza na vyeo sawa? ila tutambue jeshini iuwa na fani inayohitajika za taasisi hii humfanya mtu aanze na cheo kikubwa au apande fasta. kwa mfano kama hawajabadilisha hivi karibuni, wanaoingia na fani ya udaktari wanaanza na ukapteni wakati fani nyingi hawaanzii hapo.
 
Mkuu ahsanteh kwa ufafanuzi, ila niliomba kufahamu mtu mwenye degree ya kwanza akifanikiwa kuingia jeshini anakuwa na cheo gani hapo mkuu na mtu mwenye diploma.nashukuru mkuu
Vyeo vinaambatan na kozi, ila kuna vingine unaweza tunukiwa kwa heshima( kuna vyeo vya heshima)

Ukiwa na elim kama yako unaweza pata fursa ya kwenda kupiga kozi za officer TMA hukoooo, unatunukiwa baada ya kumaliza mafunzo.

Unaweza pewa Singl star then unakuwa kwenye uangalizi after muda unapandshwa kuwa luteni.

Ila kupanda tena ni mwendo wa kozi tena
 
Raia ukishafahamu vyeo vya kijeshi vitakusaidia nini?
1. si mbaya tena ni nzuri zaidi kujua chochote kinachohusu taifa letu
2. mjadala kama huu unachochea uzalendo kwa taifa. kwani yawezekana mwingine akaamua kujiunga na taasisi hii kwa manufaa ya taifa letu kwa kujuzwa jukwaani
3. interest kwa wanaopenda. ndiyo maana watu wanachangia japo kwa bahati mbaya mmoja hajachangia ila anashangaa tu
 
ni kweli mkuu kuwa jeshini na mahali popote kwa kazi inahitaji utumishi bora. ila tambua elimu ni muhimu na ni kigezo hasa unapoajiriwa kwa mara ya kwanza. unadhani drs la 7, kidato cha 4, kidato cha 6, mwenye shahada ya kwanza, wote wanaanza na vyeo sawa? ila tutambue jeshini iuwa na fani inayohitajika za taasisi hii humfanya mtu aanze na cheo kikubwa au apande fasta. kwa mfano kama hawajabadilisha hivi karibuni, wanaoingia na fani ya udaktari wanaanza na ukapteni wakati fani nyingi hawaanzii hapo.
ndio wote wanaanza na vyeo sawa
 
1. Asiye na cheo-Private
2. V moja- Koplo usu
3. V mbili-Koplo
4. V tatu- Sajenti
5. V tatu na mwenge- sajinitaji
6. Mwenge(mkononi)-Afisa mteule daraja la pili, na ngao(mkononi)afisa mteule daraja la kwanza
7. Nyota moja-luteni usu
8. nyota mbili-luteni
9. nyota tatu-kapteni
10. ngao-meja
11. ngao & nyota moja-luteni kanali
12. ngao & nyota mbili-kanali
13. ngao & nyota tatu-brigedia jenerali
14. X & nyota mbili na ngao-meja jenerali
15. X & nyota tatu na ngao-luteni jenerali
16. X & nyota nne na ngao-jenerali
N.B: Mwenye masahihisho anakaribishwa
Hapo
13.marekebisho
Brigedia jenerali siku hizi ni
X ,nyota moja na ngao(one star general))
Tofauti na zamani alikuwa ni ngao na nyota tatu
 
Hapo
13.marekebisho
Brigedia jenerali siku hizi ni
X ,nyota moja na ngao(one star general))
Tofauti na zamani alikuwa ni ngao na nyota tatu
asante kiongozi. kweli hii nimeileta ile ya zamani. ndo maana kuna mtu amenikatalia kuwepo kwa jenerali mwenye nyota nne.
 
Back
Top Bottom