Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,288
- 3,261
Kwanza nadeclare interest, namuunga mkono mama na nina imani naye.
Ila nikifuatilia hii ziara yake ya Arusha napata shida kidogo kama wenzetu wenye madaraka wanaelewa vizuri tofauti ya shughuli za kichama na za kiserikali? Hakuna ubishi CCM ndio inaunda serikali lakini hakuna ofisi ya CCM ikulu.
Kama tunahubiri umoja wa kitaifa huu ushamba wa kuchanganya shughuli za Rais wa wote kuwa kama Rais wa CCM, hili siyo sawa mama najuwa unajuwa vyema.
Kama umeweza kuzikataa salamu za kidini kwenye jukwaa lako na sasa unasalimia kwa jina la JMT basi kataa na uccm kwenye mambo ya kitaifa unatukera tunaopenda haki.
Ila nikifuatilia hii ziara yake ya Arusha napata shida kidogo kama wenzetu wenye madaraka wanaelewa vizuri tofauti ya shughuli za kichama na za kiserikali? Hakuna ubishi CCM ndio inaunda serikali lakini hakuna ofisi ya CCM ikulu.
Kama tunahubiri umoja wa kitaifa huu ushamba wa kuchanganya shughuli za Rais wa wote kuwa kama Rais wa CCM, hili siyo sawa mama najuwa unajuwa vyema.
Kama umeweza kuzikataa salamu za kidini kwenye jukwaa lako na sasa unasalimia kwa jina la JMT basi kataa na uccm kwenye mambo ya kitaifa unatukera tunaopenda haki.