GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,383
- 108,441
1. Ukiwa mtaani unakuwa mbabe ila ukiwa Kwako na Mkeo unakuwa Mpole sana
2. Hupendi Ndugu zako kuja Kwako ila wa Mkeo unawalazimisha waje
3. Ukiwa unaongea na Ndugu zako huwa unakuwa na Hasira ila wa Mkeo meno yote 32 nje
4. Unasikia uvivu kwenda kusalimia Kwenu ila kwa Mkeo unatamani uende kila siku
5. Ukiombwa Hela na Ndugu zako unawaambia subiri hadi uzungumze na Mkeo Kwanza
6. Ukipokea tu Mshahara lazima utamwambia hata kama hajakuuliza
7. Ukiwa nae Kitandani unaogopa kumwomba Mbunye hadi akuambie Yeye
Je kwa dalili hizo hapo juu kuna mwana JF yoyote ambaye ni Mume wa Mtu zimemhusu kwa 100%?
ANGALIZO KALI.
Kuna wale wenye Mitandao mingine / Blogs zingine ambao mara nyingi sana hupenda kunivizia au kusubiri mpaka GENTAMYCINE nije na taarifa / jambo humu JamiiForums halafu wao wanaikopi kama ilivyo na kujifanya yao.
Leo nawaombeni mnapoikopi na hii pia basi fanyeni acknowledgement Kwangu na kwa Mtandao wangu huu pendwa wa JamiiForums kwani Vitendo vyenu vya kutumia Juhudi zangu kwa manufaa yenu huwa vinaniumiza na vinanivunja sana moyo.
Nawasilisha.
2. Hupendi Ndugu zako kuja Kwako ila wa Mkeo unawalazimisha waje
3. Ukiwa unaongea na Ndugu zako huwa unakuwa na Hasira ila wa Mkeo meno yote 32 nje
4. Unasikia uvivu kwenda kusalimia Kwenu ila kwa Mkeo unatamani uende kila siku
5. Ukiombwa Hela na Ndugu zako unawaambia subiri hadi uzungumze na Mkeo Kwanza
6. Ukipokea tu Mshahara lazima utamwambia hata kama hajakuuliza
7. Ukiwa nae Kitandani unaogopa kumwomba Mbunye hadi akuambie Yeye
Je kwa dalili hizo hapo juu kuna mwana JF yoyote ambaye ni Mume wa Mtu zimemhusu kwa 100%?
ANGALIZO KALI.
Kuna wale wenye Mitandao mingine / Blogs zingine ambao mara nyingi sana hupenda kunivizia au kusubiri mpaka GENTAMYCINE nije na taarifa / jambo humu JamiiForums halafu wao wanaikopi kama ilivyo na kujifanya yao.
Leo nawaombeni mnapoikopi na hii pia basi fanyeni acknowledgement Kwangu na kwa Mtandao wangu huu pendwa wa JamiiForums kwani Vitendo vyenu vya kutumia Juhudi zangu kwa manufaa yenu huwa vinaniumiza na vinanivunja sana moyo.
Nawasilisha.