Ziara ya Rais Samia nchini Marekani, wapinzani wakichezesha vizuri karata zao za diplomasia itasaidia sana kurejesha Demokrasia

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
1,657
2,252
Najua mfumo tulionao umewaumiza Sana na kuwatupa nje ya keki ya taifa. Hivyo hawaumii tu Kama sisi raia wa kawaida Ila wao uumia Mara mbili.

Shida wapinzani wanaamua Mambo kwa hasira na kushindana. Raisi anaenda Marekani kwenye mkutano. Na Kama mjuavyo washauri wake ambao naamini NI wacomunisti hawakutaka Hilo litokee. Sababu wanajua watakaa na kujadili vitu mbalimbali vya kiuongozi na Democrasia na wanadiplomasia wa kimagharibi na anaweza akaja na mtazamo mpya.

Kama wapinzani wangekuwa na Ajenda zao wangewatumia wanadiplomasia wa Magharibi kumshawishi mama kubadili mitazamo yake na sio kushinikiza asisikilizwe kabisa. Lazma mama aseme anachoamini na wao watoe mawazo.

Pia kupitia ziara hiyo watanzania wakimbizi wa kisiasa wangeomba kukutana na mama Marekani huko huko na kubadilishana mawazo kwa utulivu.

Hatua za kuchochea kutopokelewa au kupuuzwa mama NI za kimihemko na hazina tija. Kama taifa tunanafasi ya kushinikiza maridhiano na sio mpasuko wa kisiasa na ata hao wazungu kuona Wapinzani hamjapevuka kisiasa na hamtoshi kutawala kwani mnaongozwa na hasira na visasi na si logic kusolve politics problem.
 
Huwajui Ccm wewe

Ccm ni jeuri na kiburi, wanajua wanayo majeshi, bunge, na mahakama

Vuta kumbu kumbu..kdg. unakumbuka wakati ule viongozi wa CDM wamehudhuria sherehe za UHURU Mwanza, wakaomba maridhiano?

Ni Kati ya 2017 na 2018....

Acha hizoo Mzee, Waambie wenzako kuwa Mungu yupo, atafanya yake
 
Huyo jamaa yenu aliyeko huko Belgium kwa watalebani wengine si angeenda kutoa salamu US. Yupo tu anatafuna mbawa za kuku tu ,kiongozi makini kabisa mkimbizi wa chama cha upinzani.
 
Huyo jamaa yenu aliyeko huko Belgium kwa watalebani wengine si angeenda kutoa salamu US. Yupo tu anatafuna mbawa za kuku tu ,kiongozi makini kabisa mkimbizi wa chama cha upinzani.
Kukimbia nchi si tatizo Kama Taifa limejaa umwagikaji wa damu, utekaji,watu kupotea,kufungwa,na kuzibwa kea misingi ya demokrasia.kabla ya kukosekana kwa Uhuru kamili wa nchi yetu Hawa wote walikuwa wanaishi nchini ila baada ya kuingia dikteta mpumbavu Taifa lilikumbwa na giza.cha kujivunia Ni kuwa Taifa letu likikosa uvumilivu huwa linashughulika na na raia namba moja,tulifanikiwa kumuondoa mwendazake kwa dua na maombi,Basi hata huyu Bibi wa shungi akiendelea na upumvavu alioanza nao Basi 2025 inshallah kufika kwake itakuwa kwa jasho na damu na hata mara baada ya 2025 tutazidisha maombi kwa muumba wake ili atuondolee jinamizi Hilo.
 
Najua mfumo tulionao umewaumiza Sana na kuwatupa nje ya keki ya taifa. Hivyo hawaumii tu Kama sisi raia wa kawaida Ila wao uumia Mara mbili.

Shida wapinzani wanaamua Mambo kwa hasira na kushindana. Raisi anaenda Marekani kwenye mkutano. Na Kama mjuavyo washauri wake ambao naamini NI wacomunisti hawakutaka Hilo litokee. Sababu wanajua watakaa na kujadili vitu mbalimbali vya kiuongozi na Democrasia na wanadiplomasia wa kimagharibi na anaweza akaja na mtazamo mpya.

