shirima-wa-pili
Member
- Jan 1, 2013
- 23
- 21
Zifahamu haki zako za msingi kabla hujakamatwa na police,
Polisi atapokuambia upo chini ya ulinzi, unahaki ya kumwambia usinizingue.
Police atapo kupiga kibao,unahaki ya kumpiga dumi,mateke nk.
Kufikia kumpiga police atakua na haki ya kikatiba na sheria kukuvunja mbav n.k tii bila shurt
Polisi atapokuambia upo chini ya ulinzi, unahaki ya kumwambia usinizingue.
Police atapo kupiga kibao,unahaki ya kumpiga dumi,mateke nk.
Kufikia kumpiga police atakua na haki ya kikatiba na sheria kukuvunja mbav n.k tii bila shurt