Ziara ya Waziri Makamba nchi zinazozalisha mafuta haijaleta tija kama alivyotangaza

Matusi ya nini? sasa si uhamie Kenya au Zambia? na aliyekudanganya kenya mafuta rahisi nani? au una kariri. Kwa hiyo lini mafuta Tanzania yalikuwa rahisi si uje na facts. Mafuta Tanzania bei kubwa sababu ya sheria za kodi, kodi za Tanzania ni zaidi ya 80% sasa wewe kaa na ndoto kuwa mafuta bei rahisi nje tembea uone acha kusoma magazeti ya vijiweni. Kenya liter moja ni dola moja na vicent ukichange kwetu huku unagonga 2350 huko. unataka mafuta bei rahisi toa kodi unalalamika nini
Wewe dada hebu tulia
 
Wewe dada hebu tulia
Lugha yako tu najuwa wewe mtu waina gani nadhani napoteza muda kuongea na mtu hajui ila kajaa matusi. Na mimi nikiona mtu kapanick najuwa kaishiwa. pole sana hii sio level yako
 
Mbona bei kwenye soko la dunia inazidi kushuka lakini Tz inapanda?

Hapana bei imepanda sana
Hapa kwa mara ya kwanza bei zimefika £1.50 kwa lita na leo hii hapa imepanda na kufika £1.55 (4,650 Tz)

IMG_3393.jpg
 
Mkuu Wakudadavuwa , kwanza asante kwa bandiko zuri lenye kutanguliza mbele maslahi ya taifa, kufuatia ujio wa online media, kila mtu anayejua kusoma na kuandika, anajiona ni mwandishi na anaweza kuandika chochote, kuripoti chochote au kuhoji chochote. Sasa kwa vile mimi ni mwandishi, na huu ndio umri wangu wa kustaafu, nimejitolea, kila ninapokutana na andiko lenye maslahi kwa taifa, hatua ya kwanza ni kumpongeza mwandishi kwa kuleta bandiko la maslahi ya taifa as an ecouragement azidi kuleta mabandiko yenye maslahi kwa taifa na hivi ndio kutumia mitandao ya kijamii kulisaidia taifa na huu ndio uzalendo wa kweli wa mtu kwa taifa lake. Sasa wewe Mkuu Wakudadavuwa, umekuja kiuzalendo zaidi, hii ni dalili njema ya maturity zaidi, keep it up.

Hatua ya pili ni kulifanyia scrutiny kidogo tuu ya kuonyesha strengs na weakness za bandiko husika, hivyo kukupiga darasa to be a better writer, hivyo sasa pokea darasa,