Kama wapinzani wangekuwa na Ajenda zao wangewatumia wanadiplomasia wa Magharibi kumshawishi mama kubadili mitazamo yake na sio kushinikiza asisikilizwe kabisa. Lazma mama aseme anachoamini na wao watoe mawazo.

Pia kupitia ziara hiyo watanzania wakimbizi wa kisiasa wangeomba kukutana na mama Marekani huko huko na kubadilishana mawazo kwa utulivu.

Hatua za kuchochea kutopokelewa au kupuuzwa mama NI za kimihemko na hazina tija. Kama taifa tunanafasi ya kushinikiza maridhiano na sio mpasuko wa kisiasa na ata hao wazungu kuona Wapinzani hamjapevuka kisiasa na hamtoshi kutawala kwani mnaongozwa na hasira na visasi na si logic kusolve politics problem.
Wewe unakurupuka na kusema anafanya ziara Marekani, nani amekuambia hivyo? Taarifa iliyotolewa na serikali haijasema atafanya ziara imesema anakwenda Marekani. Rais akitoka Dodoma kwenda Ruvuma ni ziara, akitoka Shinyanga kwenda Dodoma si ziara. Rais akitoka Tanzania kwenda UN si ziara Tanzania ina ofisi yake huko ikiwa ni mwanachama wa Umoja wa Mataifa, endapo kungekuwa na ziara basi taarifa ingesema baada ya kuhudhuria kikao cha UN atafanya ziara Marekani.
Shida yetu ni kutokutaka kujua mambo ya ulimwengu yanakwendaje kutokana na ujuaji wetu.
 
Najua mfumo tulionao umewaumiza Sana na kuwatupa nje ya keki ya taifa. Hivyo hawaumii tu Kama sisi raia wa kawaida Ila wao uumia Mara mbili.

Shida wapinzani wanaamua Mambo kwa hasira na kushindana. Raisi anaenda Marekani kwenye mkutano. Na Kama mjuavyo washauri wake ambao naamini NI wacomunisti hawakutaka Hilo litokee. Sababu wanajua watakaa na kujadili vitu mbalimbali vya kiuongozi na Democrasia na wanadiplomasia wa kimagharibi na anaweza akaja na mtazamo mpya.

Kama wapinzani wangekuwa na Ajenda zao wangewatumia wanadiplomasia wa Magharibi kumshawishi mama kubadili mitazamo yake na sio kushinikiza asisikilizwe kabisa. Lazma mama aseme anachoamini na wao watoe mawazo.

Pia kupitia ziara hiyo watanzania wakimbizi wa kisiasa wangeomba kukutana na mama Marekani huko huko na kubadilishana mawazo kwa utulivu.

Hatua za kuchochea kutopokelewa au kupuuzwa mama NI za kimihemko na hazina tija. Kama taifa tunanafasi ya kushinikiza maridhiano na sio mpasuko wa kisiasa na ata hao wazungu kuona Wapinzani hamjapevuka kisiasa na hamtoshi kutawala kwani mnaongozwa na hasira na visasi na si logic kusolve politics problem.
Very good points bro

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Yes kuna wakati wa vita, furaha nk.

Nadhani ndugu zetu wangekuwa watulivu kutafuta namna nzuri ya kujijenga pasi kutumia ubabe, hata hao mabeberu nao wanaangalia wapi kuna faida, hawawezi kukupa nafasi kama mwenzako anaonyesha ushirikiano wa kutosha.

Wanachopigania kina upinzani ni kushika dola huku ukimuharibia mshika dolay sasa mshika dola kaonyesha utulivu kwa unayetaka akupe support.
 
Yes kuna wakati wa vita, furaha nk.

Nadhani ndugu zetu wangekuwa watulivu kutafuta namna nzuri ya kujijenga pasi kutumia ubabe, hata hao mabeberu nao wanaangalia wapi kuna faida, hawawezi kukupa nafasi kama mwenzako anaonyesha ushirikiano wa kutosha.

