KISHINDO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 2,109
- 1,798
Hao 2.7 m ndo population ya Tabora.Usipende kufurahia ujinga. Nenda kwenye vitabu vya sensa halafu ujidharau kwa kuwa mwongo. Kanda ya ziwa ni 27% ya population ya Tanzania. Hiyo robo 3, sijui umeokota wapi!
Mwanza - 2.7m
Kigoma - 2.1m
Mara - 1.7m
Simiyu - 1.5m
Kagera - 2.4m
Geita - 2.3m
Tabora - 1.7m
TOTAL 17m.
Hivi 17m ni asilimia ngapi ya 62m? Msiwe mnakurupuka. Kanda ya Ziwa ina watu wengi lakini siyo wengi kiasi cha kuamua wao pekee yao nani awe kiongozi. Mgombea wa kiti cha urais akiweza kupata 50% ya kura zote za mikoa iliyobakia, atapata 22.5m votes, ambazo hata watu wa kanda ya ziwa wakimpa, hawezi kupata. Hiyo ni assumption kama watu wote including watoto, watapiga kura.
Watu wanajilisha ujinga eti kanda ya Ziwa pekee ina uwezo wa kuamua nani awe kiongozi Tanzania.
Kapimwe haja kubwa kuepuka Corona ya Akili