Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,512
- 6,856
Jamani wahenga naomba nifahamishwe kama kuna rais yeyote wa Tanzania aliwahi kufanya ziara huko north Korea na kama bado kwa nini hawakutaka kwenda huko
Mkuu ile nchi inajitemegemea kwa kila kitu. Inawezekana demokrasia ni changamoto lakini hadithi kwamba kuna njaa ni propaganda za mataifa ya magharibiNK kumejaa njaa tu labda kama unataka nuclear ya bei rahisi
Nyerere alienda, kuna hotuba yake anatoa mfano wa trekta kilikwenda reverse badala ya mbeleJamani wahenga naomba nifahamishwe kama kuna rais yeyote wa Tanzania aliwahi kufanya ziara huko north Korea na kama bado kwa nini hawakutaka kwenda huko
Njaa ipo kama yoteeMkuu ile nchi inajitemegemea kwa kila kitu. Inawezekana demokrasia ni changamoto lakini hadithi kwamba kuna njaa ni propaganda za mataifa ya magharibi
Ulishawahi kufika huko ukashuhudia hiyo njaaNjaa ipo kama yotee
Wewe ulishawahi kufika inashuhudia hakuna njaa?Ulishawahi kufika huko ukashuhudia hiyo njaa
Njaa ipo kama yotee
Ulishawahi kufika huko ukashuhudia hiyo njaa
Wewe ulishawahi kufika inashuhudia hakuna njaa?
Njaa ipo kama yotee
Jamani wahenga naomba nifahamishwe kama kuna rais yeyote wa Tanzania aliwahi kufanya ziara huko north Korea na kama bado kwa nini hawakutaka kwenda huko
Sijawahi na ndiyo mana nikakuuliza wewe ulishawahi kufika ukashuhudia hiyo njaa?Wewe ulishawahi kufika inashuhudia hakuna njaa?
Sijawahi na ndiyo mana nikakuuliza wewe ulishawahi kufika ukashuhudia hiyo njaa?Wewe ulishawahi kufika inashuhudia hakuna njaa?
Nchi unayo sema ww ina njaa imeweza kutengeneza zana hatari za kivita na wapo vizuri kwenye Technologia kukushinda nyie mlioshiba na bado mskini wa kupupwaNjaa ipo kama yotee
Labda wewe ndo maskini wa kutupwa, kwanza silaha zinaliwa? Raia wa huko wanakimbia kila siku halafu useme kuna cha maana. Pamoja na hayo na sisi ni nchi ya viwonder, kingine kimezinduliwa jana.Nchi unayo sema ww ina njaa imeweza kutengeneza zana hatari za kivita na wapo vizuri kwenye Technologia kukushinda nyie mlioshiba na bado mskini wa kupupwa
NimewahiSijawahi na ndiyo mana nikakuuliza wewe ulishawahi kufika ukashuhudia hiyo njaa?
SawaNimewahi
Mkuu, Acha kabisa kusema kitu usichofahamu, nimepata bahati ya kukaa North Korea mwezi mmoja, hiyo njaa unayosema inaanzia wapi kuingia huko ? Viongozi wa North Korea wote wana tabia moja, sheria na kanuni zinaheshiwa, mkiaambiwa leo kulala ni saa 2 kamili jioni, ni lazima muda huo raia wote mlale, yaani ni Udicteta wa Kimocasia. Mnafanyiwa ukatili, lakini maisha mazuri kwa hiyo inakuwa sehemu ya maisha yenu. Ni sawa na kumchemsha chura kwa kuanza kumweka kwenye maji ya baridi, halafu ukaanza kuchemsha taratibu.NK kumejaa njaa tu labda kama unataka nuclear ya bei rahisi