Peleka Chit Chat ndio inafaa zaidi, na hiyo ni Congo DR, Congo Republic au kijijini kwenu?
umeonaeee:biggrin:hakuna kupiga deki hapo kaka maana unaweza kuwa na mvi mdomoni si mda mrefu
No research no right to tell...
Kwa wale waliofika Congo na wadadisi wa mambo watakubaliana na mimi kuwa wanawake wanaotunza itikadi na mila za ki Congo, huwa wakioga hawaoshi baiolojia zao ili zitoe harufu ya mvuto kwa wanaume wakati wa kujamiana.
Nilishtuka kusikia aina hii ya mila lakini nilivyoulizia kwa baadhi ya wanaume walisema hio hali ya kutokuoshwa kwa mashine ndio kunakowapa hashikiki na hamu ya kujamiiana muda mrefu na wapenzi wao.
Najua kuwa wajua na ungependa kujua zaidi.
No research no right to tell...
Kwa wale waliofika Congo na wadadisi wa mambo watakubaliana na mimi kuwa wanawake wanaotunza itikadi na mila za ki Congo, huwa wakioga hawaoshi baiolojia zao ili zitoe harufu ya mvuto kwa wanaume wakati wa kujamiana.
Nilishtuka kusikia aina hii ya mila lakini nilivyoulizia kwa baadhi ya wanaume walisema hio hali ya kutokuoshwa kwa mashine ndio kunakowapa hashikiki na hamu ya kujamiiana muda mrefu na wapenzi wao.
Najua kuwa wajua na ungependa kujua zaidi.
Niko Congo wiki ya pili sasa kikazi. Tunataka kufungua branch huku. Ndio nimekumbana na hio kitu nikaona nishee nanyi sio mchezo
Hata mimi nikisikia K inatoa toa harufu ya keki huwa na enjoy sana :biggrin:
Hii niliipata Bukoba pia; unaosha juu juu tu ile scent ya huko yasemekana ni mvuto kwa wanaume.
hao wabongo wanaotanguliza pesa maybe ulienda kisharobaro unategemea nini kinafuata:yawn::yawn:Utakuwa unafaidi sana Nguli...
Mimi niliwahi kupata wanyarwanda wanaotoka Congo...
Hawa watu ni professional kwa ngono, sio kama Mademu wa Bongo...Mapenzi=0%, Pesa=99%
Kwa vile daladala za huku hazijahi kama za mbagala mtu ungeshuka njiani. Unapishana na mtu utazanishia wamecheuwa vyoo maeneo ya uswahilini kwetu
dah kumbe na TZ ipo hiyo?
sasa jamaa akienda chumvini si ndo anatafuta toothpik kabisa?
hiyo ya chumvini ni mila za kigeni bwana; ila tuache utani hamvitiwi na scent ya kule?
Tatizo hayo mambo ya chumvini tumeyaiga kwa wazungu. Mimi niliwahi kaa Kigoma mwaka mmoja, hii kitu nilishawahi isikia. Labda tumuuliza mwanzisha thread kwa kuwa yuko huko je akisikisia hako kaharufu kitu kinaenda winger?.dah kumbe na TZ ipo hiyo?
sasa jamaa akienda chumvini si ndo anatafuta toothpik kabisa?