Ziara ya Rais Samia nchini Kenya, Mama anakosea

Baada ya kuyumbishwa na "hangover" ya madaraka itokanayo na POMBE kupitia mazungumzo muhimu ya pande hizi mbili, hapa sasa ndiyo kutakuwa na SULUHU pamoja na UHURU wa kufanya biashara kati ya nchi hizi mbili jirani.
Amiiin
 
Mkuu ukiangazia Masuala ya Maslahi ya ki-nchi hatutanufaika kwa kusifiwa kuwa na roho zuri, hakuna tuzo za hivyo.
Acheni Roho mbaya. Watanzania wamekuwa na hii gesi miaka mingapi.? Zaidi ya kujinufaisha nyie mafisadi watanzania wamepata nini? Kenya tutawauzia tuingize kipato hatuwapi bure
 
Mwanamke huongozwa na mwanaume! Eti leo hi mwanamke anaongoza wanaume zaidi ya milion, kadili muda unavyozidi kwenda tutegemee kufeli zaidi.
Ukiwa hivi hata nyumbani utaishia style moja ya kifo cha mende, kisa mwanamke hatakiwa kuwa juu. Change your attitude mkuu!!
 
UZI WA VILAZA HUU,WENYE POOR I.Q SHOULD BE IGNORED....!
*GES ITAUZWA KENYA
*UMEME TUTAUZA KENYA
*MAMA AMESISITIZA UJAZO WA KIBIASHARA
BAINA YA NCHI ZETU.
*KUONDOA MAKWAZO MIPAKANI
*KODI ZA MIPAKANI KUANGALIWA UPYA
*KAMATI ZA BIASHARA KUKUTANA MARA KWA MARA
*TWENDENI TUKAWEKEZE KENYA,SIONI UBAYA MOJA YA BANK ZETU KUFUNGUA TAWI KENYA KURAHISISHA BIASHARA ZA WATANZANIA KENYA KAMA WAO NA KCB YAO HAPA.A
Benki ipi hiyo CRDB?Twendeni Kenya tukawekeze tuache kulia lia,atakaye tajirika wacha atajarike atakayekuwa maskini shauri yake,kazi iendelee
 
Kunawakati tunapaswa kujadili maswala ya kitaalaam kwa utulivu na weredi ,hadi nimetamani Jf ingelikuwa na kipengele cha mtu kuruhusiwa kujadili hoja kutokana na TAALUMA yake , hapa unakuta mtu kwakuwa tu anajua kusoma na kuandika anajikuta anajadili kilimo huku akiwa hata hajui utofauti wa aina za mbolea ,eneo la Uchumi ni pana Sana na siyo kila mbinu nilazima ianze chino ,zingine ukija kwenye kuwagawia wa NDANI unakuta tayari ushafanya mlipuko mkubwa na wenye tija .

Tanzania iko hapa ilipo kwa makosa mengi yakiwemo tunayojihubiria hapa.

Watu wenye fikra za aina wzeeka ndiyo huwa mnakuwaga wachawi tu , ukiona mtoto wa yuko smart kuliko wa kwako unaona the best option ni kumdedisha tu au umnyime baadhi ya mahitaji ambayo yqtamfanya asongembele zaidi kwakuhisi wakakwako watapoteza u ora nakudharilika which is not true badala ya kufurahia uwepo wake na huku ukiangalia namna nzuri ya kuutumia uwepo wake ili na wa wajamii yako wawe bora hata kumpita .

Hii tabia yakukumbatia tulivyonavyo haiajawahi kuleta matokeo chanya zaidi ya kutudumaza tu kifikra .

Kanuni ya Biashara inatutaka tuuze tulivyonavyo huku tukizielekeza faida kwenye vitu vitakavyotuzidishia faida maradufu .

Kwa wasiyojua sera yetu ya Uchumi haiwezi kutatuliwa kwa uwepo wa gas bali maboresho mazito ya sera yetu ya elimu (kutoka kwenye elimu ya kukarili kwenda kwenye elimu ya utambuzi (creming education to cognitive education) elimu itakayohakikisha haizalishi wategemezi kwa Taifa kama ilivyo sasa kundi la kuanzia darasa la saba kuwa mzigo tu kwa Taifa , wahitimu wa kidato cha nne kutokuwa na sifa siyo tu za kuajirika lakini hata tu wenyewe wakawa hawana uwezo wakujiajiri nje ya kuwa na sifa za nyongeza achilia mbali cheti cha muhitimu wa chuo kikuu kukosa thamani ya kutumika kama collateral itakayomuwezesha walau kukopesheka na kupata mtaji wa kuanzishia ile taaluma ambayo serikali imemuidhinishia ufaulu (refer to China).

