Zijue namba za magari ya Tanzania! Pamoja na namba maalum za magari ya viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa ujumla

Wakuu naomba mnijuze hizi pleti number su, sm,stj,stk, zina maanisha nini?
 
SU=Soma Ule.
Unajua enzi zile kwenye mashirika ndio kulikua na wasomi wenye kujifaidisha na mshiko mwingi kuliko sehem zingine.
 
Su = shirika la umma
sm = serikali za mitaa
stg, stj, stk = serikali ya tanzania. Hizo herufi za mwisho yaani g,j na k. Hubadilika kila baada ya miaka 10. So utaona baada ya miaka 10 ya kutumia stk, magari yatakayofuata yatakuwa STL
 
Su = shirika la umma
sm = serikali za mitaa
stg, stj, stk = serikali ya tanzania. Hizo herufi za mwisho yaani g,j na k. Hubadilika kila baada ya miaka 10. So utaona baada ya miaka 10 ya kutumia stk, magari yatakayofuata yatakuwa STL


kweli wewe ni riafande haswa,muraaaa!!
nilikua najiuliza kweli maana zake
umeniwacha hoi haha
 
kwahiyo hii ni biashara,tender ya nani iyo aisee?
kama vile virungu vya polisi nk
 
Su = shirika la umma
sm = serikali za mitaa
stg, stj, stk = serikali ya tanzania. Hizo herufi za mwisho yaani g,j na k. Hubadilika kila baada ya miaka 10. So utaona baada ya miaka 10 ya kutumia stk, magari yatakayofuata yatakuwa STL

Many thanks Polisi kwa kunifahamisha. I really wondered what they meant. Sasa ishu ingine ni kwamba SU naona yanatumika sana kwa hospitali za umma kwenye vitengo vyake na vyuo vya umma. Sasa STG,/J, K yako yanatumika wapi haswa haswa?
 
Su = shirika la umma
sm = serikali za mitaa
stg, stj, stk = serikali ya tanzania. Hizo herufi za mwisho yaani g,j na k. Hubadilika kila baada ya miaka 10. So utaona baada ya miaka 10 ya kutumia stk, magari yatakayofuata yatakuwa STL

Miaka ya themanini tulikuwa na ST peke yake, tangu hapo kumekuwa na STE, STH, STG, STJ, STK n.k, ina maana tayari ishapita miaka zaidi ya arubaini tangu hapo? Just a challenge broda...
 
Many thanks Polisi kwa kunifahamisha. I really wondered what they meant. Sasa ishu ingine ni kwamba SU naona yanatumika sana kwa hospitali za umma kwenye vitengo vyake na vyuo vya umma. Sasa STG,/J, K yako yanatumika wapi haswa haswa?

SU ni kwa ajili ya Mashirika ya Umma, yaani yale yanayoratibu shughuli zake yenyewe mf. Vyuo vya serikali, hospitali, TTCL, TANESCO n.k. ST ni kwa taasisi zilizo chini ya serikali moja kwa moja, Wizara, shule za serikali, tume, wakala mbalimbali wa serikali mf. TANROADS n.k
 
Kamuulize mwalimu wako wa chekechea,this is not for JF..

Acha gubu broda, kwa style hiyo kila kitu kina maspecialist wake, kama unajua changia, hujui kausha. Usiwe kama Ephr*** Kibo*** , kutaka kuchangia kila ukisikiacho.
 
Kamuulize mwalimu wako wa chekechea,this is not for JF..

Mwl huyu alishakufa. Hii JF sio yako na familia yako. Excuse me! hujui kaa kimya kwani lazima u-comment. Wacha wanaojua watanijulisha. Eti sio kwa JF blah blah!!!!
 
SU ni kwa ajili ya Mashirika ya Umma, yaani yale yanayoratibu shughuli zake yenyewe mf. Vyuo vya serikali, hospitali, TTCL, TANESCO n.k. ST ni kwa taasisi zilizo chini ya serikali moja kwa moja, Wizara, shule za serikali, tume, wakala mbalimbali wa serikali mf. TANROADS n.k


Mphamvu many thanks.
 
Sina uhakika kuhusu SSM, ila mi nimeona SM ambayo maana yake ni Serikali za Mitaa (nadhani)

.. Mkuu, hizo namba za SSM n.k zipo, ila zinatumika na hawa watu wa yard zinazouza magari. Mfano wa namba hizo ni kama vile T SSM 102, T SCA 101, T KKV 101 n.k. Kimsingi namba zake zimekaa awkward kidogo, hazina mfumo wa namba za kawaida kama vile T 100 AFF, zenyewe zinaanza na herufi nne kwanza ndipo zinakuja namba
 
Back
Top Bottom