Ziara za viongozi wa Benki ya Dunia Nchini Tanzania

Kizibao

JF-Expert Member
Aug 24, 2010
1,002
544
ZIARA ZA VIONGOZI WA BENKI YA DUNIA NCHINI TANZANIA NI SEHEMU YA KUMAKINISHA UNYONYAJI WA MABEPARI KWA MATAIFA MACHANGA

Mnamo tarehe 19/03/2017 Raisi wa Benki ya Dunia (world Bank Group), Dr Jim Yang Kim alizuru Tanzania kwa ziara ya kikazi ya siku tatu mpaka 21/03/2017. Ziara hii ya Kim imefuatiwa na ziara ya Makhtar Diop, makamu wa Raisi wa Benki ya Dunia kwa Afrika aliyoifanya hapa nchini tarehe 24 mpaka 26 januari, 2017.

Malengo ya ziara:
ziara hizi zinalenga yafuatayo:

A: kumakinisha maslahi ya Amerika na kufafanua sera ya mambo ya nje ya Amerika kwa Tanzania. Ifahamike Benki ya Dunia ilianzishwa julai 1944, Breton Woods, New Hampshire, Amerika. Ilianzishwa na Amerika kama taasisi ya kusaidia nchi za ulaya kutokana na athari za vita ya pili ya dunia iliyoisha 1945.Tangu hapo Amerika huamua kila kitu ikiwemo nani asaidiwe, uraisi, muundo, mabadiliko ya benki hiyo n.k. Amerika pekee ndiyo yenye kura ya turufu (veto) katika benki hiyo. Amerika inahodhi asilimia 16 kati ya 85 ya kura zinazohitajika ili kufanya maamuzi katika benki hiyo.

Amerika huitumia benki hii kueneza sera zake za mambo ya nje (ukoloni) na hiyo kumakinisha maslahi yake. Mfano: mwaka 1972 ilizuia msaada wa benki ya dunia kwa Chile iliyokuwa chini ya Rais Salvador Allende, na kupelekea mapinduzi ya 1973 yaliyopelekea mauaji ya Allende na kutawala dicteta Augustino Pinochet, ambapo Amerika ilizidisha misaada yake na kufikia dolari 350.5 milioni kutoka dolari 27.7 milioni kipindi cha Allende. Hii ilikuwa chini ya Rais Nixon na mshauri wake wa kijeshi Henry Kissinger. Mwaka 1982, Rais Reagan alizuia msaada wa benki hiyo kwa Nicaragua. Yameelezwa haya kwa wazi pia katika ripoti ya SAPRIN ya mwaka 2002.

Amma kuhusu sera ya sasa ya Amerika kwa Tanzania haijabadilika nayo ni kuendelea kuitumia kikanda, na kuifunga na mikataba ili Ulaya isije ikarejesha ushawishi wake hasa Uingereza. Akafafanua haya makamu wa Rais ya benki hiyo Diop pale aliposema “japo ni mapema kuelezea utawala mpya (wa Trump) lakini sitarajii mabadiliko makubwa (ya sera zake kwa Tanzania)” Pia akaongeza Diop “kitu muhimu ni kuwa taasisi za kikanda zinapaswa kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa “(The citizen, 26/01/2017).

B: Kukagua maagizo na mipango iliyopangwa Tanzania na benki hiyo. Mipango ya Tanzania mingi ni maelekezo kutoka benki hii, na hapa tutaleta mifano michache:

Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam: Ripoti wa Benki ya Dunia 2014, ilisema “Tanzania na nchi za jirani wanapoteza dolari bilioni 2.6 kila mwaka kutokana na ufanisi hafifu wa bandari ya Dar es salaam”
Taarifa hii ndiyo inayopelekea mkataba wa mkopo wa dolari 305 milioni wa upanuzi wa bandari ya Dar es salaam. “mkataba wa mkopo ulifanyika kufuatia mazungumzo kati ya rais John Magufuli na Makhtar Diop, makamu wa rais wa Benki ya Dunia kwa Afrika “(Reuters, 27/01/2017).

Uongezwaji wa kodi na sera za kubana matumizi: Katika taarifa ya Benki ya Dunia ya 01/07/2015 iliyopewa jina la “kwa nini watanzania wanatakiwa kulipa kodi” (why Tanzanians should pay Taxes) imesisitiza juu ya serikali kupanua wigo na kukuza ukusanyaji wa
Ripoti hii ya Benki ya Dunia kwa kiasi kikubwa ndiyo imekuwa dira ya utawala wa sasa, kukusanya kodi na kuongeza kodi kwa wananchi wanyonge. Makusanyo ya kodi yalifikia dolari billion 6 kwa mwaka 2014 ambayo yaliweza kulipia asilimia 75 ya mishahara ya wafanyakazi wote, bila kufanyika mradi wowote wa kimaendeleo.

Mbali na kuwa ukusunyaji wa kodi umeongezeka lakini bado nchi inaendelea kukopa kwa masharti magumu bila ya kujali uzito unaowakabili raia wakati wa kulipa madeni hayo. Sambamba na hilo kimsingi kodi hizi hazijagusa sekta nyeti kama madini, gesi, n.k sekta ambazo wawekezaji wake wakuu ni makampuni ya kimarekani.

Kwahiyo alipokuja Diop alitoa maagizo kwa serikali ya Tanzania na Kim amekuja kukagua utekelezaji wake “ ziara ya Kim inakuja kufuatia ziara iliyofanywa na makamu wa rais wa Benki ya Dunia kanda ya Afrika, Makhtar Diop mwezi januari mwaka huu Tanzania” (RFI, 19/03/2017).

Na ni wazi rais Magufuli ametekeleza vizuri maagizo na Kim aliashiria haya aliposema “nina imani sana na Magufuli “(mwananchi 21/03/2017) na akaongeza Kim kuwa “ nitakuja tena Tanzania kuangalia maendeleo yaliyofikiwa”

C: Kuifunga Tanzania na mikataba ya kinyonyaji:
Licha ya kupiga kelele za kubeza misaada ya wakoloni, kwa kiasi kikubwa kabisa bado Tanzania inategemea misaada kutoka kwa wakoloni na chini ya mfumo huu wa kibepari haitarajiwi kattu kuachana na sera hii ya kutegemea misaada.

Rais Magufuli aliita misaada ya wahisani “ mkate wa masimango” na kusema “kuliko kula mkate huo ni bora kushindia mihogo”(mwananchi 18/04/2016). Pia akasema “ kwa hiyo ni lazima sisi watanzania kusimama sisi wenyewe” ( Rai, 31/03/2016). Misaada hii ya benki ya dunia kwa Tanzania haijaanza leo, mwaka 1960 Benki ya Dunia ilitoa dolari 2.8 millioni kwa ajili ya kiwanda cha sukari cha kilombero, 1965 ilitoa dolari milioni 5 kwa ajili ya kilimo, 1962 ilitoa dolari milioni 4.6 katika mradi wa ujenzi wa shule na mpaka sasa inadhamini miradi 23 kwa dolari bilioni 3.6 na miradi 7 ya kikanda kwa dolari milioni 551 na hiyo kufanya jumla ya misaada yake kufikia dolari bilioni 4. 3

Mikataba hii inaifunga Tanzania kuendelea kuwa mtumwa wa Amerika na ubepari kama tutakavyoeleza baadaye, licha ya kulitumbukiza taifa katika madeni endelevu na umasikini uliokithiri.

D:Kukuza mahusiano kati ya Tanzania na Benki ya Dunia: Kwa kuzingatia sababu hizo 3 hapo juu ndiyo zinaleta picha ya kile kilichotajwa na Taarifa ya Benki hiyo juu ya ziara ya Kim nchini Tanzania 17/03/2017 ikisema kuwa, ziara inalenga kuzungumzia mahusiano kati ya Tanzania na Benki ya Dunia na kukagua miradi inayodhaminiwa na Benki ya Dunia.

2 .Madhara ya misaada hii kwa Tanzania na nchi zinazoendelea:

A: Tanzania: Madhara yaliyoletwa na Benki hii na misaada yake kwa Tanzania ni makubwa sana, tukianza na umasikini, ambapo misaada hii (mikopo) ilipelekea Tanzania kuwa katika nchi zinazodaiwa sana (Highly Indebted countries). Licha ya misaada yote hiyo, umasikini jumla umeongezeka ambapo asilimia sabiini (70%) ya watanzania wanaishi kwa chini ya dolari 2 kwa siku ( Tanzania mainland poverty Assessment Report, World Bank, 7/05/2015)

Mikopo hii imesababisha ongezeko la ukosefu ya ajira hasa kwa vijana wanaohitimu masomo yao. Ni kutokana na sera mbovu za Benki hii ndio zilizopelekea kuuwawa viwanda vyetu na mashirika ya umma hapa nchini. Ni watanzania milioni 2.3 tu ndio waliomo katika ajira rasmi (The Employment and Earnings Survey Report NBS, 2015)

Ama ujinga umeongezeka sana, katika miaka ya 1970 mpaka 1980, watanzania 80% walijua kusoma na kuandika, lakini licha ya mikopo ya mabilioni ya dola iliyoelekezwa katika sekta ya elimu 78% ya watanzania hawajui kusoma na kuandika. (allafrica.com 8/9/2016).

Mikopo hii imeongeza deni la taifa na kufikia trilioni 40, wastani wa milioni 1 kwa kila mtanzania (BBC, 05/07/2016).

