Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
kama mikoa hii ndiko kwenye ujinga na umaskini kwanini mmekimbia huko kaskazini kuja coast?
Au ujinga wetu ni kuwauzia maeneo mkajenga ili muweze kujisitiri na familia zenu? Wapwani kuwa wakarimu kuwakaribisha ndio mtutusi? Hivi mlitaka na sisi tuwe wabaguzi kama mlivyo kule kwenu kwamba ukiwa mgeni huuziwi eneo?
Hivi sisi wa pwani na wale mnao ua bibi zenu wenye macho mekundu ukidai ni wachawi na albino ili mpate utajiri nani ni mjinga? Kisha mmezoea pia kuwaita wa pwani ni washirikina bila kutoa ushahidi, kama ni great thinker, jiulize hivi, ulishawahi kusikia pwani wameua albino? Wameua vikongwe kwa imani za kishirikina?
nakumbushia tu msinipige mawe nikija pwani.
mapinduzi ya zanzibar yaliongozwa na tito okelo kutoka uganda.
na ukombozi wa kweli pwani utaletwa na akina tito okelo kutoka bara.
chadema vema.