Mama anaendelea kufanya vizuri sana hebu tujipe utulivu na tumpe muda .

Tusiishi kwa kukarili ,Dunia inakwenda kasi sana .
Three learning domain,Cognitive,Phsychomoter na ....malizia kama kweli wewe ni mtu wa Education🤣🤣🤣🤣
 
Hayo maneno ya mkosaji !!fikra za miaka ya 50!!, wanawake wameongoza wazungu na kuleta maendeleo makubwa itakuwa kwa mwafrika, tena mtanzania?!!huyo mwanaume aliyeongoza miaka mitano , maendeleo gani ameyaleta?hao kina mseveni, mugabe, derby, biya, sasongweso zaidi ya miaka 30, madarakani walifanya nini?!acheni hizo muhukumuni mtu kwa uwezo wake na sio JINSI, yake.MAMA KANYAJA TWENDE,
Asante mkuu. Watu wasio na hoja hukimbilia ku-attack mtu hana jipya huyo.
 
Napenda kuandika kidogo tu kulingana na uwelewa wangu juu ya Ziara ya Mama nchi Kenya na mikataba mlio tiana sign.

1. Ujenzi wa bomba la gas kutoka Tanzania kwenda Mombasa kwa ajili ya matumizi ya viwanda nchini Kenya,hapa mama unefail pakubwa sana maana yake nikwamba bidhaa za Kenya zitakuwa zinazalishwa kwa gharama nafuu zaidi na kuteka soko la Africa Mashariki kuliko Tanzania. Tutarudi miaka ya nyuma tena kila kitu Made in Kenya.

a. Hii sera yetu ya viwanda itakufa maana hatuweza kushindana tena na product kutoka Kenya na vijana wetu watazidi kuwa wachuuzi wa bidhaa kutoka nje.

b. Kenya itatumia mwanya huu kuvutia wawekezaji kutoka nje kuwekeza Kenya kuliko kuja kuwekeza Tanzania.

c. Tunasafirisha gas kama kuna surplus ya viwanda vyetu na matumizi yetu kama Taifa.Viwanda vyetu bado vinahitaji nishati ya gas lakini bado upatikanaji wake umekuwa mgumu na kwa gharama kubwa

d. Kenyatta amecheza karata yake vizuri katika ujenzi wa gas kuliko Mama sijui washauri wake wamekwama wapi natarajia kuona Kenya ikinufaika zaidi katika utawala wa Mama kuliko kipindi chochote kile katika historia ya Tanzania na Kenya.

2. Ushirikiano wa anga..hapa Kenyatta anatafuta namna ya kuisaidia Kenya airways..inakwenda ku dominate soko na anga tena kama huko nyuma.hapa kumbuka faidia kubwa ya Kenya Airways inatokana na safari za Tanzania. Dsm, Zanzibar na Kilimanjaro.

Hapa tutalajie Air Tanzania ikifa kifo cha mende kutokana kutoweza kumudu ushindani na Kenya airways. Otherwise kufanyike changes za haraka katika Management ya Air Tanzania.

3. Soko la utalii hapa Kenyatta amecheza vizuri kama pele.
Tutalajie kuona vijana wetu wakiwa watazamaji kama kipindi cha nyuma na soko la utalii nikirudi mikononi mwa wakenya tena.(hapa kwenye utalii wenye fan zao wanaweza kudadavua kwanini Kenyatta amecheza kama Pela)

4. Biashara sioni jipya ni yale yale, hapa Mama ametoka 0-0

Note: Mama washuri wake wamshauri vizuri kabla yakwenda kufanya mikataba kwa niaba ya Watanganyika. Otherwise akubali kutuachia Tanganyika yetu!
Roho ya kichoyoo na kibinafsi ndio ililifanya taifa hili kua maskini tangu uhuru hadi sasa,hata watoto wa Nyerere wapo wanavyoishi kwa matokeo ya roho ya baba yao.....unajua maana ya free market economy?
 
Napenda kuandika kidogo tu kulingana na uwelewa wangu juu ya Ziara ya Mama nchi Kenya na mikataba mlio tiana sign.