B: Madhara kwa nchi zinazoendelea kwa ujumla: Tunaweza kuyaona kwa kifupi kama yafuatayo:

Katika ripoti ya Benki ya Dunia 2002, iliyofanywa na SAPRIN (Structural Adjustment Participatory Review International Network) imefafanua kufwa sera za Benki ya Dunia zimeongeza umasikini ukosefu wa ajira, ukosefu wa usalama, utapia mlo na uchumi mbovu, ambapo Afrika ndiyo iliyoathirika zaidi.

Inaendelea kueleza ripoti hiyo kuwa sera hizo zilipelekea mgogoro wa madeni (1980’s Debt crisis) kwa nchi zinazoendelea, kutoka 1986-1997, ambapo watu milioni 460, nusu ya wakazi wa latin Amerika waliingia katika umasikini mkubwa, ikiwa ni ongezeko la watu milioni 60 kwa miaka 10 tu.

Inafafanua vile vile ripoti hiyo kuwa Uchumi wa Afrika ulishuka kwa 15% kati ya mwaka 1980 mpaka 2000, nusu ya watu wa Afrika, 350 milioni kati ya 682 milioni walikuwa katika umasikini wa kupitiliza kufikia mwaka 2003 na hali inazidi kuwa mbaya siku hadi siku.

Taarifa ya taasisi ya Canada ya sera mbadala julai, 2004 iliyoitwa “Impoverishing a continent. The World Bank and the IMF in Africa, inafafanua yafuatayo pia:

Usafirishaji wa malighafi zisizo mafuta umeshuka kwa 35% tangu 1997, Deni la Africa limeongeza kwa 500% tangu mwaka 1980 na kufikia dolari bilioni 333 mwaka 2004 na bilioni 430 kwa latin Amerika. Nchi za Afrika kusini mwa jangwa la sahara zimepeleka kwa wakoloni dolari bilioni 229 tangu 1980 mpaka 2004, ambayo ni mara nne ya deni halisi.

Hivyo kwa kifupi ziara hizi hazina tija yeyote kwa nchi zetu changa bali maafa na kuendeleza ukoloni. Ni jukumu la wananchi wote kuinua sauti zao kuzilaani na kuzipinga ziara hizi hata kama baadhi ya viongozi vibaraka huzitumia kwa kujifakharisha na kuonesha uungwaji mkono na misaada wanayoipata kutoka kwa taasisi hizi eti ni kutokana na ubora wa sera zao za kiuchumi kwa wananchi wao.
Source: Akhy Hassan
 
ZIARA ZA VIONGOZI WA BENKI YA DUNIA NCHINI TANZANIA NI SEHEMU YA KUMAKINISHA UNYONYAJI WA MABEPARI KWA MATAIFA MACHANGA

Mnamo tarehe 19/03/2017 Raisi wa Benki ya Dunia (world Bank Group), Dr Jim Yang Kim alizuru Tanzania kwa ziara ya kikazi ya siku tatu mpaka 21/03/2017. Ziara hii ya Kim imefuatiwa na ziara ya Makhtar Diop, makamu wa Raisi wa Benki ya Dunia kwa Afrika aliyoifanya hapa nchini tarehe 24 mpaka 26 januari, 2017.

Malengo ya ziara:
ziara hizi zinalenga yafuatayo:

A: kumakinisha maslahi ya Amerika na kufafanua sera ya mambo ya nje ya Amerika kwa Tanzania. Ifahamike Benki ya Dunia ilianzishwa julai 1944, Breton Woods, New Hampshire, Amerika. Ilianzishwa na Amerika kama taasisi ya kusaidia nchi za ulaya kutokana na athari za vita ya pili ya dunia iliyoisha 1945.Tangu hapo Amerika huamua kila kitu ikiwemo nani asaidiwe, uraisi, muundo, mabadiliko ya benki hiyo n.k. Amerika pekee ndiyo yenye kura ya turufu (veto) katika benki hiyo. Amerika inahodhi asilimia 16 kati ya 85 ya kura zinazohitajika ili kufanya maamuzi katika benki hiyo.

Amerika huitumia benki hii kueneza sera zake za mambo ya nje (ukoloni) na hiyo kumakinisha maslahi yake. Mfano: mwaka 1972 ilizuia msaada wa benki ya dunia kwa Chile iliyokuwa chini ya Rais Salvador Allende, na kupelekea mapinduzi ya 1973 yaliyopelekea mauaji ya Allende na kutawala dicteta Augustino Pinochet, ambapo Amerika ilizidisha misaada yake na kufikia dolari 350.5 milioni kutoka dolari 27.7 milioni kipindi cha Allende. Hii ilikuwa chini ya Rais Nixon na mshauri wake wa kijeshi Henry Kissinger. Mwaka 1982, Rais Reagan alizuia msaada wa benki hiyo kwa Nicaragua. Yameelezwa haya kwa wazi pia katika ripoti ya SAPRIN ya mwaka 2002.

Amma kuhusu sera ya sasa ya Amerika kwa Tanzania haijabadilika nayo ni kuendelea kuitumia kikanda, na kuifunga na mikataba ili Ulaya isije ikarejesha ushawishi wake hasa Uingereza. Akafafanua haya makamu wa Rais ya benki hiyo Diop pale aliposema “japo ni mapema kuelezea utawala mpya (wa Trump) lakini sitarajii mabadiliko makubwa (ya sera zake kwa Tanzania)” Pia akaongeza Diop “kitu muhimu ni kuwa taasisi za kikanda zinapaswa kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa “(The citizen, 26/01/2017).

B: Kukagua maagizo na mipango iliyopangwa Tanzania na benki hiyo. Mipango ya Tanzania mingi ni maelekezo kutoka benki hii, na hapa tutaleta mifano michache:

Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam: Ripoti wa Benki ya Dunia 2014, ilisema “Tanzania na nchi za jirani wanapoteza dolari bilioni 2.6 kila mwaka kutokana na ufanisi hafifu wa bandari ya Dar es salaam”
Taarifa hii ndiyo inayopelekea mkataba wa mkopo wa dolari 305 milioni wa upanuzi wa bandari ya Dar es salaam. “mkataba wa mkopo ulifanyika kufuatia mazungumzo kati ya rais John Magufuli na Makhtar Diop, makamu wa rais wa Benki ya Dunia kwa Afrika “(Reuters, 27/01/2017).

Uongezwaji wa kodi na sera za kubana matumizi: Katika taarifa ya Benki ya Dunia ya 01/07/2015 iliyopewa jina la “kwa nini watanzania wanatakiwa kulipa kodi” (why Tanzanians should pay Taxes) imesisitiza juu ya serikali kupanua wigo na kukuza ukusanyaji wa
Ripoti hii ya Benki ya Dunia kwa kiasi kikubwa ndiyo imekuwa dira ya utawala wa sasa, kukusanya kodi na kuongeza kodi kwa wananchi wanyonge. Makusanyo ya kodi yalifikia dolari billion 6 kwa mwaka 2014 ambayo yaliweza kulipia asilimia 75 ya mishahara ya wafanyakazi wote, bila kufanyika mradi wowote wa kimaendeleo.

Mbali na kuwa ukusunyaji wa kodi umeongezeka lakini bado nchi inaendelea kukopa kwa masharti magumu bila ya kujali uzito unaowakabili raia wakati wa kulipa madeni hayo. Sambamba na hilo kimsingi kodi hizi hazijagusa sekta nyeti kama madini, gesi, n.k sekta ambazo wawekezaji wake wakuu ni makampuni ya kimarekani.

Kwahiyo alipokuja Diop alitoa maagizo kwa serikali ya Tanzania na Kim amekuja kukagua utekelezaji wake “ ziara ya Kim inakuja kufuatia ziara iliyofanywa na makamu wa rais wa Benki ya Dunia kanda ya Afrika, Makhtar Diop mwezi januari mwaka huu Tanzania” (RFI, 19/03/2017).

Na ni wazi rais Magufuli ametekeleza vizuri maagizo na Kim aliashiria haya aliposema “nina imani sana na Magufuli “(mwananchi 21/03/2017) na akaongeza Kim kuwa “ nitakuja tena Tanzania kuangalia maendeleo yaliyofikiwa”

C: Kuifunga Tanzania na mikataba ya kinyonyaji:
Licha ya kupiga kelele za kubeza misaada ya wakoloni, kwa kiasi kikubwa kabisa bado Tanzania inategemea misaada kutoka kwa wakoloni na chini ya mfumo huu wa kibepari haitarajiwi kattu kuachana na sera hii ya kutegemea misaada.

Rais Magufuli aliita misaada ya wahisani “ mkate wa masimango” na kusema “kuliko kula mkate huo ni bora kushindia mihogo”(mwananchi 18/04/2016). Pia akasema “ kwa hiyo ni lazima sisi watanzania kusimama sisi wenyewe” ( Rai, 31/03/2016). Misaada hii ya benki ya dunia kwa Tanzania haijaanza leo, mwaka 1960 Benki ya Dunia ilitoa dolari 2.8 millioni kwa ajili ya kiwanda cha sukari cha kilombero, 1965 ilitoa dolari milioni 5 kwa ajili ya kilimo, 1962 ilitoa dolari milioni 4.6 katika mradi wa ujenzi wa shule na mpaka sasa inadhamini miradi 23 kwa dolari bilioni 3.6 na miradi 7 ya kikanda kwa dolari milioni 551 na hiyo kufanya jumla ya misaada yake kufikia dolari bilioni 4. 3

Mikataba hii inaifunga Tanzania kuendelea kuwa mtumwa wa Amerika na ubepari kama tutakavyoeleza baadaye, licha ya kulitumbukiza taifa katika madeni endelevu na umasikini uliokithiri.