  1. Heading ni tofauti na contents "Ziara ya Waziri Makamba nchi zinazozalisha mafuta haijaleta tija kama alivyotangaza" -hII heading ni wrong heading kwasababu umeweka heading yenye critics ikiwa final and conclusive kuwa ziara ya JM haijaleta tija kama ilivyotangazwa. Tija za ziara haziji hapo hapo, it takes time, its a process, it needs time kabla ya mafanikio kuonekane, sio kama kunywa maji, kiu inakata, tija za ziara ni kama kudungwa ile kitu, baada tuu ya kudungwa leo ile kitu, kesho yake mtoto hazaliwi, it needs time kukaa miezi tisa tumboni, kuna gestation period, kuna first trimester, miezi mitatu ya mwanzo ya kichefuchefu na kutapika, kuna second trimester ya ya miezi 3 ya pili ya viungo kufanyika na a third trimister ya kiumbe kukomaa ndio azaliwe. Wewe anataka JM mara tuu baada ya ile ziara, awe amedunga hapo hapo na kesho yake mtoto zaliwe?. No, tumpe muda!
  2. Content ya para ya kwanza umeweka subject matter, that is good, msomaji anaelewa unazungumzia nini kwa kuweka background na the expected results ya ziara hiyo. Kikawaida kuna short time results, medium term na long term. Haya mafuta yaliyopanda bei yalikuwa procured kabla ya ziara hiyo. Augizaji wa ziara hiyo bado, hajaleta mzigo wake, mzigo ukija, bei lazima itashuka.
  3. JPM alipoingia, akaitaka serikali kufanya manunuzi ya magari ya serikali kutoka viwandani kwa bei ya kiwandani, bila kutumia ma agents ili kupunguza bei, kama UN inavyonunua magari yake. Na ndivyo tulivyonunua ndege. GIPSA wakaenda Japan Toyota, Toyota wakawakubalia watawapoozea bei, lakini kwa vile Tanzania wana Agent, mzigo huo lazima upitie kwa agent hivyo serikali it collect bills of land kwa agent na ni lazima ulipie chochote kitu. Hivyo inawezekana hata kwenye mafuta ni hivyo, kama serikali yetu ilikuwa na bulk supplies rights, halafu tuna freight company yetu, halafu tuna shipping company yetu, halafu tunamiliki oil tanker ships zetu, hilo lingewezekana. Lakini hata tukiagiza direct, kwa vile hatuna kampuni ya ununuzi, lazima tutapitishiwa kwa agent wa ununuzi, hata zile ndege, Watanzania tulielezwa zimenunuliwa kwa bei ya kiwandani, direct, kiukweli zilikuwa ni ndege za Kazakhstan, malipo yamelipwa kupitia agent, cha juu kimewekwa ndio maana hukuweza kusikia tumenunua kwa bei gani na fedha zimelipwa wapi ila sio kiwandani!
  4. Hoja yako ya closing ya bandiko lako, "Je nini kinaendelea?ni kweli kuna makubaliano ya TPDC kununua mafuta moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji?", hii ndiohoja ya msingi na hii ndio ilipaswa kuwa heading yako.
  5. Mwisho. Be very careful wakati wa kufanya critics kwa "people to watch" like JM, huwezi jua kesho atakuwa nani!, akitokea akiwa, utakuwa mgeni wa nani?
Paskali
(Mwalimu wa Uandishi)

Mkuu Paskali , utangulizi wa bandiko lako umenivutia kutaka kujua huyo aliyesifiwa na Mwalimu wa Uandishi, kaandikaje na nini.

Umemsifia, nakunukuu Sasa wewe Mkuu Wakudadavuwa, umekuja kiuzalendo zaidi, hii ni dalili njema ya maturity zaidi, keep it up. Hakika lugha uliyotumia siyo tu inavutia lakini mlengwa atakuwa amefurahishwa sana, tu.

Pasipo kutegemea badala ya kufafanua sifa hiyo kwa huyo mwandishi, kilichofuata ni kumrushia madongo mchana kweupe. Nanukuu maneno uliyotumia heading ni wrong heading kwasababu umeweka heading yenye critics ikiwa final and conclusive kuwa ziara ya JM haijaleta tija kama ilivyotangazwa. Ili kuthibitisha dongo lako hilo unasema Tija za ziara haziji hapo hapo, it takes time, its a process, it needs time kabla ya mafanikio kuonekane, ... na ukatoa mifano kadhaa kukazia dongo hilo.

Haijatosha, ukamrushia mshale mwingine ambao naamini umempata sawasawa. Kwanza unamsifia, nanukuu: Content ya para ya kwanza umeweka subject matter, that is good, msomaji anaelewa unazungumzia nini kwa kuweka background na the expected results ya ziara hiyo. kisha yai visa wamrushia, nanukuu: Kikawaida kuna short time results, medium term na long term. Haya mafuta yaliyopanda bei yalikuwa procured kabla ya ziara hiyo. Augizaji wa ziara hiyo bado, hajaleta mzigo wake, mzigo ukija, bei lazima itashuka. na ukaweka mfano wa ununuzi wa ndege kwenye utawala wa awami ya tano.

