Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,020
- 2,728
Kwa sasa sioni kitu kipya kutoka kwake, anaishi Ulaya hataki kurudi nyumbani, anasubiri tu uchaguzi ukifika ndiyo aje kutafuta hela na kuhamasisha vijana kufanya vurugu. Wengine wanapata vilema na kuozea jela baada ya uchaguzi.
Yeye anatafuna kashata Ubelgiji watoto wake wakiwa Marekani wanakula bata, mimi na wewe kutoka huko Mgeta Nanyumbu na Kazula Mimba tunatoleana macho.
Niko hapa, Lissu hana dhamira yeyote njema na nchi yetu, amejificha mbali anasubili madili ya uchaguzi.
Yeye anatafuna kashata Ubelgiji watoto wake wakiwa Marekani wanakula bata, mimi na wewe kutoka huko Mgeta Nanyumbu na Kazula Mimba tunatoleana macho.
Niko hapa, Lissu hana dhamira yeyote njema na nchi yetu, amejificha mbali anasubili madili ya uchaguzi.