Wanachopigania kina upinzani ni kushika dola huku ukimuharibia mshika dolay sasa mshika dola kaonyesha utulivu kwa unayetaka akupe support.
Kwa tqarifa yako wewe huwezi kumuamulia mpinzani wako atumie utaratibu gani kudai haki yake. Tangu lini wakwa ndugu zenu?
 
Rais wa Tanzania hajaenda Marekani miaka mingi. Híi ni safari ya kihistoria. Wapinzani wanataka kufanya nini. Ws
anataka Mange Kimambi aanzishe maandamano ya riffraff.
 
Najua mfumo tulionao umewaumiza Sana na kuwatupa nje ya keki ya taifa. Hivyo hawaumii tu Kama sisi raia wa kawaida Ila wao uumia Mara mbili.

Shida wapinzani wanaamua Mambo kwa hasira na kushindana. Raisi anaenda Marekani kwenye mkutano. Na Kama mjuavyo washauri wake ambao naamini NI wacomunisti hawakutaka Hilo litokee. Sababu wanajua watakaa na kujadili vitu mbalimbali vya kiuongozi na Democrasia na wanadiplomasia wa kimagharibi na anaweza akaja na mtazamo mpya.

Kama wapinzani wangekuwa na Ajenda zao wangewatumia wanadiplomasia wa Magharibi kumshawishi mama kubadili mitazamo yake na sio kushinikiza asisikilizwe kabisa. Lazma mama aseme anachoamini na wao watoe mawazo.

Pia kupitia ziara hiyo watanzania wakimbizi wa kisiasa wangeomba kukutana na mama Marekani huko huko na kubadilishana mawazo kwa utulivu.

Hatua za kuchochea kutopokelewa au kupuuzwa mama NI za kimihemko na hazina tija. Kama taifa tunanafasi ya kushinikiza maridhiano na sio mpasuko wa kisiasa na ata hao wazungu kuona Wapinzani hamjapevuka kisiasa na hamtoshi kutawala kwani mnaongozwa na hasira na visasi na si logic kusolve politics problem.

Wapinzani wameomba mpaka kukutana na rais, je huko ni kuleta mpasuko? Ni mara ngapi wapinzani wametaka maridhiano? Kwanini unataka wapinzani waonyeshe kujinyenyekeza tu huku wakifanyiwa huu uhuni tunaouona? Au umeandika ili na ww uonekane unajua tu kuandika kiswahili fasaha?
 
Huwajui Ccm wewe

Ccm ni jeuri na kiburi, wanajua wanayo majeshi, bunge, na mahakama

Vuta kumbu kumbu..kdg. unakumbuka wakati ule viongozi wa CDM wamehudhuria sherehe za UHURU Mwanza, wakaomba maridhiano?

Ni Kati ya 2017 na 2018....

Acha hizoo Mzee, Waambie wenzako kuwa Mungu yupo, atafanya yake
Hapa mnakosea kudili na CCM. Mnatakiwa kufanya siasa za kumvutia kiongozi wao ikiwezekana awe tayari kuwaongoza kufikia mabadiliko. Mnaweza kuwabeza wanaccm wote. Lakini yeye anaitaji vitu viwili. Wawepo wa kumshambulia kisiasa na wa kumshawishi pia.
 
Yaani muda mwingine ninashangaa sana,Yaani ni kama tumewapa majukumu yetu watu wengine watupiganie,why tunafanya hivi?sisi tunaochangia hii mada tumefanya juhudi gani kupigania haki zetu?au ndio kazi ya Mr.Zito ,Mr.Mbowe etc etc?
 
Najua mfumo tulionao umewaumiza Sana na kuwatupa nje ya keki ya taifa. Hivyo hawaumii tu Kama sisi raia wa kawaida Ila wao uumia Mara mbili.

Shida wapinzani wanaamua Mambo kwa hasira na kushindana. Raisi anaenda Marekani kwenye mkutano. Na Kama mjuavyo washauri wake ambao naamini NI wacomunisti hawakutaka Hilo litokee. Sababu wanajua watakaa na kujadili vitu mbalimbali vya kiuongozi na Democrasia na wanadiplomasia wa kimagharibi na anaweza akaja na mtazamo mpya.

