Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 9,555
- 34,014
Ndo maana nakwambia we ni mjinga mjinga tu, Ajali za barabarani zimeua watu wengi kuliko ajali za anga na maji, na ukitaka usipate mchango tofauti kwenye hoja zako kaanzishe mada chumbani na kikongwe mwenzako wa zilipendwa usilete hapa jf kwenye kizaz Cha Fb unachokisemaSasa kumbe akili unazo kwanini umekimbilia kuleta habari ya ndondo cup kwenye mjadala wa premier league
Blaalfuul