Hukuishia hapo kumrushia mwandishi makombora ya uangamizaji, nakunukuu: Be very careful wakati wa kufanya critics kwa "people to watch" na vitisho juu ... like JM, huwezi jua kesho atakuwa nani!, akitokea akiwa, utakuwa mgeni wa nani?

Kwa kweli wewe ni Mwandishi nguri kwa kuona mapungufu ya huyo mwandishi ila dhamira yako ilikuwa ni kutetea hoja yako kuu kuhusu uandishi, nakunukuu: ... kila ninapokutana na andiko lenye maslahi kwa taifa.

Ili kuhitimisha dhamira hiyo ulitaka mwandishi aandike kuhusu, nakunukuu: Je nini kinaendelea?ni kweli kuna makubaliano ya TPDC kununua mafuta moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji? Unashauri Serikali iwe inanunua moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji badala ya kupitia "agents". Kwa mfano wa mafuta unashauri kama serikali yetu ilikuwa na bulk supplies rights, halafu tuna freight company yetu, halafu tuna shipping company yetu, halafu tunamiliki oil tanker ships zetu, hilo lingewezekana.

Mkuu Wakudadavuwa, siyo nia yangu kukutetea bali kueleza WanaJF umuhimu wa kuwa "objective" unaposoma bandiko la mtu kabla ya kujadili maudhui yaliyomo.[/I]
 
Matusi ya nini? sasa si uhamie Kenya au Zambia? na aliyekudanganya kenya mafuta rahisi nani? au una kariri. Kwa hiyo lini mafuta Tanzania yalikuwa rahisi si uje na facts. Mafuta Tanzania bei kubwa sababu ya sheria za kodi, kodi za Tanzania ni zaidi ya 80% sasa wewe kaa na ndoto kuwa mafuta bei rahisi nje tembea uone acha kusoma magazeti ya vijiweni. Kenya liter moja ni dola moja na vicent ukichange kwetu huku unagonga 2350 huko. unataka mafuta bei rahisi toa kodi unalalamika nini
Ahamie Kenya kwa sababu amehoji bei ya mafuta kupanda? Wewe ni hasara na unapaswa kufa kabisa.
So Kenya litre moja ikiwa 2350 unajua kigoma INA tsh ngapi? Unajua maisha ya wengi yanategemea mafuta?
Unachukuliaje litre kuuzwa 2700 kasoro na bado unashauri mtanzania mwenzako anayeihoji serikali yake kuwa ahamie Kenya.
I hate this kind of stupidity....haijalishi una nafasi gani katika jamii ila wewe ni MJINGA.
 
Niliandika sehemu humu na nitautafuta huo uzi mwisho wa siku nikatukanwa kuwa mimi Camel Oil nikasema dua likubaliwe niwe Camel oil. nilisema bei haitashuka wala hakuna kitu kama hicho na leo maneno yangu yametimia.

Bei haipangwi tu hata nyanya sokoni bei hazifanani ni demand and supply. TPDC walijichanganya ku tender bei ndogo imekula kwao hakuna kushuka wala nini mafuta yanaamuliwa bei huko soko la dunia kwa mahitaji hayatolewi kisiasa tutakupa bei hii. Serikali badilishe mfumo wa kuagiza mafuta ilete ushindani.

Acha hizo wewe...Wewe Nwenyewe ni Mpiga dili tunakujua...
Issue ya Mafuta ni Kaa la moto...
Ukiingilia maslahi ya Wa kubwa wanakutoa huhai
Hata hivyo hapa naandika tuu kwa kutetemeka,Bei imepanda kuna “wakuu”Wanafaidi na Wana guvu...Wewe tulia kwani kodi hatulipi? Si utapata kodi kubwaaa
 