1. Ujenzi wa bomba la gas kutoka Tanzania kwenda Mombasa kwa ajili ya matumizi ya viwanda nchini Kenya,hapa mama unefail pakubwa sana maana yake nikwamba bidhaa za Kenya zitakuwa zinazalishwa kwa gharama nafuu zaidi na kuteka soko la Africa Mashariki kuliko Tanzania. Tutarudi miaka ya nyuma tena kila kitu Made in Kenya.

a. Hii sera yetu ya viwanda itakufa maana hatuweza kushindana tena na product kutoka Kenya na vijana wetu watazidi kuwa wachuuzi wa bidhaa kutoka nje.

b. Kenya itatumia mwanya huu kuvutia wawekezaji kutoka nje kuwekeza Kenya kuliko kuja kuwekeza Tanzania.

c. Tunasafirisha gas kama kuna surplus ya viwanda vyetu na matumizi yetu kama Taifa.Viwanda vyetu bado vinahitaji nishati ya gas lakini bado upatikanaji wake umekuwa mgumu na kwa gharama kubwa

d. Kenyatta amecheza karata yake vizuri katika ujenzi wa gas kuliko Mama sijui washauri wake wamekwama wapi natarajia kuona Kenya ikinufaika zaidi katika utawala wa Mama kuliko kipindi chochote kile katika historia ya Tanzania na Kenya.

2. Ushirikiano wa anga..hapa Kenyatta anatafuta namna ya kuisaidia Kenya airways..inakwenda ku dominate soko na anga tena kama huko nyuma.hapa kumbuka faidia kubwa ya Kenya Airways inatokana na safari za Tanzania. Dsm, Zanzibar na Kilimanjaro.

Hapa tutalajie Air Tanzania ikifa kifo cha mende kutokana kutoweza kumudu ushindani na Kenya airways. Otherwise kufanyike changes za haraka katika Management ya Air Tanzania.

3. Soko la utalii hapa Kenyatta amecheza vizuri kama pele.
Tutalajie kuona vijana wetu wakiwa watazamaji kama kipindi cha nyuma na soko la utalii nikirudi mikononi mwa wakenya tena.(hapa kwenye utalii wenye fan zao wanaweza kudadavua kwanini Kenyatta amecheza kama Pela)

4. Biashara sioni jipya ni yale yale, hapa Mama ametoka 0-0

Note: Mama washuri wake wamshauri vizuri kabla yakwenda kufanya mikataba kwa niaba ya Watanganyika. Otherwise akubali kutuachia Tanganyika yetu!
Tukisema Magufuli alikuwa anajua sana kuangalia interests za nchi, na alikuwa hamuonei mtu haya kumwabia papo kwa hapo usoni kuwa hataki upuuzi. Kenya walipojifanya kuzuia ndege kutoka Tanzania kwa sababu ya eti ya korona, yeye akafuta leseni nzima ya KQ kuingia Tanzania, hadi wakanyooka. Hili la kushirikiana safari za anga baina KQ na mashirika ya ndege ya Tanzania ni diplomacy za kipuuzi sana; time will tell. ATCL tulishafanya majaribio ya kushrikiana na mashirka ya nje tukaishia zero. Sasa hivi ndiyo tunaanza tu, halafu tunaelekea kurudoi kule kule.

Wakati mwingine hayo ni matokeo ya kutokuwa na self confidence na kudhani kuwa wengine ndio wanaoweza kutusaidia. Magufuli alikuwa na ile selfu oc=confidence ya kusema hadharani kuwa "tunaweza tena kwa fedha zetu wenyewe!".

Issue ya kuuza gesi Kenya sina tatizo nalo, ila tu ni kwamba iuzwe kwa faida, siyo kuuzwa kama free sample halafu wao watengeneze opportunities zaidi. Gharama ya gesi na gharama ya bomba ipangwe kimkakati.
 
Kenya wahuni tu sana! Mama wa wetu wamemrubuni anafanya mambo kwa maslahi ya taifa letu!Ila bungeni ikijadiliwa hii Kuna sehemu tutawabana hawa wahuni!
 
Napenda kuandika kidogo tu kulingana na uwelewa wangu juu ya Ziara ya Mama nchi Kenya na mikataba mlio tiana sign.