D:Kukuza mahusiano kati ya Tanzania na Benki ya Dunia: Kwa kuzingatia sababu hizo 3 hapo juu ndiyo zinaleta picha ya kile kilichotajwa na Taarifa ya Benki hiyo juu ya ziara ya Kim nchini Tanzania 17/03/2017 ikisema kuwa, ziara inalenga kuzungumzia mahusiano kati ya Tanzania na Benki ya Dunia na kukagua miradi inayodhaminiwa na Benki ya Dunia.

2 .Madhara ya misaada hii kwa Tanzania na nchi zinazoendelea:

A: Tanzania: Madhara yaliyoletwa na Benki hii na misaada yake kwa Tanzania ni makubwa sana, tukianza na umasikini, ambapo misaada hii (mikopo) ilipelekea Tanzania kuwa katika nchi zinazodaiwa sana (Highly Indebted countries). Licha ya misaada yote hiyo, umasikini jumla umeongezeka ambapo asilimia sabiini (70%) ya watanzania wanaishi kwa chini ya dolari 2 kwa siku ( Tanzania mainland poverty Assessment Report, World Bank, 7/05/2015)

Mikopo hii imesababisha ongezeko la ukosefu ya ajira hasa kwa vijana wanaohitimu masomo yao. Ni kutokana na sera mbovu za Benki hii ndio zilizopelekea kuuwawa viwanda vyetu na mashirika ya umma hapa nchini. Ni watanzania milioni 2.3 tu ndio waliomo katika ajira rasmi (The Employment and Earnings Survey Report NBS, 2015)

Ama ujinga umeongezeka sana, katika miaka ya 1970 mpaka 1980, watanzania 80% walijua kusoma na kuandika, lakini licha ya mikopo ya mabilioni ya dola iliyoelekezwa katika sekta ya elimu 78% ya watanzania hawajui kusoma na kuandika. (allafrica.com 8/9/2016).

Mikopo hii imeongeza deni la taifa na kufikia trilioni 40, wastani wa milioni 1 kwa kila mtanzania (BBC, 05/07/2016).

B: Madhara kwa nchi zinazoendelea kwa ujumla: Tunaweza kuyaona kwa kifupi kama yafuatayo:

Katika ripoti ya Benki ya Dunia 2002, iliyofanywa na SAPRIN (Structural Adjustment Participatory Review International Network) imefafanua kufwa sera za Benki ya Dunia zimeongeza umasikini ukosefu wa ajira, ukosefu wa usalama, utapia mlo na uchumi mbovu, ambapo Afrika ndiyo iliyoathirika zaidi.

Inaendelea kueleza ripoti hiyo kuwa sera hizo zilipelekea mgogoro wa madeni (1980’s Debt crisis) kwa nchi zinazoendelea, kutoka 1986-1997, ambapo watu milioni 460, nusu ya wakazi wa latin Amerika waliingia katika umasikini mkubwa, ikiwa ni ongezeko la watu milioni 60 kwa miaka 10 tu.

Inafafanua vile vile ripoti hiyo kuwa Uchumi wa Afrika ulishuka kwa 15% kati ya mwaka 1980 mpaka 2000, nusu ya watu wa Afrika, 350 milioni kati ya 682 milioni walikuwa katika umasikini wa kupitiliza kufikia mwaka 2003 na hali inazidi kuwa mbaya siku hadi siku.

Taarifa ya taasisi ya Canada ya sera mbadala julai, 2004 iliyoitwa “Impoverishing a continent. The World Bank and the IMF in Africa, inafafanua yafuatayo pia:

Usafirishaji wa malighafi zisizo mafuta umeshuka kwa 35% tangu 1997, Deni la Africa limeongeza kwa 500% tangu mwaka 1980 na kufikia dolari bilioni 333 mwaka 2004 na bilioni 430 kwa latin Amerika. Nchi za Afrika kusini mwa jangwa la sahara zimepeleka kwa wakoloni dolari bilioni 229 tangu 1980 mpaka 2004, ambayo ni mara nne ya deni halisi.

Hivyo kwa kifupi ziara hizi hazina tija yeyote kwa nchi zetu changa bali maafa na kuendeleza ukoloni. Ni jukumu la wananchi wote kuinua sauti zao kuzilaani na kuzipinga ziara hizi hata kama baadhi ya viongozi vibaraka huzitumia kwa kujifakharisha na kuonesha uungwaji mkono na misaada wanayoipata kutoka kwa taasisi hizi eti ni kutokana na ubora wa sera zao za kiuchumi kwa wananchi wao.
Source: Akhy Hassan
Ndefu sana...
 
nchi zote zenye madini na natural resourses zinapata ziara hizi za kushtukiza na viongozi wetu wa kiafrika wanaona faghari kutembelewa,majuzi yalopita nilimskia bos kubwa ukijisifu kuwa raisi wa benki ya dunia kaacha nchi zote na kaja hapa
kuja hawa watu sio jambo la sifa hata kidogo ujio wao ni kuja kuhakikisha wanamwaga pesa ili wazidi kukikaba kitanzi cha taifa kujaza madeni ili wapate kudhibiti rasili mali kwa miaka 1000 ijayo wazungu wanaplay game ya long term strategy tu

wanahakikisha africa haiendi mbele ng'o,kwao wao afrika ni sawa na shamba tu wanakuja kuvuna na kuzubaisha viongozi wasiojielewa huku waafrika wanyonge wakiendelea kufa njaa na kunywa maji ya michirizi

hebu tujisomee jinsi ya world monetary system ilivyo,wanaprint vipi pesa na kuzitia thamani vipi ili tupate kujua kuwa rasili mali zetu ndio zenye thamani kuliko makaratasi yao
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Shida yetu sisi hatuna uzalendo kama wa Mkuu Jenerali Paul Kagame , acha tuingizwe mkenge
 
Ndefu sana...
G4rpolitics sometime its not a must to reply/comment..mwenzio anatoa post moja ndefu yenye mantiki alizoziona halafu unakuja na pumba zako "ndegu sana" ukidhamilia sema "ndefu sana" usipende cheap popularity ya likes humu hajapost chit-chat forum.
Una quote whole post kwa vineno vya ajabu be a Gthinker..
 
Samahani kwa kukupotezea muda wako wa kuisoma
Huna haja ya kuomba msamaha kwa watoto kama hawa wasio na maono zaidi ya kutafuta sehemu za kucomment...
Umeleta good presentation bila kujali ina paragraph ngap.
 
ZIARA ZA VIONGOZI WA BENKI YA DUNIA NCHINI TANZANIA NI SEHEMU YA KUMAKINISHA UNYONYAJI WA MABEPARI KWA MATAIFA MACHANGA

Mnamo tarehe 19/03/2017 Raisi wa Benki ya Dunia (world Bank Group), Dr Jim Yang Kim alizuru Tanzania kwa ziara ya kikazi ya siku tatu mpaka 21/03/2017. Ziara hii ya Kim imefuatiwa na ziara ya Makhtar Diop, makamu wa Raisi wa Benki ya Dunia kwa Afrika aliyoifanya hapa nchini tarehe 24 mpaka 26 januari, 2017.

Malengo ya ziara:
ziara hizi zinalenga yafuatayo:

A: kumakinisha maslahi ya Amerika na kufafanua sera ya mambo ya nje ya Amerika kwa Tanzania. Ifahamike Benki ya Dunia ilianzishwa julai 1944, Breton Woods, New Hampshire, Amerika. Ilianzishwa na Amerika kama taasisi ya kusaidia nchi za ulaya kutokana na athari za vita ya pili ya dunia iliyoisha 1945.Tangu hapo Amerika huamua kila kitu ikiwemo nani asaidiwe, uraisi, muundo, mabadiliko ya benki hiyo n.k. Amerika pekee ndiyo yenye kura ya turufu (veto) katika benki hiyo. Amerika inahodhi asilimia 16 kati ya 85 ya kura zinazohitajika ili kufanya maamuzi katika benki hiyo.

Amerika huitumia benki hii kueneza sera zake za mambo ya nje (ukoloni) na hiyo kumakinisha maslahi yake. Mfano: mwaka 1972 ilizuia msaada wa benki ya dunia kwa Chile iliyokuwa chini ya Rais Salvador Allende, na kupelekea mapinduzi ya 1973 yaliyopelekea mauaji ya Allende na kutawala dicteta Augustino Pinochet, ambapo Amerika ilizidisha misaada yake na kufikia dolari 350.5 milioni kutoka dolari 27.7 milioni kipindi cha Allende. Hii ilikuwa chini ya Rais Nixon na mshauri wake wa kijeshi Henry Kissinger. Mwaka 1982, Rais Reagan alizuia msaada wa benki hiyo kwa Nicaragua. Yameelezwa haya kwa wazi pia katika ripoti ya SAPRIN ya mwaka 2002.

Amma kuhusu sera ya sasa ya Amerika kwa Tanzania haijabadilika nayo ni kuendelea kuitumia kikanda, na kuifunga na mikataba ili Ulaya isije ikarejesha ushawishi wake hasa Uingereza. Akafafanua haya makamu wa Rais ya benki hiyo Diop pale aliposema “japo ni mapema kuelezea utawala mpya (wa Trump) lakini sitarajii mabadiliko makubwa (ya sera zake kwa Tanzania)” Pia akaongeza Diop “kitu muhimu ni kuwa taasisi za kikanda zinapaswa kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa “(The citizen, 26/01/2017).

