Ziara ya Rais Samia nchini Marekani, wapinzani wakichezesha vizuri karata zao za diplomasia itasaidia sana kurejesha Demokrasia

Kwa tqarifa yako wewe huwezi kumuamulia mpinzani wako atumie utaratibu gani kudai haki yake. Tangu lini wakwa ndugu zenu?
Always nasema siasa ikichukuliwa kishabiki Kama Simba au yanga NI vigumu Sana kufikiri katika logic. Logic hapa ama NI kutafuta suluhu au kuionesha dunia pamoja na yote mnayopitia bado mnania ya kutafuta suluhu kwa njia ya diplomasia.
 
Wapinzani wameomba mpaka kukutana na rais, je huko ni kuleta mpasuko? Ni mara ngapi wapinzani wametaka maridhiano? Kwanini unataka wapinzani waonyeshe kujinyenyekeza tu huku wakifanyiwa huu uhuni tunaouona? Au umeandika ili na ww uonekane unajua tu kuandika kiswahili fasaha?
Mkuu unahangaika na Mushumbushi !
 
Democrasia gani mnayoitaka zaidi ya ile ya Mdude kusema atamnyoa mama yetu kama alivyo mnyoa JPM na hadi Leo yupo uraiani anadunda
 
Mimi na swali ziara za mama zote huwa tunaona mpaka anapanda ndege ila hii ya USA hakuna hata picha moja kumuona Mama anaaga kama mazoea au kachukuwa airbus hataki watu wapige kelele. Mimi sina shida na safari Rais ni jukumu lake kwenda kuhudhuria mikutano ya kimataifa wala sio issue kuna watu wanataka kufananisha na JPM mbona alikuwa hasafiri hapo sio sawa hata JPM alisemwa kwanini asafiri. Kusafiri ni hobby kuna watu wanapenda safari na kuna watu hawapendi kawaida sana shida kwanini leo hii mama anaenda ziara kubwa kama hii USA hakuna hata picha moja akipanda ndege wanaficha nini? Nahisi kabeba Airbus litaenda ku pack kule na kulipa ground charges, na sijui kaondoka na ujumbe gani ziara utasema mtu kafumaniwa kimya kimyaa bila mbwembwe za picha za Mama yetu.
 
Mimi na swali ziara za mama zote huwa tunaona mpaka anapanda ndege ila hii ya USA hakuna hata picha moja kumuona Mama anaaga kama mazoea au kachukuwa airbus hataki watu wapige kelele. Mimi sina shida na safari Rais ni jukumu lake kwenda kuhudhuria mikutano ya kimataifa wala sio issue kuna watu wanataka kufananisha na JPM mbona alikuwa hasafiri hapo sio sawa hata JPM alisemwa kwanini asafiri. Kusafiri ni hobby kuna watu wanapenda safari na kuna watu hawapendi kawaida sana shida kwanini leo hii mama anaenda ziara kubwa kama hii USA hakuna hata picha moja akipanda ndege wanaficha nini? Nahisi kabeba Airbus litaenda ku pack kule na kulipa ground charges, na sijui kaondoka na ujumbe gani ziara utasema mtu kafumaniwa kimya kimyaa bila mbwembwe za picha za Mama yetu.
Ana mengi ya kuhutubia na hasa kuhusu Ugaidi wa Tanzania.
 
Najua mfumo tulionao umewaumiza Sana na kuwatupa nje ya keki ya taifa. Hivyo hawaumii tu Kama sisi raia wa kawaida Ila wao uumia Mara mbili.

Shida wapinzani wanaamua Mambo kwa hasira na kushindana. Raisi anaenda Marekani kwenye mkutano. Na Kama mjuavyo washauri wake ambao naamini NI wacomunisti hawakutaka Hilo litokee. Sababu wanajua watakaa na kujadili vitu mbalimbali vya kiuongozi na Democrasia na wanadiplomasia wa kimagharibi na anaweza akaja na mtazamo mpya.

Kama wapinzani wangekuwa na Ajenda zao wangewatumia wanadiplomasia wa Magharibi kumshawishi mama kubadili mitazamo yake na sio kushinikiza asisikilizwe kabisa. Lazma mama aseme anachoamini na wao watoe mawazo.

Pia kupitia ziara hiyo watanzania wakimbizi wa kisiasa wangeomba kukutana na mama Marekani huko huko na kubadilishana mawazo kwa utulivu.

Hatua za kuchochea kutopokelewa au kupuuzwa mama NI za kimihemko na hazina tija. Kama taifa tunanafasi ya kushinikiza maridhiano na sio mpasuko wa kisiasa na ata hao wazungu kuona Wapinzani hamjapevuka kisiasa na hamtoshi kutawala kwani mnaongozwa na hasira na visasi na si logic kusolve politics problem.
Naona umeandika jambo usilolijua, haujui Rais amekwenda wapi! Kabla ya kuandika ni bora ungewauliza jirani zako mama kaenda wapi.
 
