Rais wa Kenya Mh. Mwai Kibaki akipokea maua mara bvaada ya kutua Dar leo huku mwenyeji wake akiangalia
Mh. Mwai Kibaki akisalimiana na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama
Mh. Mwai Kibaki akisalimiana na Waziri wa Nishati na Madini Mh. William Mganga Ngeleja
Mh. Kibaki akipokewa kwa vifijo na nderemo dar leo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Rais Mwai Kibaki wa Kenya mara baada ya kufanya mazungumzo naye ikulu jijini Dar es Salaam
Rais wa Kenya Mwai Kibaki akikagua gwaride la heshima lililoandaliwa kwa ajili yake na Jeshi la Wananchi Tanzania.
Rais Jakaya Kikwete akimkaribisha nchini Rais wa Kenya Mwai Kibaki kwa ziara ya kiserikali.
Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akiwa na mgeni wake Rais Mwai Kibaki wa Kenya wakilakiwa na akinamama wakazi wa Dar es Salaam baada ya Rais Kibaki kuwasili katika uwanja wa Kimataifa wa ndege wa Julius Nyerere Dar es Salaam jana kwa ziara ya kiserikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.