Mkuu Wakudadavuwa , kwanza asante kwa bandiko zuri lenye kutanguliza mbele maslahi ya taifa, kufuatia ujio wa online media, kila mtu anayejua kusoma na kuandika, anajiona ni mwandishi na anaweza kuandika chochote, kuripoti chochote au kuhoji chochote. Sasa kwa vile mimi ni mwandishi, na huu ndio umri wangu wa kustaafu, nimejitolea, kila ninapokutana na andiko lenye maslahi kwa taifa, hatua ya kwanza ni kumpongeza mwandishi kwa kuleta bandiko la maslahi ya taifa as an ecouragement azidi kuleta mabandiko yenye maslahi kwa taifa na hivi ndio kutumia mitandao ya kijamii kulisaidia taifa na huu ndio uzalendo wa kweli wa mtu kwa taifa lake. Sasa wewe Mkuu Wakudadavuwa, umekuja kiuzalendo zaidi, hii ni dalili njema ya maturity zaidi, keep it up.

Hatua ya pili ni kulifanyia scrutiny kidogo tuu ya kuonyesha strengs na weakness za bandiko husika, hivyo kukupiga darasa to be a better writer, hivyo sasa pokea darasa,

  1. Heading ni tofauti na contents "Ziara ya Waziri Makamba nchi zinazozalisha mafuta haijaleta tija kama alivyotangaza" -hII heading ni wrong heading kwasababu umeweka heading yenye critics ikiwa final and conclusive kuwa ziara ya JM haijaleta tija kama ilivyotangazwa. Tija za ziara haziji hapo hapo, it takes time, its a process, it needs time kabla ya mafanikio kuonekane, sio kama kunywa maji, kiu inakata, tija za ziara ni kama kudungwa ile kitu, baada tuu ya kudungwa leo ile kitu, kesho yake mtoto hazaliwi, it needs time kukaa miezi tisa tumboni, kuna gestation period, kuna first trimester, miezi mitatu ya mwanzo ya kichefuchefu na kutapika, kuna second trimester ya ya miezi 3 ya pili ya viungo kufanyika na a third trimister ya kiumbe kukomaa ndio azaliwe. Wewe anataka JM mara tuu baada ya ile ziara, awe amedunga hapo hapo na kesho yake mtoto zaliwe?. No, tumpe muda!
  2. Content ya para ya kwanza umeweka subject matter, that is good, msomaji anaelewa unazungumzia nini kwa kuweka background na the expected results ya ziara hiyo. Kikawaida kuna short time results, medium term na long term. Haya mafuta yaliyopanda bei yalikuwa procured kabla ya ziara hiyo. Augizaji wa ziara hiyo bado, hajaleta mzigo wake, mzigo ukija, bei lazima itashuka.
  3. JPM alipoingia, akaitaka serikali kufanya manunuzi ya magari ya serikali kutoka viwandani kwa bei ya kiwandani, bila kutumia ma agents ili kupunguza bei, kama UN inavyonunua magari yake. Na ndivyo tulivyonunua ndege. GIPSA wakaenda Japan Toyota, Toyota wakawakubalia watawapoozea bei, lakini kwa vile Tanzania wana Agent, mzigo huo lazima upitie kwa agent hivyo serikali it collect bills of land kwa agent na ni lazima ulipie chochote kitu. Hivyo inawezekana hata kwenye mafuta ni hivyo, kama serikali yetu ilikuwa na bulk supplies rights, halafu tuna freight company yetu, halafu tuna shipping company yetu, halafu tunamiliki oil tanker ships zetu, hilo lingewezekana. Lakini hata tukiagiza direct, kwa vile hatuna kampuni ya ununuzi, lazima tutapitishiwa kwa agent wa ununuzi, hata zile ndege, Watanzania tulielezwa zimenunuliwa kwa bei ya kiwandani, direct, kiukweli zilikuwa ni ndege za Kazakhstan, malipo yamelipwa kupitia agent, cha juu kimewekwa ndio maana hukuweza kusikia tumenunua kwa bei gani na fedha zimelipwa wapi ila sio kiwandani!
  4. Hoja yako ya closing ya bandiko lako, "Je nini kinaendelea?ni kweli kuna makubaliano ya TPDC kununua mafuta moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji?", hii ndiohoja ya msingi na hii ndio ilipaswa kuwa heading yako.
  5. Mwisho. Be very careful wakati wa kufanya critics kwa "people to watch" like JM, huwezi jua kesho atakuwa nani!, akitokea akiwa, utakuwa mgeni wa nani?
Paskali
(Mwalimu wa Uandishi)
Mayalla,ukitaka kuwa mwalimu, hasa wa lugha basi andika kama mwalimu. Nilipokuwa najifunza Kingereza mwalimu wangu aliniambia kama unaweza kuandika kitu kikaeleweka kwa sentensi moja, usitumie para yenye sentensi tano au sita. Nawe pia hii critique yako ya uandishi wa mhusika ingeweza ikaandikwa kwa para moja tu, lakini umetumia muda mwingi na maneno mengi kuelezea kinachoweza kuelezeka kwa para moja au mbili zenye sentesi tatu tu.
 
