Anachofanya DR slaa kwa sasa ni kitu kinachoacha maswali mengi zaidi ya majibu,kamati kuu imemvua nyadhifa Mh Zuberi Zitto Kabwe na imempa siku 14 za kujieleza kwa nini asifukuzwe uanachama,kabla ya yeye ajajieleza tayari kuna viashiria na maneno kutoka kwa Slaa na Lisu ya nini kitatokea,huu si ustaarabu inaonekana ya kwamba tayari majamaa yameshaandaa nini cha kufanya na kilichopo ni mchakato tu ili ionekane taratibu zimefuatwa lakini siku zote haki inapiganiwa.
Sasa kuna ili la ziara za Mh Slaa kigoma,ikumbukwe Mh Zitto tayari alikuwa na ziara za kuimarisha chama kwenye ngazi ya kanda akianzia na mkoa wa katavi, tabora, shinyanga, geita na kigoma. Alikatisha ziara akaja Dar kuhudhuria kikao cha PAC,baadae aliendelea na mkoa wa shinyanga akakatisha tena ili aende uswisi kufuatilia mabilioni na pia kuhudhuria kongamano baadae wakati anapanga ziara ya Kigoma mambo ya chama yakamkuta,ila ziara yake kigoma ilikuwepo palepale kwani pia yeye ni mbunge. Slaa yeye ameenda kigoma kuimarisha chama au kumbomoa zitto? Ziara yake aliipanga lini? Je na Zitto akiendelea na ratiba yake Slaa na Lissu watasemaje?
Pengine wana chadema mnaweza msilione hili,Uwezi kumjerui Zitto chama kikabaki salama,huyu anao watu wengi walio nyuma yake,siasa za kiafidhina ndizo zinazotaka kuumba tabaka la sisi ndio bora na wenye mawazo sahihi tu,wengine na walio tofauti na sisi ni wasaliti.Pengine inawazekana ikawa ni mambo binafsi ya viongozi wetu kama uzinzi kushindwa kuongoza familia na mengineyo ila na wao si safi,mara ngapi wmekisaliti chama?
Mimi nasema ziara ya Slaa kipindi hiki Kigoma aina maslai kwa chama,kama ilikuwa na dhamira nzuri angemshirikisha Zitto,Yeye ni mbunge na ametoka eneo hilo,Pia anao ushawishi mkubwa sana kwa wakazi wa Kigoma
Sasa kuna ili la ziara za Mh Slaa kigoma,ikumbukwe Mh Zitto tayari alikuwa na ziara za kuimarisha chama kwenye ngazi ya kanda akianzia na mkoa wa katavi, tabora, shinyanga, geita na kigoma. Alikatisha ziara akaja Dar kuhudhuria kikao cha PAC,baadae aliendelea na mkoa wa shinyanga akakatisha tena ili aende uswisi kufuatilia mabilioni na pia kuhudhuria kongamano baadae wakati anapanga ziara ya Kigoma mambo ya chama yakamkuta,ila ziara yake kigoma ilikuwepo palepale kwani pia yeye ni mbunge. Slaa yeye ameenda kigoma kuimarisha chama au kumbomoa zitto? Ziara yake aliipanga lini? Je na Zitto akiendelea na ratiba yake Slaa na Lissu watasemaje?
Pengine wana chadema mnaweza msilione hili,Uwezi kumjerui Zitto chama kikabaki salama,huyu anao watu wengi walio nyuma yake,siasa za kiafidhina ndizo zinazotaka kuumba tabaka la sisi ndio bora na wenye mawazo sahihi tu,wengine na walio tofauti na sisi ni wasaliti.Pengine inawazekana ikawa ni mambo binafsi ya viongozi wetu kama uzinzi kushindwa kuongoza familia na mengineyo ila na wao si safi,mara ngapi wmekisaliti chama?
Mimi nasema ziara ya Slaa kipindi hiki Kigoma aina maslai kwa chama,kama ilikuwa na dhamira nzuri angemshirikisha Zitto,Yeye ni mbunge na ametoka eneo hilo,Pia anao ushawishi mkubwa sana kwa wakazi wa Kigoma