Daima sijawahi kumtegemea yesu, bali ALLAH. Mambo yangu yako vizuri acha kabisa.Yesu ndiye jibu la kila kitu.
Imani zetu haba/ndogo ndizo zinatufanya tusumbuke kwa waganga wa kienyeji.
Imeandikwa, "Ole wake amtegemeae mwanadamu".
Daima sijawahi kumtegemea yesu, bali ALLAH. Mambo yangu yako vizuri acha kabisa.Yesu ndiye jibu la kila kitu.
Imani zetu haba/ndogo ndizo zinatufanya tusumbuke kwa waganga wa kienyeji.
Imeandikwa, "Ole wake amtegemeae mwanadamu".
Tofauti ipo, Mungu ni nuru, na uchawi ni mambo ya giza, hivyo kila mmoja aendelee kuamini anachokiamini, lakini ujue ipo siku utamuhitaji Mungu kwa machoziKuamini mungu na kuamini uchawi kuna tofauti gani ya msingi?
Kaa na imani yako itakusaidia.Ingawaje sijaokoka ila kwa Yesu kuna kinga ya hayo na niko na evidence
mi naitaji dawa ya kumkamata mwizi make wameniibia sana mpaka nachokaHakuna cha kuoka wala nini hata ukiokoka wachawi watakuroga tu.Kwanza ukiokoka wachawi wanawapenda wale watu waliokoka ndio watakuroga vizuri ili usipate kuamini kuwa umerogwa
Hawa jamaa lugha zao hata sizielewagiWewe unamtofautishaje mtu aliyeokoka na yule anayesema ameokoka na kumbe bado? Wewe ndiye unajidanganya. Hakuna shetani yeyote kati ya mashetani yako aliye juu ya MUNGU. Hilo sahau. Unajuae kwamba wanaokuja kwako mchawi, huku wakisema wameokoka ni kweli wameokoka? Unapima vipi imani zao kama ziko katika maneno yao?
Mzizi angalia. Hivi ni watu wangapi hat katika ulimwengu wako wa kichawi ama huu wa kawaida ambao wanajiita ni wachawi ama waganga lakini siyo? Wewe, wala shetani, wala wafalme, wala mamlaka wala utawala wowote hauwezi kubatilisha UKUU WA MUNGU KATIKA KRISTO YESU. NAOMBA USAHAU NA HATA SIKU MOJA USIJILINGANISHE NA KRISTO. KAMA VILE MCHAWI AMBAVYO NI LAZIMA AROGE, KRISTO NI MWOKOZI NA LAZIMA AOKOE UTAKE USITAKE.
Wewe cheza kwenye anga zako tu na hao unaowaweza lakini kamwe KIWANGO CHA KRISTO SIYO CHAKO WALA SI CH A HUYO SHETANI UNAYEMSIFIA!.
Sikuweka hii Thread kutegemea nipate wateja humu ndani mimi nina eleza madhara ya uchawi tujihadhari nao katika kila kabila au familia etu wapo wachawi mimi mwenyewe marehemu shangazi yangu alikuwa ni mchawi. Kwa hiyo ninawafahamisha watu kuwa unapo umwa na maradhi uende hospitali ukienda hospitali na kupima vipimo vyote yaani umepiga XRAY, umepima damu na umepima mkojo maradhi hayaonekani hapo mtafute mtaalam wa kienyeji apate kukupa dawa utakuwa umerogwa au una pepo mchafu nenda kwa Sheikh kam ni wewe ni Muislam au kama ni wewe ni Mkristo nenda haraka kwa mchungaji akakuombee ukifanya mcheo unaweza kufa huku unajiona shauri yako.Vp umepata wateja wangapi mpaka sasa?
Dawa ya kuwazuia wezi wasiweze kuingia nyumbani kwako tungika mlangoni Kitunguu Saumu wei hawata kuja kabisa katika nyumba au chumba unacho ishi itakuwa ndio mwanzo na mwisho wa hao wezi kukuibia nyumbani kwako.mi naitaji dawa ya kumkamata mwizi make wameniibia sana mpaka nachoka
Duh! Sasa watu watashindwa tumia dawa...kwa kusema mungu atawaponya! Kumbuka hata hizo dawa zimeletwa na M/mungu! Tumia dawa huku ukiomba m/mungu akuponye kupitia hiyo dawa halikadhalika na kinga pia!!!Ni vizuri umekiri hakuna kiumbe anayeweza zuia uchawi zaid ya Mungu" kwaio viumbe wanaweza kutibu tu si ndio?. Maana mwisho umeandika kuna tiba.
