chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
Pamoja na kutumia magari zaidi ya 50 kwenye msafara wake hapa kero za ujio wa mkuu huyu hazikuishia kwa kuwasweka rumande watu walioktaa kutoa mbuzi kama zawadi kwake mengine ni haya :
1. Alipokea mkufu wa dhahabu 20gm kutoka kwa mkurugenzi wa halmashauri ya kahama. Mkufu huo ulikuwa ukabidhiwe kwa mke wake lakini hakuwepo kwani alienda na wake wa vingozi wengine kumtembelea Mama Nyerere. Mkufu huo ambao uliandaliwa kama kiziba macho ili asihoji watendaji wake ulipelekwa na wasindikizaji wake aliokuja nao
2. Hakupewa fursa ya kuhutubia jimbo la kahama kwa Mh.lembeli badala yake alihutubia Jimbo la Mh.Maige ambapo aliacha nyukano mkali na kuongezea mpasuko zaidi kwa wabunge hawa wanaotoka waliya moja
3. Fisi walitumiwa kwenye burudani zilizoandaliwa kwa ajili yake lakini waliotumia fisi hao hawakukamatwa bali watu wengine
wakikutwa na fisi hapa shinyanga hunyanyaswa na wakati mwengine huwawa kwa kuitwa wachawi
1. Alipokea mkufu wa dhahabu 20gm kutoka kwa mkurugenzi wa halmashauri ya kahama. Mkufu huo ulikuwa ukabidhiwe kwa mke wake lakini hakuwepo kwani alienda na wake wa vingozi wengine kumtembelea Mama Nyerere. Mkufu huo ambao uliandaliwa kama kiziba macho ili asihoji watendaji wake ulipelekwa na wasindikizaji wake aliokuja nao
2. Hakupewa fursa ya kuhutubia jimbo la kahama kwa Mh.lembeli badala yake alihutubia Jimbo la Mh.Maige ambapo aliacha nyukano mkali na kuongezea mpasuko zaidi kwa wabunge hawa wanaotoka waliya moja
3. Fisi walitumiwa kwenye burudani zilizoandaliwa kwa ajili yake lakini waliotumia fisi hao hawakukamatwa bali watu wengine
wakikutwa na fisi hapa shinyanga hunyanyaswa na wakati mwengine huwawa kwa kuitwa wachawi