1. Ujenzi wa bomba la gas kutoka Tanzania kwenda Mombasa kwa ajili ya matumizi ya viwanda nchini Kenya,hapa mama unefail pakubwa sana maana yake nikwamba bidhaa za Kenya zitakuwa zinazalishwa kwa gharama nafuu zaidi na kuteka soko la Africa Mashariki kuliko Tanzania. Tutarudi miaka ya nyuma tena kila kitu Made in Kenya.

a. Hii sera yetu ya viwanda itakufa maana hatuweza kushindana tena na product kutoka Kenya na vijana wetu watazidi kuwa wachuuzi wa bidhaa kutoka nje.

b. Kenya itatumia mwanya huu kuvutia wawekezaji kutoka nje kuwekeza Kenya kuliko kuja kuwekeza Tanzania.

c. Tunasafirisha gas kama kuna surplus ya viwanda vyetu na matumizi yetu kama Taifa.Viwanda vyetu bado vinahitaji nishati ya gas lakini bado upatikanaji wake umekuwa mgumu na kwa gharama kubwa

d. Kenyatta amecheza karata yake vizuri katika ujenzi wa gas kuliko Mama sijui washauri wake wamekwama wapi natarajia kuona Kenya ikinufaika zaidi katika utawala wa Mama kuliko kipindi chochote kile katika historia ya Tanzania na Kenya.

2. Ushirikiano wa anga..hapa Kenyatta anatafuta namna ya kuisaidia Kenya airways..inakwenda ku dominate soko na anga tena kama huko nyuma.hapa kumbuka faidia kubwa ya Kenya Airways inatokana na safari za Tanzania. Dsm, Zanzibar na Kilimanjaro.

Hapa tutalajie Air Tanzania ikifa kifo cha mende kutokana kutoweza kumudu ushindani na Kenya airways. Otherwise kufanyike changes za haraka katika Management ya Air Tanzania.

3. Soko la utalii hapa Kenyatta amecheza vizuri kama pele.
Tutalajie kuona vijana wetu wakiwa watazamaji kama kipindi cha nyuma na soko la utalii nikirudi mikononi mwa wakenya tena.(hapa kwenye utalii wenye fan zao wanaweza kudadavua kwanini Kenyatta amecheza kama Pela)

4. Biashara sioni jipya ni yale yale, hapa Mama ametoka 0-0

Note: Mama washuri wake wamshauri vizuri kabla yakwenda kufanya mikataba kwa niaba ya Watanganyika. Otherwise akubali kutuachia Tanganyika yetu!
Elimu haina mwisho! Ni vizuri ukajiendeleza kielimu sio kwa kurudi shule bali kujiendeleza kupitia majalida mbalimbali yahusiyo uchumi na biashara!
 
Tukisema Magufuli alikuwa anajua sana kuangalia interests za nchi, na alikuwa hamuonei mtu haya kumwabia papo kwa hapo usoni kuwa hataki upuuzi. Kenya walipojifanya kuzuia ndege kutoka Tanzania kwa sababu ya eti ya korona, yeye akafuta leseni nzima ya KQ kuingia Tanzania, hadi wakanyooka. Hili la kushirikiana safari za anga baina KQ na mashirika ya ndege ya Tanzania ni diplomacy za kipuuzi sana; time will tell. ATCL tulishafanya majaribio ya kushrikiana na mashirka ya nje tukaishia zero. Sasa hivi ndiyo tunaanza tu, halafu tunaelekea kurudoi kule kule.
Unayo draft nzima ya hiyo strategic alliance ama unatumia speculations tu?

Kampuni iliingiza hasara kubwa kipindi cha JPM (Na usiseme kuna investment imefanyika coz ndege zinakodiwa) but still haikua profitable enough.

Anakuja Mama kujaribu kutafuta namna ya ku offset hasara mnaanza kumlinganisha na JPM. Hivi JPM kafanikiwa nini kwenye aviation industry zaidi ya kununua ndege ambazo hazikuleta faida?
 
Tukisema Magufuli alikuwa anajua sana kuangalia interests za nchi, na alikuwa hamuonei mtu haya kumwabia papo kwa hapo usoni kuwa hataki upuuzi. Kenya walipojifanya kuzuia ndege kutoka Tanzania kwa sababu ya eti ya korona, yeye akafuta leseni nzima ya KQ kuingia Tanzania, hadi wakanyooka. Hili la kushirikiana safari za anga baina KQ na mashirika ya ndege ya Tanzania ni diplomacy za kipuuzi sana; time will tell. ATCL tulishafanya majaribio ya kushrikiana na mashirka ya nje tukaishia zero. Sasa hivi ndiyo tunaanza tu, halafu tunaelekea kurudoi kule kule.