Tiba ni kuwa karibu na Mungu zingine ni uzushi tu na kuibia watu hela.
Mkuu waambie ukweli hawajapatwa na shida wakipatwa na shida hata wakiambiwa wanywe mkojo wa punda ndipo watapona watakunywa watake au wasitake.Hujaguswa panapouma ila wakipafikia tu utatii mwenyewe utakapoambiwa na mganga hata mavi utakula ili paache kuuma
Kabla hujasema juu ya kuokoka na kurogwa, ulitakiwa kujua kwanza kuokoka ninini badla ya kutumia nadharia usizozijua. Hakuna mchawi wala uchawi ulio juu ya Mungu. Mchawi kkumroga mtu aliyeokoka itambidi amroge Mungu kwanza ndipo amfikie mtu aliyeokoka.
Mchawi anatumia nguvu za shetani, aliyeokoka anatumia nguvu za Mungu. Nani ananguvu zaidi?
Inakubidi utofautishe kati ya hali mbili "KUOKOKA" na "KUWA NA DINI".
Ninasema hapa kwa sabbu ninahakika hujui nini maana halisi ya "WOKOVU". Na sijui nani amekuaminisha kwamba mtu aliyeokoka ni mbumbumbu asijue kwamba KUNA UCHAWI. Anayesema uchawi haupo, huyo bila shaka hajaokoka kwa sababu aliyeokoka hawezi kupingana na Biblia ambayo mara nyingi tu imesema habari juu ya uchawi na wachawi na haijawahi kusema kwamba uchawi haupo.
LAKINI HAKUNA UCHAWI KATIKA ISRAEL NA WALA HAKUNA UGANGA KWA YAKOBO.
Uchawi? Nashindwa kuelewa mbona wasitengeneze hela au kuiba benki au kutokea dunian bila kuzaliwa..... Au wakifa wasioze km binadam wengine huwa ni mambo ya kuzuia tu..na hili ukilifikiria sana kwa undani halina ukwel ni just imagination ya watu ili kuwatisha watu wengine na hii inspiration za TV nazo dah.... Mungu tusaidie watanzania maana tunashindwa kusonga mbele tukihofia vitu vyisivyo na proof
Mzizimkavu mimi wote hao nimewaweka sehemu moja wanatumia nguvu za giza ,hakuna mzuri kati yao.Ila umekewepa swali langu la msingi kwako hujanijibu.Wachawi huloga kuleta matatizo,waganga huloga kwa kuwadanganya watu wanawasaidia.
" kama wewe unaweza wazidi wachawi nguvu,wewe nguvu zako asili yake ni wapi ni kwa Mungu au gizani? ".Sema ukweli mkuu,kuhusu hao unaosema wameokoka wanakuja kwako,kwa waliokomaa katika mambo ya Mungu hawashangai,watu wamejificha chini ya mwamvuli wa wokovu na kama ulishasoma biblia hao ndiyo "husema wanampenda Mungu kwa midomo yao lakini mioyo yao iko mbali naye".Hayo wanayokuja kwako ndiyo yale mambo watu wanafanya sirini ,wanapoteza muda,wamejificha kwa wnadamu lakini hawajajifisha kwa Jehova.
Neno la Mungu ni lazima litimie hao pia linatimia lile andiko "si wote wanaoniita Bwana Bwana wataingia katika ufalme wa Mungu."
Kabla hujasema juu ya kuokoka na kurogwa, ulitakiwa kujua kwanza kuokoka ninini badla ya kutumia nadharia usizozijua. Hakuna mchawi wala uchawi ulio juu ya Mungu. Mchawi kkumroga mtu aliyeokoka itambidi amroge Mungu kwanza ndipo amfikie mtu aliyeokoka.
Mchawi anatumia nguvu za shetani, aliyeokoka anatumia nguvu za Mungu. Nani ananguvu zaidi?
Inakubidi utofautishe kati ya hali mbili "KUOKOKA" na "KUWA NA DINI".
Ninasema hapa kwa sabbu ninahakika hujui nini maana halisi ya "WOKOVU". Na sijui nani amekuaminisha kwamba mtu aliyeokoka ni mbumbumbu asijue kwamba KUNA UCHAWI. Anayesema uchawi haupo, huyo bila shaka hajaokoka kwa sababu aliyeokoka hawezi kupingana na Biblia ambayo mara nyingi tu imesema habari juu ya uchawi na wachawi na haijawahi kusema kwamba uchawi haupo.
LAKINI HAKUNA UCHAWI KATIKA ISRAEL NA WALA HAKUNA UGANGA KWA YAKOBO.