Ziara za CDM - Mtwara, Lindi, Pwani, Tanga na Zanzibar

Gamba Jipya

JF-Expert Member
Apr 16, 2011
401
80
Hii mikoa ni ngome yetu, CDM hawakubaliki kabisa na uzuri ni kuwa hata wao wanalifahamu hili na ndiyo maana huwa hawaendi kwenye ngome hizi, hata ufunguzi wa matawi katika vyuo vilivyo maeneo hayo ni ndoto, ha hii ni over 20% ya kura Tanzania, Tunaingia 2015 tukiwa na mtaji wa kura milioni 5 za wanachama pamoja na asilimia 20% ya mikoa hii, jipangeni kwa 2025.

Walienda kuwapa pole wahanga wa maandamano Arusha.
Wakaenda kuwapa pole wahanga wa North Mara

Jiulize ni kwa nini hawajaenda kuwapa pole wahanga waliobomolewa nyumba na mabanda yao Znz?

Na kwa nini wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka jana waliikwepa sana mikoa hii?.

Mtwara, Lindi, Pwani, Tanga na Zanzibar ni maji marefu.
 
Hii mikoa ni ngome yetu, CDM hawakubaliki kabisa na uzuri ni kuwa hata wao wanalifahamu hili na ndiyo maana huwa hawaendi kwenye ngome hizi, hata ufunguzi wa matawi katika vyuo vilivyo maeneo hayo ni ndoto, ha hii ni over 20% ya kura Tanzania, Tunaingia 2015 tukiwa na mtaji wa kura milioni 5 za wanachama pamoja na asilimia 20% ya mikoa hii, jipangeni kwa 2025.

Mtwara, Lindi, Pwani, Tanga na Zanzibar ni maji marefu.

malaria sugu.

mwanangu una Id nyingi kweli.

hzi ngome unazisema ndiyo zinaongoza kwa umasikini na ujinga.
 
malaria sugu sikiliza, kule tunamtuma profesa safari, una jipya lingine????????
 
Mkuu hujafanya utafiti wa wa kutosha Kwa sababu zifuatazo.
Mosi, kwa mujibu wa daftari la tume ya uchaguzi wapiga kura wa mikoa ya mtwara lindi na Pwani ni sawa na wapiga kura wa Mwanza tu ambao chadema ina nguvu sana. so, your deadly wrong.
Secondly, je wajua kuwa chadema ilishinda baadhi ya majimbo ktk maeneo hayo kama kibaha iliyoko katika mkoa wa pwani na ikachakachuliwa?Je, wajua tuna madiwani wa kutosha kibaha?
Je, wajua kuwa Chadema imeenea sana kisarawe na ilipata kura zaidi laki moja kisarawe 2010 ambayo iko pwani?
Nne, sijawahi kufika Tangu ninajua kuwa baadhi ya maeneo tuna nguvu sana. Sijui kama tuna madawani au la.
Kwa hiyo hesabu ya chadema kwa 100% ni 2015, JK akikaa vibaya bila kutatua matatizo ya wananchi 2015 inaweza kuwa mbali vile vile. Rejea hotuba za Dr Slaa nyanda za juu kusini.
Thanx
 
Huko ulipopataja ndo phase inayokuja. Tulia uone, na picha zitamwagwa hapa jamvini then utatathmini.
 
Mtaji wa CCM ni ujinga wa watanzania,ndio maana wana ngome ktk mikoa hiyo ambayo wanaongoza kwa ujinga na umaskini
 
Mkuu hujafanya utafiti wa wa kutosha Kwa sababu zifuatazo.
Mosi, kwa mujibu wa daftari la tume ya uchaguzi wapiga kura wa mikoa ya mtwara lindi na Pwani ni sawa na wapiga kura wa Mwanza tu ambao chadema ina nguvu sana. so, your deadly wrong.
Secondly, je wajua kuwa chadema ilishinda baadhi ya majimbo ktk maeneo hayo kama kibaha iliyoko katika mkoa wa pwani na ikachakachuliwa?Je, wajua tuna madiwani wa kutosha kibaha?
Je, wajua kuwa Chadema imeenea sana kisarawe na ilipata kura zaidi laki moja kisarawe 2010 ambayo iko pwani?
Nne, sijawahi kufika Tangu ninajua kuwa baadhi ya maeneo tuna nguvu sana. Sijui kama tuna madawani au la.
Kwa hiyo hesabu ya chadema kwa 100% ni 2015, JK akikaa vibaya bila kutatua matatizo ya wananchi 2015 inaweza kuwa mbali vile vile. Rejea hotuba za Dr Slaa nyanda za juu kusini.
Thanx
Mangi umepiga wapi mbege leo? Macho yamelegea mapema!
 