B: Kukagua maagizo na mipango iliyopangwa Tanzania na benki hiyo. Mipango ya Tanzania mingi ni maelekezo kutoka benki hii, na hapa tutaleta mifano michache:

Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam: Ripoti wa Benki ya Dunia 2014, ilisema “Tanzania na nchi za jirani wanapoteza dolari bilioni 2.6 kila mwaka kutokana na ufanisi hafifu wa bandari ya Dar es salaam”
Taarifa hii ndiyo inayopelekea mkataba wa mkopo wa dolari 305 milioni wa upanuzi wa bandari ya Dar es salaam. “mkataba wa mkopo ulifanyika kufuatia mazungumzo kati ya rais John Magufuli na Makhtar Diop, makamu wa rais wa Benki ya Dunia kwa Afrika “(Reuters, 27/01/2017).

Uongezwaji wa kodi na sera za kubana matumizi: Katika taarifa ya Benki ya Dunia ya 01/07/2015 iliyopewa jina la “kwa nini watanzania wanatakiwa kulipa kodi” (why Tanzanians should pay Taxes) imesisitiza juu ya serikali kupanua wigo na kukuza ukusanyaji wa
Ripoti hii ya Benki ya Dunia kwa kiasi kikubwa ndiyo imekuwa dira ya utawala wa sasa, kukusanya kodi na kuongeza kodi kwa wananchi wanyonge. Makusanyo ya kodi yalifikia dolari billion 6 kwa mwaka 2014 ambayo yaliweza kulipia asilimia 75 ya mishahara ya wafanyakazi wote, bila kufanyika mradi wowote wa kimaendeleo.

Mbali na kuwa ukusunyaji wa kodi umeongezeka lakini bado nchi inaendelea kukopa kwa masharti magumu bila ya kujali uzito unaowakabili raia wakati wa kulipa madeni hayo. Sambamba na hilo kimsingi kodi hizi hazijagusa sekta nyeti kama madini, gesi, n.k sekta ambazo wawekezaji wake wakuu ni makampuni ya kimarekani.

Kwahiyo alipokuja Diop alitoa maagizo kwa serikali ya Tanzania na Kim amekuja kukagua utekelezaji wake “ ziara ya Kim inakuja kufuatia ziara iliyofanywa na makamu wa rais wa Benki ya Dunia kanda ya Afrika, Makhtar Diop mwezi januari mwaka huu Tanzania” (RFI, 19/03/2017).

Na ni wazi rais Magufuli ametekeleza vizuri maagizo na Kim aliashiria haya aliposema “nina imani sana na Magufuli “(mwananchi 21/03/2017) na akaongeza Kim kuwa “ nitakuja tena Tanzania kuangalia maendeleo yaliyofikiwa”

C: Kuifunga Tanzania na mikataba ya kinyonyaji:
Licha ya kupiga kelele za kubeza misaada ya wakoloni, kwa kiasi kikubwa kabisa bado Tanzania inategemea misaada kutoka kwa wakoloni na chini ya mfumo huu wa kibepari haitarajiwi kattu kuachana na sera hii ya kutegemea misaada.

Rais Magufuli aliita misaada ya wahisani “ mkate wa masimango” na kusema “kuliko kula mkate huo ni bora kushindia mihogo”(mwananchi 18/04/2016). Pia akasema “ kwa hiyo ni lazima sisi watanzania kusimama sisi wenyewe” ( Rai, 31/03/2016). Misaada hii ya benki ya dunia kwa Tanzania haijaanza leo, mwaka 1960 Benki ya Dunia ilitoa dolari 2.8 millioni kwa ajili ya kiwanda cha sukari cha kilombero, 1965 ilitoa dolari milioni 5 kwa ajili ya kilimo, 1962 ilitoa dolari milioni 4.6 katika mradi wa ujenzi wa shule na mpaka sasa inadhamini miradi 23 kwa dolari bilioni 3.6 na miradi 7 ya kikanda kwa dolari milioni 551 na hiyo kufanya jumla ya misaada yake kufikia dolari bilioni 4. 3

Mikataba hii inaifunga Tanzania kuendelea kuwa mtumwa wa Amerika na ubepari kama tutakavyoeleza baadaye, licha ya kulitumbukiza taifa katika madeni endelevu na umasikini uliokithiri.

D:Kukuza mahusiano kati ya Tanzania na Benki ya Dunia: Kwa kuzingatia sababu hizo 3 hapo juu ndiyo zinaleta picha ya kile kilichotajwa na Taarifa ya Benki hiyo juu ya ziara ya Kim nchini Tanzania 17/03/2017 ikisema kuwa, ziara inalenga kuzungumzia mahusiano kati ya Tanzania na Benki ya Dunia na kukagua miradi inayodhaminiwa na Benki ya Dunia.

2 .Madhara ya misaada hii kwa Tanzania na nchi zinazoendelea:

A: Tanzania: Madhara yaliyoletwa na Benki hii na misaada yake kwa Tanzania ni makubwa sana, tukianza na umasikini, ambapo misaada hii (mikopo) ilipelekea Tanzania kuwa katika nchi zinazodaiwa sana (Highly Indebted countries). Licha ya misaada yote hiyo, umasikini jumla umeongezeka ambapo asilimia sabiini (70%) ya watanzania wanaishi kwa chini ya dolari 2 kwa siku ( Tanzania mainland poverty Assessment Report, World Bank, 7/05/2015)

Mikopo hii imesababisha ongezeko la ukosefu ya ajira hasa kwa vijana wanaohitimu masomo yao. Ni kutokana na sera mbovu za Benki hii ndio zilizopelekea kuuwawa viwanda vyetu na mashirika ya umma hapa nchini. Ni watanzania milioni 2.3 tu ndio waliomo katika ajira rasmi (The Employment and Earnings Survey Report NBS, 2015)

Ama ujinga umeongezeka sana, katika miaka ya 1970 mpaka 1980, watanzania 80% walijua kusoma na kuandika, lakini licha ya mikopo ya mabilioni ya dola iliyoelekezwa katika sekta ya elimu 78% ya watanzania hawajui kusoma na kuandika. (allafrica.com 8/9/2016).

Mikopo hii imeongeza deni la taifa na kufikia trilioni 40, wastani wa milioni 1 kwa kila mtanzania (BBC, 05/07/2016).

B: Madhara kwa nchi zinazoendelea kwa ujumla: Tunaweza kuyaona kwa kifupi kama yafuatayo:

Katika ripoti ya Benki ya Dunia 2002, iliyofanywa na SAPRIN (Structural Adjustment Participatory Review International Network) imefafanua kufwa sera za Benki ya Dunia zimeongeza umasikini ukosefu wa ajira, ukosefu wa usalama, utapia mlo na uchumi mbovu, ambapo Afrika ndiyo iliyoathirika zaidi.

Inaendelea kueleza ripoti hiyo kuwa sera hizo zilipelekea mgogoro wa madeni (1980’s Debt crisis) kwa nchi zinazoendelea, kutoka 1986-1997, ambapo watu milioni 460, nusu ya wakazi wa latin Amerika waliingia katika umasikini mkubwa, ikiwa ni ongezeko la watu milioni 60 kwa miaka 10 tu.

Inafafanua vile vile ripoti hiyo kuwa Uchumi wa Afrika ulishuka kwa 15% kati ya mwaka 1980 mpaka 2000, nusu ya watu wa Afrika, 350 milioni kati ya 682 milioni walikuwa katika umasikini wa kupitiliza kufikia mwaka 2003 na hali inazidi kuwa mbaya siku hadi siku.

Taarifa ya taasisi ya Canada ya sera mbadala julai, 2004 iliyoitwa “Impoverishing a continent. The World Bank and the IMF in Africa, inafafanua yafuatayo pia:

Usafirishaji wa malighafi zisizo mafuta umeshuka kwa 35% tangu 1997, Deni la Africa limeongeza kwa 500% tangu mwaka 1980 na kufikia dolari bilioni 333 mwaka 2004 na bilioni 430 kwa latin Amerika. Nchi za Afrika kusini mwa jangwa la sahara zimepeleka kwa wakoloni dolari bilioni 229 tangu 1980 mpaka 2004, ambayo ni mara nne ya deni halisi.

Hivyo kwa kifupi ziara hizi hazina tija yeyote kwa nchi zetu changa bali maafa na kuendeleza ukoloni. Ni jukumu la wananchi wote kuinua sauti zao kuzilaani na kuzipinga ziara hizi hata kama baadhi ya viongozi vibaraka huzitumia kwa kujifakharisha na kuonesha uungwaji mkono na misaada wanayoipata kutoka kwa taasisi hizi eti ni kutokana na ubora wa sera zao za kiuchumi kwa wananchi wao.
Source: Akhy Hassan
Wakati wa serikali ya awamu ya nne Benki Dunia ilikuwa haina nafasi hapa nchini na kutokana na masharti magumu ya Benki katika kutoa mikopo kwenye miradi ya hapa nchini, serikali iliigeukia China ili kupata hiyo mikopo, Benki hiyo kwasasa inajaribu kurejesha mahusiano na serikali ya awamu ya tano. Kama mjuavyo Benki ya dunia ni kitengo cha kulinda maslahi ya nchi za magharibi.
 
Ni uzi unaofungua akili aisee ila kwa mtu mwenye akili sana kama ni kiazi au na yeye amekumbwa kwenye takwimu ya 78% baada mwaka 1980 hawezi kuelewa ataishia kuquote na kutukana au kukebehi tu.