Kama wapinzani wangekuwa na Ajenda zao wangewatumia wanadiplomasia wa Magharibi kumshawishi mama kubadili mitazamo yake na sio kushinikiza asisikilizwe kabisa. Lazma mama aseme anachoamini na wao watoe mawazo.

Pia kupitia ziara hiyo watanzania wakimbizi wa kisiasa wangeomba kukutana na mama Marekani huko huko na kubadilishana mawazo kwa utulivu.

Hatua za kuchochea kutopokelewa au kupuuzwa mama NI za kimihemko na hazina tija. Kama taifa tunanafasi ya kushinikiza maridhiano na sio mpasuko wa kisiasa na ata hao wazungu kuona Wapinzani hamjapevuka kisiasa na hamtoshi kutawala kwani mnaongozwa na hasira na visasi na si logic kusolve politics problem.
Wapinzani wameomba maridhiano toka 2019 lakini ccm walikataa.

Rais wamemwandikia mpaka barua ya kuomba wakutane nae wahafidhina wa chama chake wamekataa.

Atakutana na mabango huko huko ya Mbowe siyo Gaidi.
 
Wewe unakurupuka na kusema anafanya ziara Marekani, nani amekuambia hivyo? Taarifa iliyotolewa na serikali haijasema atafanya ziara imesema anakwenda Marekani. Rais akitoka Dodoma kwenda Ruvuma ni ziara, akitoka Shinyanga kwenda Dodoma si ziara. Rais akitoka Tanzania kwenda UN si ziara Tanzania ina ofisi yake huko ikiwa ni mwanachama wa Umoja wa Mataifa, endapo kungekuwa na ziara basi taarifa ingesema baada ya kuhudhuria kikao cha UN atafanya ziara Marekani.
Shida yetu ni kutokutaka kujua mambo ya ulimwengu yanakwendaje kutokana na ujuaji wetu.
Tujadili kwa utulivu. Acha jazba. Ukiona barua kwa umma inaonesha atafika Marekani siku tatu kabla ya kikao. Huo muda huo anaowahi ukitumika na wanadiplomasia kupanga na kujadili na haswa anatakiwa abadili Aina za washauri na kupeana ushirikiano basi.
 
Wapinzani wameomba maridhiano toka 2019 lakini ccm walikataa.

Rais wamemwandikia mpaka barua ya kuomba wakutane nae wahafidhina wa chama chake wamekataa.

Atakutana na mabango huko huko ya Mbowe siyo Gaidi.
Kila kitu kifanyike uko. Mabango na kelele sawa NI njia ya kufikisha ujumbe. Ila kwasababu kilichoshindikana huku NI washauri kumnyima fursa ya kupata mawazo mbadala. Ugenini NI vigumu kumzuia kukutana na wanadiplomasia. Na wanadiplomasia hao pia waitumie hiyo fursa vizuri kufanya wakutane na wapinzani wake.
 
Kwa tqarifa yako wewe huwezi kumuamulia mpinzani wako atumie utaratibu gani kudai haki yake. Tangu lini wakwa ndugu zenu?
Kama sisi siyo ndugu zenu msitusumbue wakati wa kampeni.

ooh ndugu zangu watanzania, ooh ndugu zangu wananchi bila nyie.
 
Kila kitu kifanyike uko. Mabango na kelele sawa NI njia ya kufikisha ujumbe. Ila kwasababu kilichoshindikana huku NI washauri kumnyima fursa ya kupata mawazo mbadala. Ugenini NI vigumu kumzuia kukutana na wanadiplomasia. Na wanadiplomasia hao pia waitumie hiyo fursa vizuri kufanya wakutane na wapinzani wake.
Suala ni dogo tu serikali ifuate sheria badala ya mabavu.
 
Chadema kimataifa chini ya makamo mwenyekiti inachofanya huko sijambo haba

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Wengi NI wanaharakati. Na mwanadiplomasia wao mkuu CCM wanamjua NI Mbowe. NI mtu hatari zaidi kwao na Ana Siri nyingi za nchi na akikaa na mama ataharibu kila mipango ya Wala keki. Lazma zichukuliwe hatua kila nafasi inapopatikana
 
Back
Top Bottom