Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,407
- 25,926
- Thread starter
- #81
Kifo cha Ccm Kifike mara ngapihicho kifo cha ccm hua hakifiki tu
Ukilitoa jeshi la polisi na bunduki zao, hakuna CCM duniani
Kifo cha Ccm Kifike mara ngapihicho kifo cha ccm hua hakifiki tu
Tuziombe nchi wahisani wakitambue rasmi Ccm kama kikundi cha kigaidi au sio ?Kufunga ofisi ya uteuzi wa wagombea na kuwateka wagombea wakiwa njiani kurejesha form, kuwavamia majumbani mwao na kuwajeruhi - kifupi CCM wana kila sifa ya Ugaidi.
Huo ubongo wa kutunzia kumbukumbu anao ?We comredi unaukumbuka ule uchafuzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2019?
KabisaShujaa wa wananchi wanyonge wa taifa hili
Kifo cha Ccm Kifike mara ngapi
Ukilitoa jeshi la polisi na bunduki zao, hakuna CCM duniani
Chama ambacho kinategemea kukingiwa kifua na jeshi la polisi ni chama mfu. Upo nyonyo ?ccm ni chama #12 duniani, kifo unachosubiri ni kipi icho?
Acha kuongea mashudu nimekwambia usifuatilie wanaume weka hoja zako unakimbiakimbia tukwan mkuu we haufuatilii wanaume wakiwa jukwaani tena unawakatikia kabisa
Acha kuongea mashudu nimekwambia usifuatilie wanaume weka hoja zako unakimbiakimbia tu
Kuna big deal gan hapa ya kudili nayo sasa 😂😂😂kwan mkuu si nmejibu hoja yako ama kuna ubaya? umelianzisha mwenyewe kwahio deal with it,
Makasiriko ndo nini mwanangu au wewe mukenya?mbna una makasiriko mkuu, taratibu utaskika
Makasiriko ndo nini mwanangu au wewe mukenya?
Kuna big deal gan hapa ya kudili nayo sasa 😂😂😂
Uzur tozo inapiga za utosi kwa kila raia 😂😂😂hamna mkuu kwahio hakikisha unalipa tozo
kkkkkk avatar nini bwana. Watu wanaweka hata za jiwe na njaa kaya itakuwa gwanda. Hata Kenya CCM ipo inaitwa chama cha mashinanisi unaona kabisa avatar yangu mkuu mm na kenya wap wap
kkkkkk avatar nini bwana. Watu wanaweka hata za jiwe na njaa kaya itakuwa gwanda. Hata Kenya CCM ipo inaitwa chama cha mashinani
Uzur tozo inapiga za utosi kwa kila raia 😂😂😂
Dada acha kiranga. Mie baba yako. Lugha yako ya makasiriko inatumika Kenya. Au ni wale wakenya wa mipakani wanaokimbia dhiki kwenu kuja kufaidi Tz?mbna unaongea sasa dada yangu, kuna mwanachama wa chama cha mashinani unamuona apo kwenye avatar
Dada acha kiranga. Mie baba yako. Lugha yako ya makasiriko inatumika Kenya. Au ni wale wakenya wa mipakani wanaokimbia dhiki kwenu kuja kufaidi Tz?
Kuna mwenye njaa kama wewe ambaye inakufanya ubwabwaje juu ya hata wale usiowajua. Kwenda zako huko na upumbavu na upunguani wako kinyama mwitu weshida zinakusumua aisee, ebu peleka njaa kule