Mimi nimeguswa na hii takwimu ya elimu yaani kutoka kujua kusoma watu 80% bila misaada miaka zaidi ya 30 iliyopita na kushuka 78% ya watu wasiojua kusoma pamoja na misaada na mikopo kwenye elimu. Tunahitaji kujitadhimini kama taifa.
 
Makala yako ina ukweli na uongo na upotoshaji.Uchambuzi mzuri unahusisha faida na hasara.Ukitueleza hasara tu maana yake tuache kukopa kabisa na tuache kabisa kuhusiana na Benki ya Dunia.Nchi nyingi duniani bado zinaitegemea Benki hii kwa mikopo na ushauri wa sera.Kukopa ni kitu cha kawaida kwa mtu binafsi,taasisi na nchi ili mradi uwezo wa kulipa upo.Ni kweli Tz tulikuwa na Sera ya ujamaa na kujitegemea.Kimsingi Sera hii tulishaiacha japokuwa watawala wetu hawasemi.Kimsingi Sera ys ujamaa ndiyo iliyoturudisha nyuma.Kumiliki nguvu zote za uzalishaji Mali kwa pamoja siyo rahisi kufanikiwa.Hii ni kwa sababu binadamu kwa asili ni wabinafsi.Hata Nyerere mwenyewe alikiri kushindwa.Tuliyaanza mabadiliko kwenda uchumi wa soko kwa ushauri wa Benki ya Dunia na IMF.Tz ni moja ya nchi zilizofanya vizuri ktk kutekeleza Sera hizi,mpaka tukafutiwa baadhi ya madeni kwa mpango wa HIPC.Nchi nyingine ni Ghana.Uchumi wetu unakua vizuri mpaka jirani zetu mfano Kenya wameanza kutuhofia.Kama uchumi wetu utaendelea kukua unavyokua,na Kenya waendelee kukua wanavyokua,ni dhahiri baada ya miaka kadhaa tutawapita.Ndiyo maana kwa sasa wanajitahidi kutuhujumu kwa kila hali.Ni kweli kila anayekusaidia naye anaangalia maslahi yake.Kwa hiyo ni juu ya Tz kukataa masharti magumu.Kimsingi mm nawaunga mkono hawa wadau ktk maendeleo yetu.Bali ni juu yetu kuwa makini.
 
Ni uzi unaofungua akili aisee ila kwa mtu mwenye akili sana kama ni kiazi au na yeye amekumbwa kwenye takwimu ya 78% baada mwaka 1980 hawezi kuelewa ataishia kuquote na kutukana au kukebehi tu.

Mimi nimeguswa na hii takwimu ya elimu yaani kutoka kujua kusoma watu 80% bila misaada miaka zaidi ya 30 iliyopita na kushuka 78% ya watu wasiojua kusoma pamoja na misaada na mikopo kwenye elimu. Tunahitaji kujitadhimini kama taifa.
Kusoma na kuandika ya Wakati huo ilikuwa ni ya Elimu ya Watu wazima.Waliweza kusoma A,E,I,O,U.Kwa sasa hiyo tena siyo elimu.Sasa hivi tuna shule za msingi kila sehemu,shule za sekondari kila kata na vyuo vikuu kibao.Enzi hizo darasa la saba walikuwa wa kuhesabu kijijini.Form 4 ndiyo walioitwa wasomi.Ukiomba kazi mfano ya upolisi ukiwa umemaliza form 4 ilikuwa hakuna usaili,maana hawakuwepo.Form 4 walipitishwa moja kwa moja wakiitwa wasomi.Waliomaliza vyuo vikuu walichagua kazi watakavyo.
 
Makala yako ina ukweli na uongo na upotoshaji.Uchambuzi mzuri unahusisha faida na hasara.Ukitueleza hasara tu maana yake tuache kukopa kabisa na tuache kabisa kuhusiana na Benki ya Dunia.Nchi nyingi duniani bado zinaitegemea Benki hii kwa mikopo na ushauri wa sera.Kukopa ni kitu cha kawaida kwa mtu binafsi,taasisi na nchi ili mradi uwezo wa kulipa upo.Ni kweli Tz tulikuwa na Sera ya ujamaa na kujitegemea.Kimsingi Sera hii tulishaiacha japokuwa watawala wetu hawasemi.Kimsingi Sera ys ujamaa ndiyo iliyoturudisha nyuma.Kumiliki nguvu zote za uzalishaji Mali kwa pamoja siyo rahisi kufanikiwa.Hii ni kwa sababu binadamu kwa asili ni wabinafsi.Hata Nyerere mwenyewe alikiri kushindwa.Tuliyaanza mabadiliko kwenda uchumi wa soko kwa ushauri wa Benki ya Dunia na IMF.Tz ni moja ya nchi zilizofanya vizuri ktk kutekeleza Sera hizi,mpaka tukafutiwa baadhi ya madeni kwa mpango wa HIPC.Nchi nyingine ni Ghana.Uchumi wetu unakua vizuri mpaka jirani zetu mfano Kenya wameanza kutuhofia.Kama uchumi wetu utaendelea kukua unavyokua,na Kenya waendelee kukua wanavyokua,ni dhahiri baada ya miaka kadhaa tutawapita.Ndiyo maana kwa sasa wanajitahidi kutuhujumu kwa kila hali.Ni kweli kila anayekusaidia naye anaangalia maslahi yake.Kwa hiyo ni juu ya Tz kukataa masharti magumu.Kimsingi mm nawaunga mkono hawa wadau ktk maendeleo yetu.Bali ni juu yetu kuwa makini.
Hebu niambie kitu gani au data gani nimepotosha hapo.. hivi unataka kuniambia wakati tunahubiri siasa za ujamaa wakati wa nyerere world bank ilikuwa haitupi misaada? tulikuwa tunapata misaada na ilifika stage world bank ikawa inalaumiwa kwa nini support project ambazo ziko destined to fail kama ilivyo Ethiopia na Yugoslavia wakati huo..Kwani wao wali facilitate implementation ya economic policy zote za Nyerere huku wakijua kabisa zita fail and then watakuwa wanatudai na tutakuwa tayari kukubali masharti yao na ndiyo kilichotokea
kuna article moja isome hii hapa

This thread written
By Ann Talbot
15 November 2000

Nyerere's defenders see the early years after independence as a golden age and exempt him from blame for the social catastrophe that has followed, but in reality his policies have led to the present situation. His so-called African socialism was always dependent on the aid that Western governments were prepared to give to prevent a social revolution in Africa.
Nyerere was able to use the Cold War to extract more concessions from the West than they would otherwise have been prepared to grant, but he remained loyal to the Western camp. That was why, despite his socialist rhetoric, he became a favourite of Robert McNamara when he was President of the World Bank—who directed large amounts of aid to Tanzania.
When this policy changed in the 1980s and aid was cut neither Nyerere nor any other elements in the CCM had any alternative policy but to go along with Western demands since their entire political outlook had always been one of accepting Africa's subordination to Western political policies and economic domination.
While Western aid produced some benefits for the mass of the population, Nyerere's limited welfare schemes were always fundamentally a system of patronage, which ensured political and economic benefits for a small elite. Deprived of these benefits, Tanzanian politicians are attempting to preserve their privileged position by carving out for themselves enclaves in which they will control the resources that Western investors want.
For the mass of the population of Tanzania the future is not in a return to Nyerere's African socialism which was always a false prospect. Nor does not it lie with any of the self-interested cliques that have emerged from Nyerere's CCM, but in developing an independent socialist perspective which unites workers and the impoverished masses of the Africa for the overthrow of imperialist domination. The resources of this vast continent must be taken out of the hands of the banks and transnational corporations and developed in the interests of the whole population

Mimi naamini Bank ya Dunia haina jema hata moja kwa nchi za Africa ni sawa sawa ukienda kuvua samaki lazima uweke chambo kwenye ndoana.. kwa sababu samaki anafikiria unampa kula ....
 
ZIARA ZA VIONGOZI WA BENKI YA DUNIA NCHINI TANZANIA NI SEHEMU YA KUMAKINISHA UNYONYAJI WA MABEPARI KWA MATAIFA MACHANGA

Mnamo tarehe 19/03/2017 Raisi wa Benki ya Dunia (world Bank Group), Dr Jim Yang Kim alizuru Tanzania kwa ziara ya kikazi ya siku tatu mpaka 21/03/2017. Ziara hii ya Kim imefuatiwa na ziara ya Makhtar Diop, makamu wa Raisi wa Benki ya Dunia kwa Afrika aliyoifanya hapa nchini tarehe 24 mpaka 26 januari, 2017.

Malengo ya ziara:
ziara hizi zinalenga yafuatayo:

A: kumakinisha maslahi ya Amerika na kufafanua sera ya mambo ya nje ya Amerika kwa Tanzania. Ifahamike Benki ya Dunia ilianzishwa julai 1944, Breton Woods, New Hampshire, Amerika. Ilianzishwa na Amerika kama taasisi ya kusaidia nchi za ulaya kutokana na athari za vita ya pili ya dunia iliyoisha 1945.Tangu hapo Amerika huamua kila kitu ikiwemo nani asaidiwe, uraisi, muundo, mabadiliko ya benki hiyo n.k. Amerika pekee ndiyo yenye kura ya turufu (veto) katika benki hiyo. Amerika inahodhi asilimia 16 kati ya 85 ya kura zinazohitajika ili kufanya maamuzi katika benki hiyo.

