Behind the camera
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 315
- 740
Wanaume wengi wamekuwa na wasiwasi na mashaka juu ya wapenzi wao kuhusu suala zima la kufika kileleni wakati wa mapenzi.
Leo kwa ufupi kabisa nakuletea njia 4 nyepesi kabisa ambazo ukizitekeleza hizo katika shughuli yako Basi Ni lazima mtoto afike kileleni zaidi ya Mara 3 na mwenyewe utajiona kuwa kweli ni mwanaume wa mbegu Kama sio kidume haswaa.
ANGALIZO
Usitumie njia hizi kama mwanamke unae date nae humpendi. Maana atakuganda Kama ruba na itakuwa kero kwako.
1. Hakikisha huna / hana stress wala msongo wa mawazo kabla ya kukutana.
2. Sehemu ambayo mnakutana kwa ajili ya kubinjuana lazima iwe Safi na inanukia harufu nzuuuuuri.
3. Andaaneni haswaaa bila ya woga, mnyonyaji anyonywe na mnyonywaji anyonyeke haswaaa.... Mshikaji ashike na mshikwaji ashikike haswaaaaa.. Kunaneni kwa ushirikiano kama matairi ya gari yanavozunguka kwa pamoja.
4. Hakikisha mezani Kuna kibunda kizuuuri Cha pesa, Kama vipi unaweza kumpa kabisa manzi huyo na kumkabidhi aziweke kwenye mkoba ama handbag yake kwa ajili ya matuminzi yake. Hakika hapo atakojoa mpaka damu.
Nimemaliza.
Leo kwa ufupi kabisa nakuletea njia 4 nyepesi kabisa ambazo ukizitekeleza hizo katika shughuli yako Basi Ni lazima mtoto afike kileleni zaidi ya Mara 3 na mwenyewe utajiona kuwa kweli ni mwanaume wa mbegu Kama sio kidume haswaa.
ANGALIZO
Usitumie njia hizi kama mwanamke unae date nae humpendi. Maana atakuganda Kama ruba na itakuwa kero kwako.
1. Hakikisha huna / hana stress wala msongo wa mawazo kabla ya kukutana.
2. Sehemu ambayo mnakutana kwa ajili ya kubinjuana lazima iwe Safi na inanukia harufu nzuuuuuri.
3. Andaaneni haswaaa bila ya woga, mnyonyaji anyonywe na mnyonywaji anyonyeke haswaaa.... Mshikaji ashike na mshikwaji ashikike haswaaaaa.. Kunaneni kwa ushirikiano kama matairi ya gari yanavozunguka kwa pamoja.
4. Hakikisha mezani Kuna kibunda kizuuuri Cha pesa, Kama vipi unaweza kumpa kabisa manzi huyo na kumkabidhi aziweke kwenye mkoba ama handbag yake kwa ajili ya matuminzi yake. Hakika hapo atakojoa mpaka damu.
Nimemaliza.