Ziara ya Waziri Kabudi yazaa matunda. Ni dhahiri Tanzania ina uhusiano mzuri na mataifa ya nje

Zile tetesi kuwa Tanzania ina mahusiano mabaya na nchi za magharibi zimeonekana sio za kweli. Maana ziara aliyofanya waziri kabudi imezaa matunda.

Ziara hii pia imechochea kuanza kwa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta toka Hoima Uganda hadi Tanga nchini Tanzania.

Mradi ambao utazalisha ajira 4700 na kulipatia taifa la Tanzania mapato makubwa yatayotokana na kusafirisha mafuta kupitia bomba hilo.

Pia kampuni ya Total itajenga viwanda vya kusafishia Petrol . Mbali na haya waziri kabudi alionana na jumuia ya wafanya biashara ya Ufaransa-Medef. Alikutana pia na wadau wa utalii ambao watakuja kuwekeza hapa nchini.

Hivyo ni wazi kuwa Taifa letu bado lina mahusiano mazuri ya kidiplomasia tofauti na walivyodai baadhi ya wadau wa siasa hapa nchini.
Hakuna wakati wizara ya mambo ya nje imekuwa hovyo kama awamu hii na ni kwa sababu ya ushamba wa mtu mmoja.
 
Zile tetesi kuwa Tanzania ina mahusiano mabaya na nchi za magharibi zimeonekana sio za kweli. Maana ziara aliyofanya waziri kabudi imezaa matunda.

Ziara hii pia imechochea kuanza kwa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta toka Hoima Uganda hadi Tanga nchini Tanzania.

Mradi ambao utazalisha ajira 4700 na kulipatia taifa la Tanzania mapato makubwa yatayotokana na kusafirisha mafuta kupitia bomba hilo.

Pia kampuni ya Total itajenga viwanda vya kusafishia Petrol . Mbali na haya waziri kabudi alionana na jumuia ya wafanya biashara ya Ufaransa-Medef. Alikutana pia na wadau wa utalii ambao watakuja kuwekeza hapa nchini.

Hivyo ni wazi kuwa Taifa letu bado lina mahusiano mazuri ya kidiplomasia tofauti na walivyodai baadhi ya wadau wa siasa hapa nchini.
Zile mbwembwe za Magufuli na Museveni mwenye Mradi huo za miaka 5 iliyopita hazijaweza kuanzisha ujenzi wa hilo Bomba, eti Kabudi na macho yale ya kutisha na Changamoto ya kupumua, Wafaransa wakampenda na kukubali kumpa matrilioni kujenga Mradi wa nchi nyingine. Mwambie Magufuli na CCM ujinga huo!
 
Zile mbwembwe za Magufuli na Museveni mwenye Mradi huo za miaka 5 iliyopita hazijaweza kuanzisha ujenzi wa hilo Bomba, eti Kabudi na macho yale ya kutisha na Changamoto ya kupumua, Wafaransa wakampenda na kukubali kumpa matrilioni kujenga Mradi wa nchi nyingine. Mwambie Magufuli na CCM ujinga huo!
Uliishia darasa la ngapi?
 
Hilo bomba ni mchocheo tu kila mwaka, mwisho wa siku litapitia Kenya huko tubaki na makaratasi yasio na maana.
Mkuu kuni mbichi bado, tuendelee kupepea na michochea huenda mchocheo utajibu! 😂 😂
Tutazindua huu mradi mpaka mitano iishe.

Everyday is Saturday................................:cool:
 
Kabud Hana mammals yeyote Yale K
Zile tetesi kuwa Tanzania ina mahusiano mabaya na nchi za magharibi zimeonekana sio za kweli. Maana ziara aliyofanya waziri kabudi imezaa matunda.

Ziara hii pia imechochea kuanza kwa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta toka Hoima Uganda hadi Tanga nchini Tanzania.

Mradi ambao utazalisha ajira 4700 na kulipatia taifa la Tanzania mapato makubwa yatayotokana na kusafirisha mafuta kupitia bomba hilo.

