Vitendo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 582
- 103
http://http://www.youtube.com/watch?v=3L-3ayFRk1E&feature=related
Mweyekiti wa CCM aliwaambia wanachama wake watafute wapiga kura ili apate kula zaidi ya Milioni 15,lakini matokeo ya uchaguzi yameonyesha Jk kapata kura chini ya zile alizowaambia/kuwatuuma wanachama wa wa chama chake kuzitafuta.
Je hii inahashiria nini?Je CCM ya leo Hekima na mawazo ya mwenyekiti hayana heshima mbele ya wanachama?
Je hekima/mawazo na maagizo ya mwenyekiti wa CCM leo hii sio kitu cha kufuatwa/kutekelezwa na wanaCCM.
Je,wanaCCM hawana imani na mapenzi kwa mwenyekiti wao?
Picha gani hasa wanachama wa CCM wameitoa kwa mwenyekiti na chama chao?
Je sisi kama taifa tuna nini cha kusema juu ya mwenyekiti wa CCM na CCM yenyewe hasa baada ya anguko la kauli/maagizo/mawazo ya mwenyekiti wao kutofanya kazi katika uchaguzi mkuu 2010.
Mweyekiti wa CCM aliwaambia wanachama wake watafute wapiga kura ili apate kula zaidi ya Milioni 15,lakini matokeo ya uchaguzi yameonyesha Jk kapata kura chini ya zile alizowaambia/kuwatuuma wanachama wa wa chama chake kuzitafuta.
Je hii inahashiria nini?Je CCM ya leo Hekima na mawazo ya mwenyekiti hayana heshima mbele ya wanachama?
Je hekima/mawazo na maagizo ya mwenyekiti wa CCM leo hii sio kitu cha kufuatwa/kutekelezwa na wanaCCM.
Je,wanaCCM hawana imani na mapenzi kwa mwenyekiti wao?
Picha gani hasa wanachama wa CCM wameitoa kwa mwenyekiti na chama chao?
Je sisi kama taifa tuna nini cha kusema juu ya mwenyekiti wa CCM na CCM yenyewe hasa baada ya anguko la kauli/maagizo/mawazo ya mwenyekiti wao kutofanya kazi katika uchaguzi mkuu 2010.