Amerika huitumia benki hii kueneza sera zake za mambo ya nje (ukoloni) na hiyo kumakinisha maslahi yake. Mfano: mwaka 1972 ilizuia msaada wa benki ya dunia kwa Chile iliyokuwa chini ya Rais Salvador Allende, na kupelekea mapinduzi ya 1973 yaliyopelekea mauaji ya Allende na kutawala dicteta Augustino Pinochet, ambapo Amerika ilizidisha misaada yake na kufikia dolari 350.5 milioni kutoka dolari 27.7 milioni kipindi cha Allende. Hii ilikuwa chini ya Rais Nixon na mshauri wake wa kijeshi Henry Kissinger. Mwaka 1982, Rais Reagan alizuia msaada wa benki hiyo kwa Nicaragua. Yameelezwa haya kwa wazi pia katika ripoti ya SAPRIN ya mwaka 2002.

Amma kuhusu sera ya sasa ya Amerika kwa Tanzania haijabadilika nayo ni kuendelea kuitumia kikanda, na kuifunga na mikataba ili Ulaya isije ikarejesha ushawishi wake hasa Uingereza. Akafafanua haya makamu wa Rais ya benki hiyo Diop pale aliposema “japo ni mapema kuelezea utawala mpya (wa Trump) lakini sitarajii mabadiliko makubwa (ya sera zake kwa Tanzania)” Pia akaongeza Diop “kitu muhimu ni kuwa taasisi za kikanda zinapaswa kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa “(The citizen, 26/01/2017).

B: Kukagua maagizo na mipango iliyopangwa Tanzania na benki hiyo. Mipango ya Tanzania mingi ni maelekezo kutoka benki hii, na hapa tutaleta mifano michache:

Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam: Ripoti wa Benki ya Dunia 2014, ilisema “Tanzania na nchi za jirani wanapoteza dolari bilioni 2.6 kila mwaka kutokana na ufanisi hafifu wa bandari ya Dar es salaam”
Taarifa hii ndiyo inayopelekea mkataba wa mkopo wa dolari 305 milioni wa upanuzi wa bandari ya Dar es salaam. “mkataba wa mkopo ulifanyika kufuatia mazungumzo kati ya rais John Magufuli na Makhtar Diop, makamu wa rais wa Benki ya Dunia kwa Afrika “(Reuters, 27/01/2017).

Uongezwaji wa kodi na sera za kubana matumizi: Katika taarifa ya Benki ya Dunia ya 01/07/2015 iliyopewa jina la “kwa nini watanzania wanatakiwa kulipa kodi” (why Tanzanians should pay Taxes) imesisitiza juu ya serikali kupanua wigo na kukuza ukusanyaji wa
Ripoti hii ya Benki ya Dunia kwa kiasi kikubwa ndiyo imekuwa dira ya utawala wa sasa, kukusanya kodi na kuongeza kodi kwa wananchi wanyonge. Makusanyo ya kodi yalifikia dolari billion 6 kwa mwaka 2014 ambayo yaliweza kulipia asilimia 75 ya mishahara ya wafanyakazi wote, bila kufanyika mradi wowote wa kimaendeleo.

Mbali na kuwa ukusunyaji wa kodi umeongezeka lakini bado nchi inaendelea kukopa kwa masharti magumu bila ya kujali uzito unaowakabili raia wakati wa kulipa madeni hayo. Sambamba na hilo kimsingi kodi hizi hazijagusa sekta nyeti kama madini, gesi, n.k sekta ambazo wawekezaji wake wakuu ni makampuni ya kimarekani.

Kwahiyo alipokuja Diop alitoa maagizo kwa serikali ya Tanzania na Kim amekuja kukagua utekelezaji wake “ ziara ya Kim inakuja kufuatia ziara iliyofanywa na makamu wa rais wa Benki ya Dunia kanda ya Afrika, Makhtar Diop mwezi januari mwaka huu Tanzania” (RFI, 19/03/2017).

Na ni wazi rais Magufuli ametekeleza vizuri maagizo na Kim aliashiria haya aliposema “nina imani sana na Magufuli “(mwananchi 21/03/2017) na akaongeza Kim kuwa “ nitakuja tena Tanzania kuangalia maendeleo yaliyofikiwa”

C: Kuifunga Tanzania na mikataba ya kinyonyaji:
Licha ya kupiga kelele za kubeza misaada ya wakoloni, kwa kiasi kikubwa kabisa bado Tanzania inategemea misaada kutoka kwa wakoloni na chini ya mfumo huu wa kibepari haitarajiwi kattu kuachana na sera hii ya kutegemea misaada.

Rais Magufuli aliita misaada ya wahisani “ mkate wa masimango” na kusema “kuliko kula mkate huo ni bora kushindia mihogo”(mwananchi 18/04/2016). Pia akasema “ kwa hiyo ni lazima sisi watanzania kusimama sisi wenyewe” ( Rai, 31/03/2016). Misaada hii ya benki ya dunia kwa Tanzania haijaanza leo, mwaka 1960 Benki ya Dunia ilitoa dolari 2.8 millioni kwa ajili ya kiwanda cha sukari cha kilombero, 1965 ilitoa dolari milioni 5 kwa ajili ya kilimo, 1962 ilitoa dolari milioni 4.6 katika mradi wa ujenzi wa shule na mpaka sasa inadhamini miradi 23 kwa dolari bilioni 3.6 na miradi 7 ya kikanda kwa dolari milioni 551 na hiyo kufanya jumla ya misaada yake kufikia dolari bilioni 4. 3

Mikataba hii inaifunga Tanzania kuendelea kuwa mtumwa wa Amerika na ubepari kama tutakavyoeleza baadaye, licha ya kulitumbukiza taifa katika madeni endelevu na umasikini uliokithiri.

D:Kukuza mahusiano kati ya Tanzania na Benki ya Dunia: Kwa kuzingatia sababu hizo 3 hapo juu ndiyo zinaleta picha ya kile kilichotajwa na Taarifa ya Benki hiyo juu ya ziara ya Kim nchini Tanzania 17/03/2017 ikisema kuwa, ziara inalenga kuzungumzia mahusiano kati ya Tanzania na Benki ya Dunia na kukagua miradi inayodhaminiwa na Benki ya Dunia.

2 .Madhara ya misaada hii kwa Tanzania na nchi zinazoendelea:

A: Tanzania: Madhara yaliyoletwa na Benki hii na misaada yake kwa Tanzania ni makubwa sana, tukianza na umasikini, ambapo misaada hii (mikopo) ilipelekea Tanzania kuwa katika nchi zinazodaiwa sana (Highly Indebted countries). Licha ya misaada yote hiyo, umasikini jumla umeongezeka ambapo asilimia sabiini (70%) ya watanzania wanaishi kwa chini ya dolari 2 kwa siku ( Tanzania mainland poverty Assessment Report, World Bank, 7/05/2015)

Mikopo hii imesababisha ongezeko la ukosefu ya ajira hasa kwa vijana wanaohitimu masomo yao. Ni kutokana na sera mbovu za Benki hii ndio zilizopelekea kuuwawa viwanda vyetu na mashirika ya umma hapa nchini. Ni watanzania milioni 2.3 tu ndio waliomo katika ajira rasmi (The Employment and Earnings Survey Report NBS, 2015)

Ama ujinga umeongezeka sana, katika miaka ya 1970 mpaka 1980, watanzania 80% walijua kusoma na kuandika, lakini licha ya mikopo ya mabilioni ya dola iliyoelekezwa katika sekta ya elimu 78% ya watanzania hawajui kusoma na kuandika. (allafrica.com 8/9/2016).

Mikopo hii imeongeza deni la taifa na kufikia trilioni 40, wastani wa milioni 1 kwa kila mtanzania (BBC, 05/07/2016).

B: Madhara kwa nchi zinazoendelea kwa ujumla: Tunaweza kuyaona kwa kifupi kama yafuatayo:

Katika ripoti ya Benki ya Dunia 2002, iliyofanywa na SAPRIN (Structural Adjustment Participatory Review International Network) imefafanua kufwa sera za Benki ya Dunia zimeongeza umasikini ukosefu wa ajira, ukosefu wa usalama, utapia mlo na uchumi mbovu, ambapo Afrika ndiyo iliyoathirika zaidi.

Inaendelea kueleza ripoti hiyo kuwa sera hizo zilipelekea mgogoro wa madeni (1980’s Debt crisis) kwa nchi zinazoendelea, kutoka 1986-1997, ambapo watu milioni 460, nusu ya wakazi wa latin Amerika waliingia katika umasikini mkubwa, ikiwa ni ongezeko la watu milioni 60 kwa miaka 10 tu.

Inafafanua vile vile ripoti hiyo kuwa Uchumi wa Afrika ulishuka kwa 15% kati ya mwaka 1980 mpaka 2000, nusu ya watu wa Afrika, 350 milioni kati ya 682 milioni walikuwa katika umasikini wa kupitiliza kufikia mwaka 2003 na hali inazidi kuwa mbaya siku hadi siku.

Taarifa ya taasisi ya Canada ya sera mbadala julai, 2004 iliyoitwa “Impoverishing a continent. The World Bank and the IMF in Africa, inafafanua yafuatayo pia:

Usafirishaji wa malighafi zisizo mafuta umeshuka kwa 35% tangu 1997, Deni la Africa limeongeza kwa 500% tangu mwaka 1980 na kufikia dolari bilioni 333 mwaka 2004 na bilioni 430 kwa latin Amerika. Nchi za Afrika kusini mwa jangwa la sahara zimepeleka kwa wakoloni dolari bilioni 229 tangu 1980 mpaka 2004, ambayo ni mara nne ya deni halisi.