Pia kampuni ya Total itajenga viwanda vya kusafishia Petrol . Mbali na haya waziri kabudi alionana na jumuia ya wafanya biashara ya Ufaransa-Medef. Alikutana pia na wadau wa utalii ambao watakuja kuwekeza hapa nchini.
Zile tetesi kuwa Tanzania ina mahusiano mabaya na nchi za magharibi zimeonekana sio za kweli. Maana ziara aliyofanya waziri kabudi imezaa matunda.

Ziara hii pia imechochea kuanza kwa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta toka Hoima Uganda hadi Tanga nchini Tanzania.

Mradi ambao utazalisha ajira 4700 na kulipatia taifa la Tanzania mapato makubwa yatayotokana na kusafirisha mafuta kupitia bomba hilo.

Pia kampuni ya Total itajenga viwanda vya kusafishia Petrol . Mbali na haya waziri kabudi alionana na jumuia ya wafanya biashara ya Ufaransa-Medef. Alikutana pia na wadau wa utalii ambao watakuja kuwekeza hapa nchini.

Hivyo ni wazi kuwa Taifa letu bado lina mahusiano mazuri ya kidiplomasia tofauti na walivyodai baadhi ya wadau wa siasa hapa nchini.

Hivyo ni wazi kuwa Taifa letu bado lina mahusiano mazuri ya kidiplomasia tofauti na walivyodai baadhi ya wadau wa siasa hapa nchini.
Mpiga zumari wa Lumumba, Kabudi ni msemaji wa serikali ya Uganda . Je unajua chanzo cha ucheleweshaji wa hili bomba?
 
Zile tetesi kuwa Tanzania ina mahusiano mabaya na nchi za magharibi zimeonekana sio za kweli. Maana ziara aliyofanya waziri kabudi imezaa matunda.

Ziara hii pia imechochea kuanza kwa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta toka Hoima Uganda hadi Tanga nchini Tanzania.

Mradi ambao utazalisha ajira 4700 na kulipatia taifa la Tanzania mapato makubwa yatayotokana na kusafirisha mafuta kupitia bomba hilo.

Pia kampuni ya Total itajenga viwanda vya kusafishia Petrol . Mbali na haya waziri kabudi alionana na jumuia ya wafanya biashara ya Ufaransa-Medef. Alikutana pia na wadau wa utalii ambao watakuja kuwekeza hapa nchini.

Hivyo ni wazi kuwa Taifa letu bado lina mahusiano mazuri ya kidiplomasia tofauti na walivyodai baadhi ya wadau wa siasa hapa nchini.
Baniani mbaya kiatu chake dawa.
 
Kabud Hana mammals yeyote Yale K

Mpiga zumari wa Lumumba, Kabudi ni msemaji wa serikali ya Uganda . Je unajua chanzo cha ucheleweshaji wa hili bomba?
Endelea kufikiri kwa kutumia makalio
 
Taarifa hii kwa kina iko wapi?

Maana tunavyojua sisi 'vibaraka wa mabeberu' ni kuwa bomba ni mali ya uganda na kuwa tutakachohusika nacho sisi ni tozo ya kuyapitisha hayo mafuta ardhi ya tz kama tuwatozavyo Rwanda malori yao. Sasa mazungumzo yapi tena wakati Museveni ndo' mwenye mradi?
Kutushirikisha ni muhimu maana sehemu kubwa ya hilo bomba inapita kwenye ardhi yetu,
 
Zile tetesi kuwa Tanzania ina mahusiano mabaya na nchi za magharibi zimeonekana sio za kweli. Maana ziara aliyofanya waziri kabudi imezaa matunda.

Ziara hii pia imechochea kuanza kwa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta toka Hoima Uganda hadi Tanga nchini Tanzania.

Mradi ambao utazalisha ajira 4700 na kulipatia taifa la Tanzania mapato makubwa yatayotokana na kusafirisha mafuta kupitia bomba hilo.

Pia kampuni ya Total itajenga viwanda vya kusafishia Petrol . Mbali na haya waziri kabudi alionana na jumuia ya wafanya biashara ya Ufaransa-Medef. Alikutana pia na wadau wa utalii ambao watakuja kuwekeza hapa nchini.

Hivyo ni wazi kuwa Taifa letu bado lina mahusiano mazuri ya kidiplomasia tofauti na walivyodai baadhi ya wadau wa siasa hapa nchini.
Yakokoyo
 
Back
Top Bottom