Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Madini na Nishati wa Brazil, Mhe. Eddison Lobao (kulia) October 5, 2011 kwenye Ofisi za wizara hiyo zilizoko Brasilia. Yuko katika ziara ya kikazi nchini humo.
BRAZIL YAAHIDI KUSAIDIA KUTATUA KABISA TATIZO LA UMEME
BRAZIL imeahidi kuisaidia Tanzania kondokana moja kwa moja na shida ya umeme kwa kutoa teknolojia na uwezo wake chini ya uhusiano na ushirikiano baina ya nchi hizi mbili. Ahadi hiyo ilitolewa jana Jumatano Okt. 5, 2011 na Waziri wa Madini na Nishati wa Brazil, Bw. Edson Lobao katika mazungumzo rasmi ofisini kwake mjini Brasilia, makao makuu ya Serikali ya Brazil, na Waziri Mkuu Mizengo Pinda ambaye anaitembelea nchi hiyo.BARUA HII NI NDEFU JAMANI.NAPENDEKEZA UISOME NA TUICHAMBUE PAMOJA ILI TUJUE UHALISIA WAKE
INAPATIKANA HAPA << ZIARA YA PINDA>>
UKIISOMA,NJOO TUIJADILI PAMOJA