Hivyo kwa kifupi ziara hizi hazina tija yeyote kwa nchi zetu changa bali maafa na kuendeleza ukoloni. Ni jukumu la wananchi wote kuinua sauti zao kuzilaani na kuzipinga ziara hizi hata kama baadhi ya viongozi vibaraka huzitumia kwa kujifakharisha na kuonesha uungwaji mkono na misaada wanayoipata kutoka kwa taasisi hizi eti ni kutokana na ubora wa sera zao za kiuchumi kwa wananchi wao.
Source: Akhy Hassan
Mada ni nzuri sana na inafungua akili
 
Huna haja ya kuomba msamaha kwa watoto kama hawa wasio na maono zaidi ya kutafuta sehemu za kucomment...
Umeleta good presentation bila kujali ina paragraph ngap.
Ahsante. Sikutaka kupoteza muda kubishana nao hawa watoto wadogo..
 
Hebu niambie kitu gani au data gani nimepotosha hapo.. hivi unataka kuniambia wakati tunahubiri siasa za ujamaa wakati wa nyerere world bank ilikuwa haitupi misaada? tulikuwa tunapata misaada na ilifika stage world bank ikawa inalaumiwa kwa nini support project ambazo ziko destined to fail kama ilivyo Ethiopia na Yugoslavia wakati huo..Kwani wao wali facilitate implementation ya economic policy zote za Nyerere huku wakijua kabisa zita fail and then watakuwa wanatudai na tutakuwa tayari kukubali masharti yao na ndiyo kilichotokea
kuna article moja isome hii hapa

This thread written
By Ann Talbot
15 November 2000

Nyerere's defenders see the early years after independence as a golden age and exempt him from blame for the social catastrophe that has followed, but in reality his policies have led to the present situation. His so-called African socialism was always dependent on the aid that Western governments were prepared to give to prevent a social revolution in Africa.
Nyerere was able to use the Cold War to extract more concessions from the West than they would otherwise have been prepared to grant, but he remained loyal to the Western camp. That was why, despite his socialist rhetoric, he became a favourite of Robert McNamara when he was President of the World Bank—who directed large amounts of aid to Tanzania.
When this policy changed in the 1980s and aid was cut neither Nyerere nor any other elements in the CCM had any alternative policy but to go along with Western demands since their entire political outlook had always been one of accepting Africa's subordination to Western political policies and economic domination.
While Western aid produced some benefits for the mass of the population, Nyerere's limited welfare schemes were always fundamentally a system of patronage, which ensured political and economic benefits for a small elite. Deprived of these benefits, Tanzanian politicians are attempting to preserve their privileged position by carving out for themselves enclaves in which they will control the resources that Western investors want.
For the mass of the population of Tanzania the future is not in a return to Nyerere's African socialism which was always a false prospect. Nor does not it lie with any of the self-interested cliques that have emerged from Nyerere's CCM, but in developing an independent socialist perspective which unites workers and the impoverished masses of the Africa for the overthrow of imperialist domination. The resources of this vast continent must be taken out of the hands of the banks and transnational corporations and developed in the interests of the whole population

Mimi naamini Bank ya Dunia haina jema hata moja kwa nchi za Africa ni sawa sawa ukienda kuvua samaki lazima uweke chambo kwenye ndoana.. kwa sababu samaki anafikiria unampa kula ....
u
Nilisema toka mwanzo kila anayekusaidia ana Lengo lake.Wazungu husema" there is no free meal".Hata kwa akili ya kawaida tu kwamba,unamtaka msichana,unamgharimia kila kitu,lakini bado unaona mapenzi yake yako kwa mtu mwingine.Sidhani kama utaendelea kumgharimia.Kwa hiyo kweli Marekani au nchi nyingine inapokusaidia,nayo inaangalia maslahi yake au hata kuungwa mkono tu.Ukizembea kweli Madini yanakwenda na maliasili nyingine.Ni juu ya Tz kuwa makini.Hata hivyo hii haiondoi manufaa ya Benki ya dunia na IMF.Wapo Watu wanakopa Benki za kawaida na wananufaika,lakini wengine ni majanga.Lakini bado kukopa kuna manufaa.Enzi ya vita baridi,Tz ilikuwa na Sera za ujamaa zinazoendana na Ukomunisti wa iliyokuwa USSR.Sera hizi zilikinzana na nchi za magharibi zilizokuwa zinafuata uchumi wa soko.Mvutano ilikuwa ni kati ya USA na USSR.Kila moja ilihitaji kuungwa mkono na Tz.Marekani walijua Sera zetu zilikuwa mbovu.Walikuwa wanatumia kila aina ya ushawishi na hujuma.Lengo lao tuone USSR hawafai ili tuwafuate wao.Lengo ni kuungwa mkono.Sasa USSR hawapo na Sera zilizopo ni za uchumi wa soko ambazo ndizo za Marekani tangu awali.Tz tunaendelea vizuri ktk utekelezaji wa Sera hizi.Marekani na washirika wake wanaendelea kutusaidia.Ni juu yetu kuwa makini wasituibie.Kuibuka kwa China kumeleta changamito mpya.China naye kwa sasa anataka kuungwa mkono.China alituona rafiki yake wa siku nyingi.Ndiyo maana Rais aliyepo madarakani Xi Jinping baada tu ya kuchaguliwa,ziara ya kwanza ilikuwa Urusi,na ya pili Tz.Tz hadi sasa haijabainisha iko wapi.Kikwete mwishoni alitoa hotuba iliyoashiria China ni marafiki zetu wa dhati.Wako tayari kusaidia kila kitu tulichoomba.Magufuli hadi sasa haonekani anaelekea wapi.Amewachanganya Wamarekani na Wachina.Ndiyo maana Hata misaada imepungua.
 
ZIARA ZA VIONGOZI WA BENKI YA DUNIA NCHINI TANZANIA NI SEHEMU YA KUMAKINISHA UNYONYAJI WA MABEPARI KWA MATAIFA MACHANGA

Mnamo tarehe 19/03/2017 Raisi wa Benki ya Dunia (world Bank Group), Dr Jim Yang Kim alizuru Tanzania kwa ziara ya kikazi ya siku tatu mpaka 21/03/2017. Ziara hii ya Kim imefuatiwa na ziara ya Makhtar Diop, makamu wa Raisi wa Benki ya Dunia kwa Afrika aliyoifanya hapa nchini tarehe 24 mpaka 26 januari, 2017.

Malengo ya ziara:
ziara hizi zinalenga yafuatayo:

A: kumakinisha maslahi ya Amerika na kufafanua sera ya mambo ya nje ya Amerika kwa Tanzania. Ifahamike Benki ya Dunia ilianzishwa julai 1944, Breton Woods, New Hampshire, Amerika. Ilianzishwa na Amerika kama taasisi ya kusaidia nchi za ulaya kutokana na athari za vita ya pili ya dunia iliyoisha 1945.Tangu hapo Amerika huamua kila kitu ikiwemo nani asaidiwe, uraisi, muundo, mabadiliko ya benki hiyo n.k. Amerika pekee ndiyo yenye kura ya turufu (veto) katika benki hiyo. Amerika inahodhi asilimia 16 kati ya 85 ya kura zinazohitajika ili kufanya maamuzi katika benki hiyo.

Amerika huitumia benki hii kueneza sera zake za mambo ya nje (ukoloni) na hiyo kumakinisha maslahi yake. Mfano: mwaka 1972 ilizuia msaada wa benki ya dunia kwa Chile iliyokuwa chini ya Rais Salvador Allende, na kupelekea mapinduzi ya 1973 yaliyopelekea mauaji ya Allende na kutawala dicteta Augustino Pinochet, ambapo Amerika ilizidisha misaada yake na kufikia dolari 350.5 milioni kutoka dolari 27.7 milioni kipindi cha Allende. Hii ilikuwa chini ya Rais Nixon na mshauri wake wa kijeshi Henry Kissinger. Mwaka 1982, Rais Reagan alizuia msaada wa benki hiyo kwa Nicaragua. Yameelezwa haya kwa wazi pia katika ripoti ya SAPRIN ya mwaka 2002.

Amma kuhusu sera ya sasa ya Amerika kwa Tanzania haijabadilika nayo ni kuendelea kuitumia kikanda, na kuifunga na mikataba ili Ulaya isije ikarejesha ushawishi wake hasa Uingereza. Akafafanua haya makamu wa Rais ya benki hiyo Diop pale aliposema “japo ni mapema kuelezea utawala mpya (wa Trump) lakini sitarajii mabadiliko makubwa (ya sera zake kwa Tanzania)” Pia akaongeza Diop “kitu muhimu ni kuwa taasisi za kikanda zinapaswa kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa “(The citizen, 26/01/2017).

B: Kukagua maagizo na mipango iliyopangwa Tanzania na benki hiyo. Mipango ya Tanzania mingi ni maelekezo kutoka benki hii, na hapa tutaleta mifano michache:

Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam: Ripoti wa Benki ya Dunia 2014, ilisema “Tanzania na nchi za jirani wanapoteza dolari bilioni 2.6 kila mwaka kutokana na ufanisi hafifu wa bandari ya Dar es salaam”
Taarifa hii ndiyo inayopelekea mkataba wa mkopo wa dolari 305 milioni wa upanuzi wa bandari ya Dar es salaam. “mkataba wa mkopo ulifanyika kufuatia mazungumzo kati ya rais John Magufuli na Makhtar Diop, makamu wa rais wa Benki ya Dunia kwa Afrika “(Reuters, 27/01/2017).

