soma uzi unajielewaWakuu STL je inamaana gani??
Duhh, hizo namba zinachanganya sana. Au ni makusudi ili iwe vigumu kuwatambua waheshimiwaDah!kuna moja nlikutana nayo nlichoka sijui ipo NW MSANWMNN yani hata sikuipata vzr coz ilinivuruga!!
Mkuu hapo kwny buluu sio kweli!mfano magari ya ESAMI yana plate no. ya buluu lkn sio ya UNZile za Blue Zote ni mashirika yalio chini ya Umoja wa Mataifa kwa mfano Unicef Unhcr Wfp
Kwa mfano T205 CD** ni UNHCR
Mkuu hapo kwny buluu sio kweli!mfano magari ya ESAMI yana plate no. ya buluu lkn sio ya UN
Ukikutana na Nissan Patrol nyeupe T xxx BFS na BFP ujue ngadu hao. If course kuna series nyingine nyingiHujaeka za usalama
Shida sana!Duhh, hizo namba zinachanganya sana. Au ni makusudi ili iwe vigumu kuwatambua waheshimiwa
Mara nyingi namba huishia 999 hivyo DFP ilipomaliza 999 imebidi ianze na herufi A,DFP-A ipo nayo , humanisha nini? au nini kirefu chake hasa hiyo A
Kweli ulijichomeka ...Niliwahi kujichomeka nikapanda magar ya msafara wa wazir mkuu wakati wa pinda hakuna aliyenishtukia, maana nilikuwa smart sana
Ninaipenda hiiBWL -Babu Wa Loliondo
Nimeipenda hii
Sahihi kabisa.Ukikutana na Nissan Patrol nyeupe T xxx BFS na BFP ujue ngadu hao. If course kuna series nyingine nyingi
Huo ni muendelezo tu wa ST, yaani STJ, STK, STL. Zote ni Serikali ya Tanzania.Wakuu STL je inamaana gani??
Labda kama ulipanda ambulance.Niliwahi kujichomeka nikapanda magar ya msafara wa wazir mkuu wakati wa pinda hakuna aliyenishtukia, maana nilikuwa smart sana
Hizo za UN za blue sio mabalozi tu wanaowakilisha mashirika ya UN Arusha hata kama unafagia kwenye majengo ya UN platenumber zako zitakua blue.Plate namba za kijani balozi za kawaida za blue ni balozi wanaowakilisha mashirika ya UN na organ zake.
K na L ni series zinazofuata baada ya ST. namba za herufi fulani zikijaa zinadamia herufi inayofuatastk na stl tofaut yake nn