Ana mengi ya kuhutubia na hasa kuhusu Ugaidi wa Tanzania.
Unajuwa wa Tanzania tulivyo, ukisema urudi Bongo kutembea ukifika tu utasikia wanakuja unajuwa mwanangu anaidaiwa ada ya shule, unajuwa mtaji tu, unajuwa kodi inaisha unajuwa nataka kuowa, unajuwa na bawasir muhimu wakamue unajiuliza ina maana nisingekuja ada angelipa nani? Na sisi kama nchi kwa level nyingine unajuwa Covid imeharibu sana, unajuwa ugaidi unaanza please misaada tupambane lakini nafsi zote tunajuwa hayo wala sio muhimu kichaka cha kupiga pesa za misaada.
 
Nyie jamaa zetu, mnataka nini? Mangi wenu yuko mqhakamani na analetwa na kesi inaendelea na mnaingia na makamera hadi kizimbani, jamaa yenu hata pingu hafungwi mnataka demokrasia gani? Ndio maana napendaga utawala wa talebani unakula shaba watu wanaendelea na mambo mengine
 
Huyo jamaa yenu aliyeko huko Belgium kwa watalebani wengine si angeenda kutoa salamu US. Yupo tu anatafuna mbawa za kuku tu ,kiongozi makini kabisa mkimbizi wa chama cha upinzani.
Nazani muda walikuwa nao na wamefanya lililowezekana Ila Kama walilala basi
 
Najua mfumo tulionao umewaumiza Sana na kuwatupa nje ya keki ya taifa. Hivyo hawaumii tu Kama sisi raia wa kawaida Ila wao uumia Mara mbili.

Shida wapinzani wanaamua Mambo kwa hasira na kushindana. Raisi anaenda Marekani kwenye mkutano. Na Kama mjuavyo washauri wake ambao naamini NI wacomunisti hawakutaka Hilo litokee. Sababu wanajua watakaa na kujadili vitu mbalimbali vya kiuongozi na Democrasia na wanadiplomasia wa kimagharibi na anaweza akaja na mtazamo mpya.

Kama wapinzani wangekuwa na Ajenda zao wangewatumia wanadiplomasia wa Magharibi kumshawishi mama kubadili mitazamo yake na sio kushinikiza asisikilizwe kabisa. Lazma mama aseme anachoamini na wao watoe mawazo.

Pia kupitia ziara hiyo watanzania wakimbizi wa kisiasa wangeomba kukutana na mama Marekani huko huko na kubadilishana mawazo kwa utulivu.

Hatua za kuchochea kutopokelewa au kupuuzwa mama NI za kimihemko na hazina tija. Kama taifa tunanafasi ya kushinikiza maridhiano na sio mpasuko wa kisiasa na ata hao wazungu kuona Wapinzani hamjapevuka kisiasa na hamtoshi kutawala kwani mnaongozwa na hasira na visasi na si logic kusolve politics problem.
Kwa machadema demokrasia ni uhuru wa kufisidi nchi. Uhuru wa mtu kuuza na kununua haki ndio demokrasia yao.
 
Kwa machadema demokrasia ni uhuru wa kufisidi nchi. Uhuru wa mtu kuuza na kununua haki ndio demokrasia yao.
Changia hoja kwa msingi wa hoja zenye tija na mifano hai sio kishabiki. Maoni mazuri NI muhimu kwenye kujenga taifa Bora na chuki hazijengi
 
Nyie jamaa zetu, mnataka nini? Mangi wenu yuko mqhakamani na analetwa na kesi inaendelea na mnaingia na makamera hadi kizimbani, jamaa yenu hata pingu hafungwi mnataka demokrasia gani? Ndio maana napendaga utawala wa talebani unakula shaba watu wanaendelea na mambo mengine
Pingu IPO kumzuia mtuhumiwa asitoroke sio kumuadhibu mtuhumiwa. Sasa Kama mazingira NI salama Pingu za Nini Sasa.
 
Wapinzani wameomba mpaka kukutana na rais, je huko ni kuleta mpasuko? Ni mara ngapi wapinzani wametaka maridhiano? Kwanini unataka wapinzani waonyeshe kujinyenyekeza tu huku wakifanyiwa huu uhuni tunaouona? Au umeandika ili na ww uonekane unajua tu kuandika kiswahili fasaha?
Kabla hata hawajakutana, na nchi ikiwa kwenye taharuki kubwa kutokana na kifo cha Rais akiwa madarakani kwa mara ya kwanza ndani ya nchi hii, wapinzani hao wakaanza movement ya katiba nchi nzima!!!! Yaani hata 40 ilikuwa haijapita, at that time hata Samia mwenyewe alikuwa yupo kwenye taharuki! Mlishindwa nini kusubiri ule upepo wa msiba uishe ndipo muanze moves zenu?
 
Back
Top Bottom