Uongezwaji wa kodi na sera za kubana matumizi: Katika taarifa ya Benki ya Dunia ya 01/07/2015 iliyopewa jina la “kwa nini watanzania wanatakiwa kulipa kodi” (why Tanzanians should pay Taxes) imesisitiza juu ya serikali kupanua wigo na kukuza ukusanyaji wa
Ripoti hii ya Benki ya Dunia kwa kiasi kikubwa ndiyo imekuwa dira ya utawala wa sasa, kukusanya kodi na kuongeza kodi kwa wananchi wanyonge. Makusanyo ya kodi yalifikia dolari billion 6 kwa mwaka 2014 ambayo yaliweza kulipia asilimia 75 ya mishahara ya wafanyakazi wote, bila kufanyika mradi wowote wa kimaendeleo.

Mbali na kuwa ukusunyaji wa kodi umeongezeka lakini bado nchi inaendelea kukopa kwa masharti magumu bila ya kujali uzito unaowakabili raia wakati wa kulipa madeni hayo. Sambamba na hilo kimsingi kodi hizi hazijagusa sekta nyeti kama madini, gesi, n.k sekta ambazo wawekezaji wake wakuu ni makampuni ya kimarekani.

Kwahiyo alipokuja Diop alitoa maagizo kwa serikali ya Tanzania na Kim amekuja kukagua utekelezaji wake “ ziara ya Kim inakuja kufuatia ziara iliyofanywa na makamu wa rais wa Benki ya Dunia kanda ya Afrika, Makhtar Diop mwezi januari mwaka huu Tanzania” (RFI, 19/03/2017).

Na ni wazi rais Magufuli ametekeleza vizuri maagizo na Kim aliashiria haya aliposema “nina imani sana na Magufuli “(mwananchi 21/03/2017) na akaongeza Kim kuwa “ nitakuja tena Tanzania kuangalia maendeleo yaliyofikiwa”

C: Kuifunga Tanzania na mikataba ya kinyonyaji:
Licha ya kupiga kelele za kubeza misaada ya wakoloni, kwa kiasi kikubwa kabisa bado Tanzania inategemea misaada kutoka kwa wakoloni na chini ya mfumo huu wa kibepari haitarajiwi kattu kuachana na sera hii ya kutegemea misaada.

Rais Magufuli aliita misaada ya wahisani “ mkate wa masimango” na kusema “kuliko kula mkate huo ni bora kushindia mihogo”(mwananchi 18/04/2016). Pia akasema “ kwa hiyo ni lazima sisi watanzania kusimama sisi wenyewe” ( Rai, 31/03/2016). Misaada hii ya benki ya dunia kwa Tanzania haijaanza leo, mwaka 1960 Benki ya Dunia ilitoa dolari 2.8 millioni kwa ajili ya kiwanda cha sukari cha kilombero, 1965 ilitoa dolari milioni 5 kwa ajili ya kilimo, 1962 ilitoa dolari milioni 4.6 katika mradi wa ujenzi wa shule na mpaka sasa inadhamini miradi 23 kwa dolari bilioni 3.6 na miradi 7 ya kikanda kwa dolari milioni 551 na hiyo kufanya jumla ya misaada yake kufikia dolari bilioni 4. 3

Mikataba hii inaifunga Tanzania kuendelea kuwa mtumwa wa Amerika na ubepari kama tutakavyoeleza baadaye, licha ya kulitumbukiza taifa katika madeni endelevu na umasikini uliokithiri.

D:Kukuza mahusiano kati ya Tanzania na Benki ya Dunia: Kwa kuzingatia sababu hizo 3 hapo juu ndiyo zinaleta picha ya kile kilichotajwa na Taarifa ya Benki hiyo juu ya ziara ya Kim nchini Tanzania 17/03/2017 ikisema kuwa, ziara inalenga kuzungumzia mahusiano kati ya Tanzania na Benki ya Dunia na kukagua miradi inayodhaminiwa na Benki ya Dunia.

2 .Madhara ya misaada hii kwa Tanzania na nchi zinazoendelea:

A: Tanzania: Madhara yaliyoletwa na Benki hii na misaada yake kwa Tanzania ni makubwa sana, tukianza na umasikini, ambapo misaada hii (mikopo) ilipelekea Tanzania kuwa katika nchi zinazodaiwa sana (Highly Indebted countries). Licha ya misaada yote hiyo, umasikini jumla umeongezeka ambapo asilimia sabiini (70%) ya watanzania wanaishi kwa chini ya dolari 2 kwa siku ( Tanzania mainland poverty Assessment Report, World Bank, 7/05/2015)

Mikopo hii imesababisha ongezeko la ukosefu ya ajira hasa kwa vijana wanaohitimu masomo yao. Ni kutokana na sera mbovu za Benki hii ndio zilizopelekea kuuwawa viwanda vyetu na mashirika ya umma hapa nchini. Ni watanzania milioni 2.3 tu ndio waliomo katika ajira rasmi (The Employment and Earnings Survey Report NBS, 2015)

Ama ujinga umeongezeka sana, katika miaka ya 1970 mpaka 1980, watanzania 80% walijua kusoma na kuandika, lakini licha ya mikopo ya mabilioni ya dola iliyoelekezwa katika sekta ya elimu 78% ya watanzania hawajui kusoma na kuandika. (allafrica.com 8/9/2016).

Mikopo hii imeongeza deni la taifa na kufikia trilioni 40, wastani wa milioni 1 kwa kila mtanzania (BBC, 05/07/2016).

B: Madhara kwa nchi zinazoendelea kwa ujumla: Tunaweza kuyaona kwa kifupi kama yafuatayo:

Katika ripoti ya Benki ya Dunia 2002, iliyofanywa na SAPRIN (Structural Adjustment Participatory Review International Network) imefafanua kufwa sera za Benki ya Dunia zimeongeza umasikini ukosefu wa ajira, ukosefu wa usalama, utapia mlo na uchumi mbovu, ambapo Afrika ndiyo iliyoathirika zaidi.

Inaendelea kueleza ripoti hiyo kuwa sera hizo zilipelekea mgogoro wa madeni (1980’s Debt crisis) kwa nchi zinazoendelea, kutoka 1986-1997, ambapo watu milioni 460, nusu ya wakazi wa latin Amerika waliingia katika umasikini mkubwa, ikiwa ni ongezeko la watu milioni 60 kwa miaka 10 tu.

Inafafanua vile vile ripoti hiyo kuwa Uchumi wa Afrika ulishuka kwa 15% kati ya mwaka 1980 mpaka 2000, nusu ya watu wa Afrika, 350 milioni kati ya 682 milioni walikuwa katika umasikini wa kupitiliza kufikia mwaka 2003 na hali inazidi kuwa mbaya siku hadi siku.

Taarifa ya taasisi ya Canada ya sera mbadala julai, 2004 iliyoitwa “Impoverishing a continent. The World Bank and the IMF in Africa, inafafanua yafuatayo pia:

Usafirishaji wa malighafi zisizo mafuta umeshuka kwa 35% tangu 1997, Deni la Africa limeongeza kwa 500% tangu mwaka 1980 na kufikia dolari bilioni 333 mwaka 2004 na bilioni 430 kwa latin Amerika. Nchi za Afrika kusini mwa jangwa la sahara zimepeleka kwa wakoloni dolari bilioni 229 tangu 1980 mpaka 2004, ambayo ni mara nne ya deni halisi.

Hivyo kwa kifupi ziara hizi hazina tija yeyote kwa nchi zetu changa bali maafa na kuendeleza ukoloni. Ni jukumu la wananchi wote kuinua sauti zao kuzilaani na kuzipinga ziara hizi hata kama baadhi ya viongozi vibaraka huzitumia kwa kujifakharisha na kuonesha uungwaji mkono na misaada wanayoipata kutoka kwa taasisi hizi eti ni kutokana na ubora wa sera zao za kiuchumi kwa wananchi wao.
Source: Akhy Hassan
.
 
Benki ya BRICS iliishia wapi? Acheni kupotosha umaskini wetu umesababishwa na wezi ambao ni wenzetu tulio wa amini na kuwapa jukumu la kutuongoza.

Viongozi wanaingia mikataba ya hovyo kwa manufaa yao halafu tuamini kwamba hao mabepari ndio tatizo. Nyerere alitupata enzi hizo lakini nyie wa sasa hamtupati ngoo. Watu wanajineemesha kwa mikataba ya ovyo halafu msingizie WB.

Rais kasema juzikati hapa riba za WB ni ndogo ukilinganisha na mikopo mingine.

Na washawasha!
 
Alafu hawa jamaa wanakuacha kwanza unapanga mipango the ikianza kubuma ndio wanajisogeza!
Tutabakiaga miaka kumi kunyonywa na china inayofuatia kumi west hadi vitukuu, viwanda tutaishia kuvisikia labda workshops za welding.
 
Hebu fikiri mtu anaingia mkataba wa mrabahaba 3%, asili mia tatu ichukuliwe na watu millioni50 na kakikundi kawa watu kachukue 97%.. Ukiuliza sababu eti dhahabu ikiwa aridhini haina thamani.

Mra-haba, haba maana yake ni chache. Mrachache na ni kweli 3% ni chache.

Hizo 3% wakati wa kuzitumia zipigwe tena wajanja wachache katika kulipia kapasiti chagizi, mara sijui mawingu ya mabomu, taifa la watu walio na mioyo ya hovyo sana.

Kama taifa tunatakiwa tupungwe kwanza mapepo ya ujinga yatutoke.

Na washawasha!
 
Back
Top Bottom