Ziara ya RC Makala Dar es Salaam tunajifunza nini?

igogondwa

JF-Expert Member
Aug 1, 2021
2,590
3,346
Nafuatilia hii ziara kupitia Clouds TV, leo RC Makalla yuko live kutoka Mnazi Mmoja Dar. Kiukweli wananchi wengi wanaoongea hapa wana kero za msingi sana, lakini ukiangalia kwa umakini utadhani hii nchi huko chini hakuna viongozi.

Yaani kwa mambo anayoelezwa RC utadhani hakuna DC, DED, WEO, wenyeviti wa mitaa na ofisi mbalimbali.
 
Nafuatilia hii ziara kupitia Clouds TV, leo RC Makalla yuko live kutoka Mnazi Mmoja Dar. Kiukweli wananchi wengi wanaoongea hapa wana kero za msingi sana, lakini ukiangalia kwa umakini utadhani hii nchi huko chini hakuna viongozi, yaani kwa mambo anayoelezwa RC utadhani hakuna DC, DED, WEO, wenyeviti wa mitaa na ofisi mbalimbali...
Yapi sasa mkuu Igogondwa? Sio wote tunaofatilia hiyo ziara. Kwani anasemaje ili na sisi tujue?
 
Nafuatilia hii ziara kupitia Clouds TV, leo RC Makalla yuko live kutoka Mnazi Mmoja Dar. Kiukweli wananchi wengi wanaoongea hapa wana kero za msingi sana, lakini ukiangalia kwa umakini utadhani hii nchi huko chini hakuna viongozi, yaani kwa mambo anayoelezwa RC utadhani hakuna DC, DED, WEO, wenyeviti wa mitaa na ofisi mbalimbali...
Niliangalia nikiwa mgahawani nakula.
Nilichogundua ni kwamba Prof. M. Assad yupo sahihi kusema asilimia 68 ya watendaji wa serikalini na taasisi zake hawana uwezo.
Yaani sijui Watanzania wenye nafasi za uongozi wanafanya nini!
Hii inchi inatakiwa "meza ipinduliwe" tuanze upya.
 
Nafuatilia hii ziara kupitia Clouds TV, leo RC Makalla yuko live kutoka Mnazi Mmoja Dar. Kiukweli wananchi wengi wanaoongea hapa wana kero za msingi sana, lakini ukiangalia kwa umakini utadhani hii nchi huko chini hakuna viongozi, yaani kwa mambo anayoelezwa RC utadhani hakuna DC, DED, WEO, wenyeviti wa mitaa na ofisi mbalimbali...
Utawala wa mgawanyo wa madaraka ulichinjiwa baharini na kayafa haya ndio matokeo yake
 
Utawala wa mgawanyo wa madaraka ulichinjiwa baharini na kayafa haya ndio matokeo yake
Kuna lawama nyingine anapewa Rais wa nchi kumbe utatuzi wake ungeweza kuishia ngazi ya kata tu, yaani hata Wilayani zisifike

Awamu iliyopita ilikua inamjenga Rais (or rather alijijenga) kua kama Amir Jeshi Mkuu, Msemaji Mkuu, Karani Mkuu wa Nchi, Katibu Mkuu Kiongozi, Waziri Mkuu, Waziri wa Wizara zote, Mkuu na Mfalme

Upo sahihi kabisa mkuu
 
Amevaa barakao?? au kashasau kama yeye alisema barakoa ni lazima
 
Yapi sasa mkuu Igogondwa? Sio wote tunaofatilia hiyo ziara. Kwani anasemaje ili na sisi tujue?
Anatembelea wilaya mbalimbali na timu nzima ya wataalamu kama alivyowahi kufanya Makonda. Leo walikuwa pale viwanja vya mnazi mmoja ambapo wananchi wenye kero sugu walikuwa wanapewa nafasi kutoka mbele na kueleza shida zao. Mfano watu wengi wenye migogoro sugu ya ardhi/viwanja, migogoro ya mirathi, kudhulumiana, kesi mahakani, dhuluma polisi/Idara za serikali /watendaji wa kata & mitaa /, uvamizi wa maeneo ya wazi/shule etc... Kwa muda nilifuatilia kiukweli nimegundua wananchi wanaonewa sana, kuna dhuluma nyingi sana. Kuna mama mmoja huko sijui karibia na Wazo hill wana kiwanja chao wameambiwa since 1980's wasikiendeleze hicho kiwanda kwani serikali ina mpango wa kujenga reli eti kutoka huko Wazo hill kuja mpaka Tazara. RC akamuita kamishna wa ardhi (alikuwepo mkutanoni) atoe maelezo, naye akasema ni kweli mpango huo ulikuwepo lakini hajui status yake mpaka akawaulize shirika la Reli. Imagine umemzuia mtu kujenga for nearly 40 years kwa kitu ambacho wala hawana uhakika nacho...
 
Niliangalia nikiwa mgahawani nakula.
Nilichogundua ni kwamba Prof. M. Assad yupo sahihi kusema asilimia 68 ya watendaji wa serikalini na taasisi zake hawana uwezo.
Yaani sijui Watanzania wenye nafasi za uongozi wanafanya nini!
Hii inchi inatakiwa "meza ipinduliwe" tuanze upya.
Kabisa mkuu...
 
Utawala wa mgawanyo wa madaraka ulichinjiwa baharini na kayafa haya ndio matokeo yake
Ni kweli kabisa maana almost 95% ya issues raised wala hazikumhitaji RC ni za wasaidizi wake. Mzee mmoja ameniacha hoi kwa kusema kwa nini serikali inatania kuhusu tahadhari dhidi ya corona? Kwa nini police hawataki kukamata ambao hawavai barakoa? Akatoa mfano kila siku Bus zima ni yeye pekee anayevaa barakoa
 
Niliangalia nikiwa mgahawani nakula.
Nilichogundua ni kwamba Prof. M. Assad yupo sahihi kusema asilimia 68 ya watendaji wa serikalini na taasisi zake hawana uwezo.
Yaani sijui Watanzania wenye nafasi za uongozi wanafanya nini!
Hii inchi inatakiwa "meza ipinduliwe" tuanze upya.
si mnaajiri waliofaulu zaidi mitihani

wanaosema mtaani kuna shule nyingine kabisa,sijui kama huwa mnawaelewa.
 
Back
Top Bottom