John Manoni
Senior Member
- Sep 5, 2020
- 156
- 114
Akhh,hao sio mabeberu?Bavicha watakuelewa kweli?
Akhh,hao sio mabeberu?Bavicha watakuelewa kweli?
Unadhani kuwaita watu Mabeberu kila kukicha ni Diplomasia. Ukakasi wowote wa mahusiano unaotokea / utakaotokea ni kukosa hekima / busara kwa viongozi wenyewe.
Pia kumbuka kwenye mambo ya biashara ni Quid Pro Quo, hata ukiwatukana watu in the end kama they have more to gain (dollarwise) who cares, ila wale ambao bottom line sio kutengeneza faida bali walfare ya watu duniani (utawapoteza)