Heshima kwako Gamba Jipya.

Mkuu bahati nzuri nimetembea sana Tanga tena vijijini hali niliyoikuta huko ilinishangaza sana.mwezi jana nilikuwa vijiji vya Kwamsisi,Kwedikwazu,kwamkonona na Kwediembele huwezi kuamini mwamko wa wananchi wengi wameshaichoka CCM hawataki kusikia ahadi zisizotekelezwa.kwediembele ni kijiji kilicho ndani sana toka barabara kuu Dar - Tanga 40 km zipo bendera za CHADEMA,wanachama na matawi kibao.

Miaka miwili iliyopita hali ilikuwa tofauti kabisa hapakuwa naharufu ya upinzani hata kidogo sijui mpaka 2015 hali itakuwaje hasa ukizingatia CHADEMA wameanza mapema harakati za uchaguzi mwaka 2015.

Mungu ibariki Tanzania.

Mungu ibariki Afrika.
 
Huko kote peoples power itawafikia na wataamka tu,operation sangara ilivyoenda Iringa kwa mara ya kwanza 2008 hakukuwa na muitikio lakini elimu ilipozidi kuenea wananchi waliamka na wakaanza kuiunga mkono chadema,hata huko Mtwara,Lindi,Pwani na Zanzibar ipo siku ujinga utawatoka na wataanza kuiunga mkono Chadema ambaye ndiyo mkombozi wa kweli wa taifa.
 
Hii mikoa ni ngome yetu, CDM hawakubaliki kabisa na uzuri ni kuwa hata wao wanalifahamu hili na ndiyo maana huwa hawaendi kwenye ngome hizi, hata ufunguzi wa matawi katika vyuo vilivyo maeneo hayo ni ndoto, ha hii ni over 20% ya kura Tanzania, Tunaingia 2015 tukiwa na mtaji wa kura milioni 5 za wanachama pamoja na asilimia 20% ya mikoa hii, jipangeni kwa 2025.

Mtwara, Lindi, Pwani, Tanga na Zanzibar ni maji marefu.

kiangalia hii mikoa yote ni ile ya watu tunaosema (wanisamehe) wanuelewa mdogo.
na hii ndio advantage manyochukua ninyi wanamagamba.sasa uzuri nikua hata kanda ya ziwa ilikua ngome kubwa sana ya ccm
lakini wewe ni shahidi wa jinsi mlivyoipoteza kanda yote kwa kasi.
vivyo hivyo ndivyo ilivyo kwa hyo mikoa. mmekwisha pindi hawa wanchi wakizinduka.
 
nafikiri hii ni changamoto kwa Chadema. Kwani hapa ndio panawavua Gamba la UDINI huko Tanzania
 
Hii mikoa ni ngome yetu, CDM hawakubaliki kabisa na uzuri ni kuwa hata wao wanalifahamu hili na ndiyo maana huwa hawaendi kwenye ngome hizi, hata ufunguzi wa matawi katika vyuo vilivyo maeneo hayo ni ndoto, ha hii ni over 20% ya kura Tanzania, Tunaingia 2015 tukiwa na mtaji wa kura milioni 5 za wanachama pamoja na asilimia 20% ya mikoa hii, jipangeni kwa 2025.

Mtwara, Lindi, Pwani, Tanga na Zanzibar ni maji marefu.


Haya nayo ni sehemu ya mawazo mfu ya nchi hii. Gamba Jiipya anaungana na akina Nape Nnaye wenye akili fupi kama hizi

 
Mkuu hujafanya utafiti wa wa kutosha Kwa sababu zifuatazo.
Mosi, kwa mujibu wa daftari la tume ya uchaguzi wapiga kura wa mikoa ya mtwara lindi na Pwani ni sawa na wapiga kura wa Mwanza tu ambao chadema ina nguvu sana. so, your deadly wrong.

Mkuu haya mambo ya daftari la wapiga kura ndiyo yalifanya msije kuchukua majibu ya urais, usiangalie majina kwenye daftari, angalia watu wanaokwenda kwenye kituo na kupiga kura, kwa utafiti uliofanyika na shilika lisilo la kiserikali la proxy data limebaidi watu wa coast waliojitokeza kupiga kura ni asilimia 87, wakati kanda ya ziwa ilikuwa asilimia 51.

Asante, ngoja tuendelee kutumia ngome zetu.
 
Back
Top Bottom