Wakati mwingine hayo ni matokeo ya kutokuwa na self confidence na kudhani kuwa wengine ndio wanaoweza kutusaidia. Magufuli alikuwa na ile selfu oc=confidence ya kusema hadharani kuwa "tunaweza tena kwa fedha zetu wenyewe!".

Issue ya kuuza gesi Kenya sina tatizo nalo, ila tu ni kwamba iuzwe kwa faida, siyo kuuzwa kama free sample halafu wao watengeneze opportunities zaidi. Gharama ya gesi na gharama ya bomba ipangwe kimkakati.
Tujifunze kuishi vizuri na majirani. Dunia ni kijiji sasa. Ni vema kuimarisha diplomasia ya uchumi kuliko kutunishiana misuri. Tuunge mkono Mhe. Samia Suluhu Hassan na Mhe. Uhuru Kenyatta kuongoza vema nchi zetu mbili.
 
Napenda kuandika kidogo tu kulingana na uwelewa wangu juu ya Ziara ya Mama nchi Kenya na mikataba mlio tiana sign.

1. Ujenzi wa bomba la gas kutoka Tanzania kwenda Mombasa kwa ajili ya matumizi ya viwanda nchini Kenya,hapa mama unefail pakubwa sana maana yake nikwamba bidhaa za Kenya zitakuwa zinazalishwa kwa gharama nafuu zaidi na kuteka soko la Africa Mashariki kuliko Tanzania. Tutarudi miaka ya nyuma tena kila kitu Made in Kenya.

a. Hii sera yetu ya viwanda itakufa maana hatuweza kushindana tena na product kutoka Kenya na vijana wetu watazidi kuwa wachuuzi wa bidhaa kutoka nje.

b. Kenya itatumia mwanya huu kuvutia wawekezaji kutoka nje kuwekeza Kenya kuliko kuja kuwekeza Tanzania.

c. Tunasafirisha gas kama kuna surplus ya viwanda vyetu na matumizi yetu kama Taifa.Viwanda vyetu bado vinahitaji nishati ya gas lakini bado upatikanaji wake umekuwa mgumu na kwa gharama kubwa

d. Kenyatta amecheza karata yake vizuri katika ujenzi wa gas kuliko Mama sijui washauri wake wamekwama wapi natarajia kuona Kenya ikinufaika zaidi katika utawala wa Mama kuliko kipindi chochote kile katika historia ya Tanzania na Kenya.

2. Ushirikiano wa anga..hapa Kenyatta anatafuta namna ya kuisaidia Kenya airways..inakwenda ku dominate soko na anga tena kama huko nyuma.hapa kumbuka faidia kubwa ya Kenya Airways inatokana na safari za Tanzania. Dsm, Zanzibar na Kilimanjaro.

Hapa tutalajie Air Tanzania ikifa kifo cha mende kutokana kutoweza kumudu ushindani na Kenya airways. Otherwise kufanyike changes za haraka katika Management ya Air Tanzania.

3. Soko la utalii hapa Kenyatta amecheza vizuri kama pele.
Tutalajie kuona vijana wetu wakiwa watazamaji kama kipindi cha nyuma na soko la utalii nikirudi mikononi mwa wakenya tena.(hapa kwenye utalii wenye fan zao wanaweza kudadavua kwanini Kenyatta amecheza kama Pela)

4. Biashara sioni jipya ni yale yale, hapa Mama ametoka 0-0

Note: Mama washuri wake wamshauri vizuri kabla yakwenda kufanya mikataba kwa niaba ya Watanganyika. Otherwise akubali kutuachia Tanganyika yetu!
Kwanini msisubiri muwe na taarifa rasmi kuliko kupotosha watu? Ni lini umeambiwa gesi itafika huko kabla ya Tanzania kupata? Kuna futi za ujazo zaidi ya trillion 50 unadhani hakuna surplus ya kuuzwa nje?

By the way hilo bomba tutawapa gesi bure au wananunua? Urusi pamoja ma kuwa na vita ya kiuchumi na EU bado wanawauzia gesi? Maana kuna faida inaingia kwao hafanyi bure pale.

Dunia inaelekea kwenye economic intergration na Common market kupitia regional integration na digital markets ila sisi tunawaza mambo ya kuisolate kiuchumi eti kuogopa ushindani!?

JPM alituharibu sana akili
 
Back
Top Bottom