Zifahamu nchi 10 bora kwa usafi barani Afrika

Bahati nzuri nchi zote hizo nimefika, mwandishi hajafika nyamirambo, kicukiro kule ndani na mitaa mingine ya ndani. Namibia kwangu ni safi kuliko zote hizo ikifuatiwa na Morocco. Rwanda haupaswi kuingia hata 3 bora.
Mm nimeona tu kwenye tv ila jamaa wako vizuri kwanza hata barabara zao ziko vizuri wanakuambia huwezi kuona shimo kwenye lami maana wanazinjenga kwa hali ya juu.
 
Tanzania nazani inashika mkia si kwa wingi wa machinga na uchafu kwenye mabarabara hakuna green field za kutosha, kila sehemu mtu anaweza kufanya biashara.Tuendelee kupambana na wakina sabaya na gaidi mbowe.
Kweli kabisa utafikiri mamlaka za mipango miji hazipo!!!? Wananchi na wanasiasa wanachangia miji yetu kuwa michafu....
kama issue ya machinga!!???
 
Dar

IMG_20210524_175557_371.jpg
 
Cape town hii ninayoijua mimi simu ya kitochi unakabwa na bunduki mchana kweupee watu wanakupita ndo ivutie watu duniani
Unakaa gugulethu au khayelitsha umehama sana upo kwa coloured salt river au hannover park...Cape Town maeneo yao ya vivutio vya utalii hakuna kukabana utasikia tuu hapo Water Front nani atakukaba au uende kule juu bookap hivyo vitu vya ukabaji vipo mtaani tofauti na JHB ukabaji upo CBD..
 
Unakaa gugulethu au khayelitsha umehama sana upo kwa coloured salt river au hannover park...Cape Town maeneo yao ya vivutio vya utalii hakuna kukabana utasikia tuu hapo Water Front nani atakukaba au uende kule juu bookap hivyo vitu vya ukabaji vipo mtaani tofauti na JHB ukabaji upo CBD..
Sasa siku yakanyage huko water front road kwenye yale mablidge ndo utajua au hujui, na hata huko unakokusifia hakuna umbali wa hivyo kutoka hapo salt river so chafu zinaibuka huko huko
 
Kweli kabisa utafikiri mamlaka za mipango miji hazipo!!!? Wananchi na wanasiasa wanachangia miji yetu kuwa michafu....
kama issue ya machinga!!???
Tatizo la Tanzania ni viongozi wa kisiasa.Hasa kipindi cha mwendazake ndo hali imekuwa mbaya zaidi kwani aliruhusu machinga kuweka biashara mahali popote wanapojisikia na hao ndo ajents wakubwa wa kuzalisha taka na kuzitupa mahali popote bila mamlaka kuwachukulia hatua.Miji inaonekana michafu kwa sababu hakuna utaratibu wa nini kifanyike wapi.Kila kitu kilitakiwa kiwe na sehemu yake.Mentality iliyojengeka ya machinga itakuwa ngumu kwa uongozi mwingine kurekebisha mambo.Kila awamu inayokuja itaogopa kwani umachinga imegeuka kuwa ni kete tya kisiasa.Hivyo Siasa inafanya watu wakubali kuishi mazingira machafu.
 
Mm nimeona tu kwenye tv ila jamaa wako vizuri kwanza hata barabara zao ziko vizuri wanakuambia huwezi kuona shimo kwenye lami maana wanazinjenga kwa hali ya juu.
Si kwamba wanazijenga kwa hali ya juu that much, ni nadra sana barabara nyingi za Kigali kuona kuna malori yakipita. Lakini pia usiitizame Kigali kwa muonekano wa center pekee, hali haiko hivyo ukiingia ndani kidogo.
 
23 March 2022
Lagos, Nigeria

Fire damages main Lagos bridge, dozens of shops burnt



The blaze gutted the Eko bridge. A section of the bridge at Apongbon in Ebute Ero was affected. The bridge has been physically damaged,” Ibrahim Farinloye of the National Emergency Management Agency (NEMA) told AFP.

Eko bridge is one of three flyovers linking mainland Lagos to the upscale and business districts on the islands of the city which sits between a lagoon and the Atlantic Ocean.

A fire on Wednesday badly damaged a main bridge in Nigeria’s commercial capital Lagos, razing dozens of shops and risking more traffic chaos, the emergency services and witnesses said.

 
Bujumbura, Burundi

Bujumbura sasa safi, imepangika .

Bujumbura Mji wa kibiashara wa Burundi sasa unapumua baada ya marufuku ya bodaboda, baiskeli na bajaj kuzuiwa kufanya shughuli za biashara mjini.


Hii ni baada ya wizara inayohusika na usalama wa raia kugundua ajali nyingi, matukio ya mabomu na vilipuzi vyote hujificha ktk waendeshao vyombo hivyo vilivyopigwa marufuku sasa .


 
Back
Top Bottom