Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,472
- 37,735
Asante mleta mada, JF ni zaidi ya hayo majukwaa yao ya udaku na kutafuta sifa. Hapa watafika na ujumbe wataupata.Inashangaza Rais anatoa fursa ya kuuliza kero za jumla za kimkoa huonekani,hata kutums sms kwa mtu akuulizie umeshindwa unakimbilia jf