Gamba Jipya
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 401
- 80
Hii mikoa ni ngome yetu, CDM hawakubaliki kabisa na uzuri ni kuwa hata wao wanalifahamu hili na ndiyo maana huwa hawaendi kwenye ngome hizi, hata ufunguzi wa matawi katika vyuo vilivyo maeneo hayo ni ndoto, ha hii ni over 20% ya kura Tanzania, Tunaingia 2015 tukiwa na mtaji wa kura milioni 5 za wanachama pamoja na asilimia 20% ya mikoa hii, jipangeni kwa 2025.
Walienda kuwapa pole wahanga wa maandamano Arusha.
Wakaenda kuwapa pole wahanga wa North Mara
Jiulize ni kwa nini hawajaenda kuwapa pole wahanga waliobomolewa nyumba na mabanda yao Znz?
Na kwa nini wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka jana waliikwepa sana mikoa hii?.
Mtwara, Lindi, Pwani, Tanga na Zanzibar ni maji marefu.
Walienda kuwapa pole wahanga wa maandamano Arusha.
Wakaenda kuwapa pole wahanga wa North Mara
Jiulize ni kwa nini hawajaenda kuwapa pole wahanga waliobomolewa nyumba na mabanda yao Znz?
Na kwa nini wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka jana waliikwepa sana mikoa hii?.
Mtwara, Lindi, Pwani, Tanga na Zanzibar ni maji marefu.