Kadanganye wajinga wenzako
Nadhani tunabishana kwa sababu ya kubishana. Mwandishi katoa data za ukweli, kuwa pipa la mafuta sasa hivi liko kwenye $70+. Kama anadanganya tuambie basi bei sasa hivi ni kiasi gani. Tatizo la bei ya mafuta TZ siyo sensitive to world oil prices. Kwa hiyo bei ya dunia ikishuka yetu haishuki, lakini ikipanda tu tunapandisha.
 
Duh
Ahamie Kenya kwa sababu amehoji bei ya mafuta kupanda? Wewe ni hasara na unapaswa kufa kabisa.
So Kenya litre moja ikiwa 2350 unajua kigoma INA tsh ngapi? Unajua maisha ya wengi yanategemea mafuta?
Unachukuliaje litre kuuzwa 2700 kasoro na bado unashauri mtanzania mwenzako anayeihoji serikali yake kuwa ahamie Kenya.
I hate this kind of stupidity....haijalishi una nafasi gani katika jamii ila wewe ni MJINGA.
 
Mayalla,ukitaka kuwa mwalimu, hasa wa lugha basi andika kama mwalimu. Nilipokuwa najifunza Kingereza mwalimu wangu aliniambia kama unaweza kuandika kitu kikaeleweka kwa sentensi moja, usitumie para yenye sentensi tano au sita. Nawe pia hii critique yako ya uandishi wa mhusika ingeweza ikaandikwa kwa para moja tu, lakini umetumia muda mwingi na maneno mengi kuelezea kinachoweza kuelezeka kwa para moja au mbili zenye sentesi tatu tu.
Mkuu ksk , kwanza asante kwa ushauri, na kwa vile nimepania kuwa mwalimu, ushauri wako nitauzingatia sana.
Kwa kifupi nature yangu ni story teller, zamani ukiwa story teller ukasimulia story ndefu kama zile za Alfu Lela Ulela, wewe ndio ulionekana bingwa, lakini sasa, kwenye enzi hizi za kidigitaly watu wanataka vitu short and clear, ndio maana mimi twitter inanipa tabu sana. Nitajitahidi kubadilika kwenda na wakati uliopo.
Asante tena.

P
 
Mkuu ksk , kwanza asante kwa ushauri, na kwa vile nimepania kuwa mwalimu, ushauri wako nitauzingatia sana.
Kwa kifupi nature yangu ni story teller, zamani ukiwa story teller ukasimulia story ndefu kama zile za Alfu Lela Ulela, wewe ndio ulionekana bingwa, lakini sasa, kwenye enzi hizi za kidigitaly watu wanataka vitu short and clear, ndio maana mimi twitter inanipa tabu sana. Nitajitahidi kubadilika kwenda na wakati uliopo.
Asante tena.

P
Heshima kwako kwa kuona na kukubali udhaifu wa uandishi wako
 
Back
Top Bottom